Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,503
- 217,762
jiongeze basi !Umeambiwa na nani?
jiongeze basi !Umeambiwa na nani?
halafu hakuna anayenunua , huwa tunasoma vichwa vya habari tu hapa mtandaoni , lakini wala halifi ! usicheze na nguvu ya ruzuku ya bure !View attachment 1130612
Nani atakaethubutu kulinyoshea kidole, au kulikemea gazeti linalohaririwa magogoni..?
Bila ya kuyasahau yale ya uhuru na mzalendo.. Magazeti yanayoendeshwa na kodi za Watanzania..halafu hakuna anayenunua , huwa tunasoma vichwa vya habari tu hapa mtandaoni , lakini wala halifi ! usicheze na nguvu ya ruzuku ya bure !
Nje ya mada:
Nilichojifunza JF siku hizi sio mahala pa majadiliano ya maslahi mapana ya taifa. Unaweza kuta mada nzuri imeanzishwa ila utakuta imejaa
1-uchama bila kujali maslahi ya tanzania kwa ujumla
2-Personal attacks kwa watoa mada
3-Dhihaka
4-Ujuaji mwingi kwenye kada zisizo zetu. Utakuta hata mimi geologist nabishana na mwanasheria au daktari kwenye kada zao.
Ni aibu sana
Acha kumponda wakili msomiwe si mwanasheria nenda mahakamani ukashtaki, sijui kama kuna kesi hata moja umewahi kuisimamia au wewe ni mwanasheria wa mitandaoni? acha ukanjanja
Kama hujui nani anawalinda, basi rudi usingizini.... hivi vijarida vimeandika upumbavu mwingi kwa muda mrefu sana lakini vipo tu vinadunda! Sijui nani anavilinda hivi vitakataka. Ingekuwa magazeti mengine yameandika hayo, jana ile ile Dr. Abbas angeshaitisha press conference kutoa msimamo wa Serikali na kutangaza kuyafuta rasmi kwa muda usiojulikana. Lakini hivi vijarida vyenyewe vipo tu pamoja na kuwachafua watu wengi na kusambaza upotoshaji mwingi!
To buttress your point, I would borrow the words of the House of Lords, in DERBYSHIRE CC V TIMES NEWSPAPERS LTD (1992), The decision was explained by LordKeith in these terms:;Leo asubuhi, nimesoma humu JamiiForums Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka TAKUKURU ikikanusha taarifa za upotoshaji zilizoandikwa na magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE zikiwahusisha Maafisa mbalimbali wa TAKUKURU na tuhuma za kupokea rushwa. Kutokana na uzito wa Taarifa husika za kukanusha, taarifa hiyo imesainiwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU.
TAKUKURU ni moja ya Taasisi nyeti za kiserikali. Kimajukumu, TAKUKURU ni Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Wakati nchi ikiwa kwenye vita kubwa ya kutokomeza rushwa nchini, tuhuma dhidi ya wenye jukumu la kutokomeza rushwa si tuhuma ndogo. Ni tuhuma kubwa na zinazopaswa kufanyiwa kazi haraka-kama ilivyotolewa Taarifa ya kukanusha. Uchunguzi zaidi pia unapaswa kufanyika juu ya tuhuma hizo, hasa kwa aliyezitoa ili kujua lengo na nia ya upotoshaji wake.
Ujumbe wa jumla wa Taarifa ya TAKUKURU ni kuwa tuhuma za FAHARI YETU na TANZANITE si za kweli na za kupotosha. Ndiyo kusema, magazeti hayo yameandika habari zisizo za kweli na za kupotosha ambazo zinaweza kusababisha sintofahamu kwenye jamii. Kinachofuata hapo, kwa mujibu wa Sheria, kuwashughulikia wasemauongo na wapotoshaji hao. Katika muktadha huu, magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE yashughulikiwe na kudhibitiwa ipasavyo.
Roporopo huweza kuleta madhara makubwa!
Much obliged Counsel!To buttress your point, I would borrow the words of the House of Lords, in DERBYSHIRE CC V TIMES NEWSPAPERS LTD (1992), The decision was explained by LordKeith in these terms:;
It is of the highest public importance that a democratically electedGovernmental body, or indeed "ANY GOVERNMENTAL BODY," should be open touninhibited public criticism. The threat of a civil action for defamation mustinevitably have an inhibiting effect on freedom of speech."
"...... to allow a local authority to sue for libel
would greatly inhibit freedom of speech"
"....Individual officers of a local authority would be able to sue in their own right for libel, and local authorities are at present able to bring an action for criminal libel"
Mkuu, achana na hilo pang'ang'a. Hapo linatafuta hela ya kula.Acha kumponda wakili msomi
Una uhakika gani hajawahi kusimamia kesi mahakamani
Ova
Pamoja na kuwa hivyo vijarida na waandishi/wamiliki wake hawaaminiki, lakini hata TAKUKURU yenyewe pia si kwamba ipo immune kwenye rushwa! Rushwa ni suala la attitude ya jamii yetu zaidi, na hawa TAKUKURU wanatoka miongoni mwa jamii yetu. Kwa hivyo yamkini (probability) kuwa nao wanakula rushwa sio NIL.Leo asubuhi, nimesoma humu JamiiForums Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka TAKUKURU ikikanusha taarifa za upotoshaji zilizoandikwa na magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE zikiwahusisha Maafisa mbalimbali wa TAKUKURU na tuhuma za kupokea rushwa. Kutokana na uzito wa Taarifa husika za kukanusha, taarifa hiyo imesainiwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU.
TAKUKURU ni moja ya Taasisi nyeti za kiserikali. Kimajukumu, TAKUKURU ni Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Wakati nchi ikiwa kwenye vita kubwa ya kutokomeza rushwa nchini, tuhuma dhidi ya wenye jukumu la kutokomeza rushwa si tuhuma ndogo. Ni tuhuma kubwa na zinazopaswa kufanyiwa kazi haraka-kama ilivyotolewa Taarifa ya kukanusha. Uchunguzi zaidi pia unapaswa kufanyika juu ya tuhuma hizo, hasa kwa aliyezitoa ili kujua lengo na nia ya upotoshaji wake.
Ujumbe wa jumla wa Taarifa ya TAKUKURU ni kuwa tuhuma za FAHARI YETU na TANZANITE si za kweli na za kupotosha. Ndiyo kusema, magazeti hayo yameandika habari zisizo za kweli na za kupotosha ambazo zinaweza kusababisha sintofahamu kwenye jamii. Kinachofuata hapo, kwa mujibu wa Sheria, kuwashughulikia wasemauongo na wapotoshaji hao. Katika muktadha huu, magazeti ya FAHARI YETU na TANZANITE yashughulikiwe na kudhibitiwa ipasavyo.
Roporopo huweza kuleta madhara makubwa!
Mkuu huyo ni msanii tu,mwanasheria makini huwa hakurupukiwe si mwanasheria nenda mahakamani ukashtaki, sijui kama kuna kesi hata moja umewahi kuisimamia au wewe ni mwanasheria wa mitandaoni? acha ukanjanja
Mkuu, achana na hilo pang'ang'a. Hapo linatafuta hela ya kula.
Hayo ni magazeti ya Musiba a third person after Mkulubilanga. Akianza Mkukubilanga, anafuata BASHITE kisha mmiliki wa hayo magazeti.
Magazeti yenyewe yanachapiahwa mbweni kwenye asasi nyeti kuliko zote nchini.
Hamna mwenye uwezo wa kumuwajibisha
Tena Kinga ya kudumuMbona magazeti mengine hufungiwa haya je yana kinga?
Mkuu, achana na hilo pang'ang'a. Hapo linatafuta hela ya kula.
Kwa haya uliyoyaandika, sina shaka wewe ndiye Musiba mwenyewe!we si mwanasheria nenda mahakamani ukashtaki, sijui kama kuna kesi hata moja umewahi kuisimamia au wewe ni mwanasheria wa mitandaoni? acha ukanjanja