Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,574
- 217,939
kweli ni nje ya mada , lakini lengo la wewe kuandika hii kwenye uzi huu lilikuwa nini ?Nje ya mada:
Nilichojifunza JF siku hizi sio mahala pa majadiliano ya maslahi mapana ya taifa. Unaweza kuta mada nzuri imeanzishwa ila utakuta imejaa
1-uchama bila kujali maslahi ya tanzania kwa ujumla
2-Personal attacks kwa watoa mada
3-Dhihaka
4-Ujuaji mwingi kwenye kada zisizo zetu. Utakuta hata mimi geologist nabishana na mwanasheria au daktari kwenye kada zao.
Ni aibu sana