Kufuatia Kanusho la TAKUKURU, magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE yashughulikiwe ipasavyo!

Leo asubuhi, nimesoma humu JamiiForums Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka TAKUKURU ikikanusha taarifa za upotoshaji zilizoandikwa na magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE zikiwahusisha Maafisa mbalimbali wa TAKUKURU na tuhuma za kupokea rushwa. Kutokana na uzito wa Taarifa husika za kukanusha, taarifa hiyo imesainiwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU.

TAKUKURU ni moja ya Taasisi nyeti za kiserikali. Kimajukumu, TAKUKURU ni Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Wakati nchi ikiwa kwenye vita kubwa ya kutokomeza rushwa nchini, tuhuma dhidi ya wenye jukumu la kutokomeza rushwa si tuhuma ndogo. Ni tuhuma kubwa na zinazopaswa kufanyiwa kazi haraka-kama ilivyotolewa Taarifa ya kukanusha. Uchunguzi zaidi pia unapaswa kufanyika juu ya tuhuma hizo, hasa kwa aliyezitoa ili kujua lengo na nia ya upotoshaji wake.

Ujumbe wa jumla wa Taarifa ya TAKUKURU ni kuwa tuhuma za FAHARI YETU na TANZANITE si za kweli na za kupotosha. Ndiyo kusema, magazeti hayo yameandika habari zisizo za kweli na za kupotosha ambazo zinaweza kusababisha sintofahamu kwenye jamii. Kinachofuata hapo, kwa mujibu wa Sheria, kuwashughulikia wasemauongo na wapotoshaji hao. Katika muktadha huu, magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE yashughulikiwe na kudhibitiwa ipasavyo.

Roporopo huweza kuleta madhara makubwa!
Sheria ya mtandao haiwahusu "WANAMTANDAO"
Laiti kama kungeliandikwa na wengine... kama si maagizo
Leo asubuhi, nimesoma humu JamiiForums Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka TAKUKURU ikikanusha taarifa za upotoshaji zilizoandikwa na magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE zikiwahusisha Maafisa mbalimbali wa TAKUKURU na tuhuma za kupokea rushwa. Kutokana na uzito wa Taarifa husika za kukanusha, taarifa hiyo imesainiwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU.

TAKUKURU ni moja ya Taasisi nyeti za kiserikali. Kimajukumu, TAKUKURU ni Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Wakati nchi ikiwa kwenye vita kubwa ya kutokomeza rushwa nchini, tuhuma dhidi ya wenye jukumu la kutokomeza rushwa si tuhuma ndogo. Ni tuhuma kubwa na zinazopaswa kufanyiwa kazi haraka-kama ilivyotolewa Taarifa ya kukanusha. Uchunguzi zaidi pia unapaswa kufanyika juu ya tuhuma hizo, hasa kwa aliyezitoa ili kujua lengo na nia ya upotoshaji wake.

Ujumbe wa jumla wa Taarifa ya TAKUKURU ni kuwa tuhuma za FAHARI YETU na TANZANITE si za kweli na za kupotosha. Ndiyo kusema, magazeti hayo yameandika habari zisizo za kweli na za kupotosha ambazo zinaweza kusababisha sintofahamu kwenye jamii. Kinachofuata hapo, kwa mujibu wa Sheria, kuwashughulikia wasemauongo na wapotoshaji hao. Katika muktadha huu, magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE yashughulikiwe na kudhibitiwa ipasavyo.

Roporopo huweza kuleta madhara makubwa!
Ni vigumu sana magazeti hayo kufungiwa au mmiliki wayo kuchukuliwa hatua kwa jambo dogo kama hilo kwani ameshafanya makubwa kuliko hilo na hakukuwa hata na kemeo. Hili linamaanisha kwamba ANATUMWA NA ANATIMIZA WAJIBU WAKE KWA BWANA ZAKE. Ukiyakumbuka ya kina Mbilinyi na Mramba utajua kila chenye mwanzo huwa hakiukosi mwisho...
Wanaopanda miiba leo wasitarajie kuvuna maparachichi hakika watavuna kilekile walichokipanda...
Kwa sasa mwenye vijigazeti hivyo ni vigumu kupelekwa sheriani....
Itakuwa rahisi kwa tembo kupenya kwenye tundu la sindano kuliko....
Ametumwa...
 
Bw.Mselewa,et al:Hivi Sheria inasemaje kwenye hili?Nani anaweza kuwafuatilia hawa PCCB kwenye tuhuma hizi za Rushwa au wanatakiwa kujichunguza wenyewe?Kwangu mimi kukanusha kwa press release peke yake kwenye tuhuma hizi nzito hakutoshi."Tasting your own medicine".
Kwenye uga wa sheria wewe ni popoma. Usiendelee kujiaibisha.
 
Leo asubuhi, nimesoma humu JamiiForums Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka TAKUKURU ikikanusha taarifa za upotoshaji zilizoandikwa na magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE zikiwahusisha Maafisa mbalimbali wa TAKUKURU na tuhuma za kupokea rushwa. Kutokana na uzito wa Taarifa husika za kukanusha, taarifa hiyo imesainiwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU.

TAKUKURU ni moja ya Taasisi nyeti za kiserikali. Kimajukumu, TAKUKURU ni Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Wakati nchi ikiwa kwenye vita kubwa ya kutokomeza rushwa nchini, tuhuma dhidi ya wenye jukumu la kutokomeza rushwa si tuhuma ndogo. Ni tuhuma kubwa na zinazopaswa kufanyiwa kazi haraka-kama ilivyotolewa Taarifa ya kukanusha. Uchunguzi zaidi pia unapaswa kufanyika juu ya tuhuma hizo, hasa kwa aliyezitoa ili kujua lengo na nia ya upotoshaji wake.

Ujumbe wa jumla wa Taarifa ya TAKUKURU ni kuwa tuhuma za FAHARI YETU na TANZANITE si za kweli na za kupotosha. Ndiyo kusema, magazeti hayo yameandika habari zisizo za kweli na za kupotosha ambazo zinaweza kusababisha sintofahamu kwenye jamii. Kinachofuata hapo, kwa mujibu wa Sheria, kuwashughulikia wasemauongo na wapotoshaji hao. Katika muktadha huu, magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE yashughulikiwe na kudhibitiwa ipasavyo.

Roporopo huweza kuleta madhara makubwa!
tatizo ni....mmiliki wa ofisi ya takokuru na mmiliki wa hivo vijijarida ni mtu yule yule mmoja.

kwa kweli huyo afsaa wa takokuru aliyekanusha aanze tu kujiandaa kisaikolojia!
 
tatizo ni....mmiliki wa ofisi ya takokuru na mmiliki wa hivo vijijarida ni mtu yule yule mmoja.

kwa kweli huyo afsaa wa takokuru aliyekanusha aanze tu kujiandaa kisaikolojia!
I see. Lakini Mkuu, ni TAKUKURU na si takokuru kama ulichoandika.
 
Leo asubuhi, nimesoma humu JamiiForums Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka TAKUKURU ikikanusha taarifa za upotoshaji zilizoandikwa na magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE zikiwahusisha Maafisa mbalimbali wa TAKUKURU na tuhuma za kupokea rushwa. Kutokana na uzito wa Taarifa husika za kukanusha, taarifa hiyo imesainiwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU.

TAKUKURU ni moja ya Taasisi nyeti za kiserikali. Kimajukumu, TAKUKURU ni Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Wakati nchi ikiwa kwenye vita kubwa ya kutokomeza rushwa nchini, tuhuma dhidi ya wenye jukumu la kutokomeza rushwa si tuhuma ndogo. Ni tuhuma kubwa na zinazopaswa kufanyiwa kazi haraka-kama ilivyotolewa Taarifa ya kukanusha. Uchunguzi zaidi pia unapaswa kufanyika juu ya tuhuma hizo, hasa kwa aliyezitoa ili kujua lengo na nia ya upotoshaji wake.

Ujumbe wa jumla wa Taarifa ya TAKUKURU ni kuwa tuhuma za FAHARI YETU na TANZANITE si za kweli na za kupotosha. Ndiyo kusema, magazeti hayo yameandika habari zisizo za kweli na za kupotosha ambazo zinaweza kusababisha sintofahamu kwenye jamii. Kinachofuata hapo, kwa mujibu wa Sheria, kuwashughulikia wasemauongo na wapotoshaji hao. Katika muktadha huu, magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE yashughulikiwe na kudhibitiwa ipasavyo.

Roporopo huweza kuleta madhara makubwa!
tanzanite inafanya juu chini mpaka damu imwagike na viongozi wetu wanawalea.
 
Hadi leo bado najiuliza ni kwa sababu ipi hayo magazeti hayajawahi hata kuonywa kwa uchochezi wanao ufanya
Leo asubuhi, nimesoma humu JamiiForums Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka TAKUKURU ikikanusha taarifa za upotoshaji zilizoandikwa na magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE zikiwahusisha Maafisa mbalimbali wa TAKUKURU na tuhuma za kupokea rushwa. Kutokana na uzito wa Taarifa husika za kukanusha, taarifa hiyo imesainiwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU.

TAKUKURU ni moja ya Taasisi nyeti za kiserikali. Kimajukumu, TAKUKURU ni Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Wakati nchi ikiwa kwenye vita kubwa ya kutokomeza rushwa nchini, tuhuma dhidi ya wenye jukumu la kutokomeza rushwa si tuhuma ndogo. Ni tuhuma kubwa na zinazopaswa kufanyiwa kazi haraka-kama ilivyotolewa Taarifa ya kukanusha. Uchunguzi zaidi pia unapaswa kufanyika juu ya tuhuma hizo, hasa kwa aliyezitoa ili kujua lengo na nia ya upotoshaji wake.

Ujumbe wa jumla wa Taarifa ya TAKUKURU ni kuwa tuhuma za FAHARI YETU na TANZANITE si za kweli na za kupotosha. Ndiyo kusema, magazeti hayo yameandika habari zisizo za kweli na za kupotosha ambazo zinaweza kusababisha sintofahamu kwenye jamii. Kinachofuata hapo, kwa mujibu wa Sheria, kuwashughulikia wasemauongo na wapotoshaji hao. Katika muktadha huu, magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE yashughulikiwe na kudhibitiwa ipasavyo.

Roporopo huweza kuleta madhara makubwa!
 
Ni nani Mkuu Mselewa atathubutu kulishughulikia gazeti la nduli na dikteta wa Ikulu au kumshughulikia huyo mwendawazimu musiba mhariri anayemdhamini kukiendesha hicho kijigazeti uchwara!?

Leo asubuhi, nimesoma humu JamiiForums Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka TAKUKURU ikikanusha taarifa za upotoshaji zilizoandikwa na magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE zikiwahusisha Maafisa mbalimbali wa TAKUKURU na tuhuma za kupokea rushwa. Kutokana na uzito wa Taarifa husika za kukanusha, taarifa hiyo imesainiwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU.

TAKUKURU ni moja ya Taasisi nyeti za kiserikali. Kimajukumu, TAKUKURU ni Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Wakati nchi ikiwa kwenye vita kubwa ya kutokomeza rushwa nchini, tuhuma dhidi ya wenye jukumu la kutokomeza rushwa si tuhuma ndogo. Ni tuhuma kubwa na zinazopaswa kufanyiwa kazi haraka-kama ilivyotolewa Taarifa ya kukanusha. Uchunguzi zaidi pia unapaswa kufanyika juu ya tuhuma hizo, hasa kwa aliyezitoa ili kujua lengo na nia ya upotoshaji wake.

Ujumbe wa jumla wa Taarifa ya TAKUKURU ni kuwa tuhuma za FAHARI YETU na TANZANITE si za kweli na za kupotosha. Ndiyo kusema, magazeti hayo yameandika habari zisizo za kweli na za kupotosha ambazo zinaweza kusababisha sintofahamu kwenye jamii. Kinachofuata hapo, kwa mujibu wa Sheria, kuwashughulikia wasemauongo na wapotoshaji hao. Katika muktadha huu, magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE yashughulikiwe na kudhibitiwa ipasavyo.

Roporopo huweza kuleta madhara makubwa!
 
Acha kuvunjia watu heshima zao watu wenye upeo mdogo kama nyie ni Bora mnafanya nini hapa jukwaani...nenda Facebook mkatukanane na mabinti wenzio
Mbona macho yanakutoka,Ni heshima gani umevunjiwa wewe.kwani lipi la ajabu hapo.Kaa chini rudia ulichoandika utajua ulichoandika, na utajua kuwa wewe sio mwanasheria na wala sheria hujui ndiyo maana unajibu pumba.Umeambiwa haki inapatikana mahamani kama unaweza kusimama mahakamani umeambiwa hiviii nenda huko acha kudharau watu.
 
Back
Top Bottom