Akilitime
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 581
- 757
Kwanza sio Mr.
Cha pili, unataka nifanyeje, kumbuka ninachoongelea hapa Ni mazingira rafiki kwa mtoto
Serikali ikituonyesha wazi kwamba tunao uwezo wa kuweka watoto shule hakuna mzaz atapinga
Mimi naweza nikachukua hatua nikamvalisha mwanangu mask gloves na sanitizer nikampa je huko shule mazingira Ni rafiki??
If there is possibility of health assurance to my child I won't hesitate aende shule kwa amani zote.
Noted . worry not