ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Nimekuwa impressed na safari ya maisha ya marehemu Rais Mstaafu mzee Mkapa
Alianza shule ya msingi kijijini Lupaso miaka hiyo ya 1940s. Akasoma Ndanda na Kigonsera. Alisoma kwa taabu nyingi ikiwemo kutembea peku kwa kilometa nyingi. Lakini mwisho tumeona kile alicho archive, CV yake inatosha
Najiuliza hivi ubora wa elimu ile ya Tanzania hasa Shule za msingi uliishia wapi? Mbona mzee mkapa kafanya makubwa sana duniani kwa elimu ya Tanzania tena ya miaka karibia 80 iliyopita ?
Nashauri wizara ya elimu ichukue hii kama changamoto elimu yetu ipigwe msasa shule ziwe bora, kusiwe na haja ya kupeleka mtoto shule ya kulipia mamilioni viwango viwe sawa au zaidi ya private schools jambo linaloonekana kufanikiwa huko nyuma
Tuache Siasa kwenye Elimu ikiwa ni pamoja na île fikra ati ya kuachana na utumiaji wa Lugha ya kingereza,tumeona jinsi mzee mkapa alivyofanya vizuri katika lugha ya kiingereza ambapo msingi wa Mwanzo aliupata huko Lupaso, nadhani juhudi na uwezo wake ndio ulimfanya hadi kufikia kushiriki kwa ukamilifu katika maswala mengi ya kimataifa hadi kualikwa na viongozi wa mataifa mukubwa duniani jukwaa la world economic forum, kusuluhisha migogoro, ubalozi na majukumu mengi hata baada ya kustaafu hapo ndipo tunapoona umuhimu wa kuwa na english medium School ikibidi shule zote za serikali zitumie english kama lugha ya kufundishia.
Rais amefaulu kuifanikisha elimu bure sasa ni wakati wa wizara husika kuifanya kuwa Quality kwa kuhakikisha vyumba vya madarasa, ratio ya Mwalimu na idadi ya wanafunzi darasani, vifaa, viti madawati walimu wazuri pamoja na stahiki zao ziboreshwe vizuri
Nadhani tukiutafuta ubora tutafanikiwa kwani zamani tuliweza vipi? Kusiwepo tofauti za mbinu na mazingira ya ufundishaji kati ya government na private Schools
Apumzike kwa amani mzee wetu BWM.
Alianza shule ya msingi kijijini Lupaso miaka hiyo ya 1940s. Akasoma Ndanda na Kigonsera. Alisoma kwa taabu nyingi ikiwemo kutembea peku kwa kilometa nyingi. Lakini mwisho tumeona kile alicho archive, CV yake inatosha
Najiuliza hivi ubora wa elimu ile ya Tanzania hasa Shule za msingi uliishia wapi? Mbona mzee mkapa kafanya makubwa sana duniani kwa elimu ya Tanzania tena ya miaka karibia 80 iliyopita ?
Nashauri wizara ya elimu ichukue hii kama changamoto elimu yetu ipigwe msasa shule ziwe bora, kusiwe na haja ya kupeleka mtoto shule ya kulipia mamilioni viwango viwe sawa au zaidi ya private schools jambo linaloonekana kufanikiwa huko nyuma
Tuache Siasa kwenye Elimu ikiwa ni pamoja na île fikra ati ya kuachana na utumiaji wa Lugha ya kingereza,tumeona jinsi mzee mkapa alivyofanya vizuri katika lugha ya kiingereza ambapo msingi wa Mwanzo aliupata huko Lupaso, nadhani juhudi na uwezo wake ndio ulimfanya hadi kufikia kushiriki kwa ukamilifu katika maswala mengi ya kimataifa hadi kualikwa na viongozi wa mataifa mukubwa duniani jukwaa la world economic forum, kusuluhisha migogoro, ubalozi na majukumu mengi hata baada ya kustaafu hapo ndipo tunapoona umuhimu wa kuwa na english medium School ikibidi shule zote za serikali zitumie english kama lugha ya kufundishia.
Rais amefaulu kuifanikisha elimu bure sasa ni wakati wa wizara husika kuifanya kuwa Quality kwa kuhakikisha vyumba vya madarasa, ratio ya Mwalimu na idadi ya wanafunzi darasani, vifaa, viti madawati walimu wazuri pamoja na stahiki zao ziboreshwe vizuri
Nadhani tukiutafuta ubora tutafanikiwa kwani zamani tuliweza vipi? Kusiwepo tofauti za mbinu na mazingira ya ufundishaji kati ya government na private Schools
Apumzike kwa amani mzee wetu BWM.