Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Watanzania tumejiwekea utaratibu(japo siyo rasmi) wa kuwaenzi viongozi wetu kwa michango yao kwa taifa letu kwa kutoa majina ya viongozi hao kwa baadhi ya maeneo kama vile barabara, viwanja vya michezo, taasisi za elimu ya juu, majengo, madaraja nakadhalika. Kwa mfano:
Nyerere
The Mwalimu nyerere International airpot
The Mwalimu nyerere memorial academy pale kigamboni
Mwalimu nyerere road
Mwinyi
Ali hassani mwinyi road
Ali Hassan Mwinyi stadium Tabora
Mkapa
Benjamini William Mkapa Economic Processing Zone EPZ(Mabibo)
Mkapa bridge (daraja la mkapa)
Benjamini William Mkapa tower(mafuta house)
Na kulikuwa na tetesi kwamba uwanja mpya wa taifa walitaka uitwe Mkapa stadium na chuo kikuu cha dodoma walitaka kiitwe Benjamini William Mkapa university lakini ikapendekezwa isiwe hivyo maana ingekuwa too much
Tukiachia mbali majina ya shule za secondary kama
Ali hassani mwinyi Elite schools
Kambarage secondary school
Mkapa High School(City High School)
Binafsi naona kama mda unazidi kuisha jina la Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete linaweza lisitumike kabisa katika eneo lolote lenye hadhi, na kwasababu vyuo kama CBE na IFM kwasasa watakuwa wakitoa degree badala ya advanced diploma nadhani utakuwa ni mda muafaka kuitumia nafasi hii pia kubadilisha majina yao, kwa mfano IFM yaweza kuitwa Kikwete University of Finance Management(KUFIMA) au CBE ikaitwa Kikwete University of Business Education(KUBEDU). Ni mapendekezo tuu kama ikionekana hastahili hata kwa hilo basi japo napenda sana jina la kikwete litumike mahala fulani panye hadhi na binafsi nina Bar ya kichovu pale tegeta naogopa kuiita jina lake.
Nyerere
The Mwalimu nyerere International airpot
The Mwalimu nyerere memorial academy pale kigamboni
Mwalimu nyerere road
Mwinyi
Ali hassani mwinyi road
Ali Hassan Mwinyi stadium Tabora
Mkapa
Benjamini William Mkapa Economic Processing Zone EPZ(Mabibo)
Mkapa bridge (daraja la mkapa)
Benjamini William Mkapa tower(mafuta house)
Na kulikuwa na tetesi kwamba uwanja mpya wa taifa walitaka uitwe Mkapa stadium na chuo kikuu cha dodoma walitaka kiitwe Benjamini William Mkapa university lakini ikapendekezwa isiwe hivyo maana ingekuwa too much
Tukiachia mbali majina ya shule za secondary kama
Ali hassani mwinyi Elite schools
Kambarage secondary school
Mkapa High School(City High School)
Binafsi naona kama mda unazidi kuisha jina la Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete linaweza lisitumike kabisa katika eneo lolote lenye hadhi, na kwasababu vyuo kama CBE na IFM kwasasa watakuwa wakitoa degree badala ya advanced diploma nadhani utakuwa ni mda muafaka kuitumia nafasi hii pia kubadilisha majina yao, kwa mfano IFM yaweza kuitwa Kikwete University of Finance Management(KUFIMA) au CBE ikaitwa Kikwete University of Business Education(KUBEDU). Ni mapendekezo tuu kama ikionekana hastahili hata kwa hilo basi japo napenda sana jina la kikwete litumike mahala fulani panye hadhi na binafsi nina Bar ya kichovu pale tegeta naogopa kuiita jina lake.