Zee la Kazi
JF-Expert Member
- Mar 5, 2023
- 335
- 619
Ila wanawake bhna Wanajifunza Michezo hatari sanaa😮...yote hiyo ni Kapigia mahesabu makaratasi aliyo yapapasa mfukon mwako..ukiona kaanza hiyo michezo hakikisha uliacha Kodi ya meza nyumban kwa Bimkubwa km hukuacha Toka mbio sana na usigeuke nyuma..ndo zaoo📌Salaam waungwana!
Nina kamchepuko kangu ambako tunapendana vizuri tu (kwa hali zetu, ananivumilia, namvumilia). Huu mchepuko ni mmoja kati ya wale wa kina dada wa kileo wanaoamini katika ufinyiaji kisawasawa wa ndani ili kumsatisha mwenza.
Tukikutana, ndani ya dakika tatu zangu za kulast (rejea ule uzi) basi anaweza kuifinyia kwa ndani hata mara nne, kila baada ya sekunde kadhaa finyo, kila baada ya sekunde kadhaa finyo. Sio mbaya.
Tatizo wadau ni kuwa katika ufinyaji wake basi hutoa shuzi. Tatizo ni nini?
Mara ya kwanza nilikuwa na wasiwasi na yale mambo na ndo maana nikafanya uchunguzi wa maana haswaa kupitia ule mtindo wetu pendwa wa uchumaji tembele, sijaona muachano wowote, iko 'taiti' tu.
Natamani nimwambie asilazilazimishe kuifinya lakini naona kama nitamkata stimu hivi, nidanganje vipi wadau?