Kufilisika mabenki sio uchumi umetikisika ila kuna watu watafungwa maisha

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,217
Mnajua ndugu watanzania hizi siasa majitaka tusipokuwa makini kila mtu atakuwa Lisu kulaumu watu wasiojulikana while wewe mwenyewe hujulikani.

Hii hali yakuzorota mabenki walahi nawaambia kuna CO na wakurugenzi wanaenda kunyea jela wa kwanza kwenye ile benki kubwa ambayo ipo mpaka nje ya nchi.

Watu wamefanya mambo mabaya sana jamani nawaambia mchukieni huyu rais ila kunasiku mtamuomboleza kama amekufa baba yenu kwakweli inatisha sana.

Hivi kuna mtanzania anajuwakile kilikuwa kinaendelea kwenye huh utitiri wa mabank ya biashara? Eti kukuwa kwa uchumi hivi tumelogwa na nani?

Magufuli ndio alietoa kibali mfungue mabank nakuyapa hadhi yakomesho bank while dp zao zipo chini? Ama mashetani gani yanawatesa wa Tanzania.

Magufuli ndie alikuwa amesema CO na MD wa hizi banks wapike mahesabu na mwisho wa mwaka walipane mabonas na mishahara kupanda while wanakusanya hewa jamani nani katuloga?

Magufuli ndie aliwaambia mkopeshe chini yakiwango mtumke hati zisizo kuwa kamili mwisho mikopo imekuwa chechefu NPl zimepanda nani kawaloga nyie.

Jamani na Mungu atupe uzima hakuna atakaye pona kwenye hili watu wamefilisi taifa wamefanya mambo ya hovyo kabisa na Magu hatowaacha walale kwwnye magorofa waliochuma kwa wizi.

Picha imeanza hakuna kulala alie sema anangatuka uwenda asifike maana next pics wote mtalala chini nakusema Mungu tusamehe.
 
Mnajuwa ndugu watanzania hizi siasa maji taka tusipokuwa makini kila mtu atakuwa Lisu kulaumu watu wasiojulikana while wewe mwenyewe hujulikani..
Hii hali yakuzorota mabank walahi nawaambia kuna ma coo na wakurugenz wanaenda kunyea jela wakwanza kwenye ile bank kubwa ambayo ipo mpaka nje ya nchi..
Watu wamefanya mambo mabaya sana jamani nawaambia mchukieni huyu rais ila kunasiku mtamuomboleza kama amekufa baba yenu kwakweli inatisha sana.
Hivi kuna mtanzania anajuwakile kilikuwa kinaendelea kwenye huh utitiri wa mabank ya biashara? Eti kukuwa kwa uchumi hivi tumelogwa na nani?
Magufuli ndio alietoa kibali mfungue mabank nakuyapa hadhi yakomesho bank while dp zao zipo chini? Ama mashetani gani yanawatesa wa Tz...
Magufuli ndie alikuwa amesema coo na Md wahizi bank wapike mahesabu na mwisho wa mwaka walipane mabonas na mishahara kupanda while wanakusanya hewa jamani nani katuloga?
Magufuli ndie aliwaambia mkopeshe chini yakiwango mtumke hati zisizo kuwa kamili mwisho mikopo imekuwa chechefu NPl zimepanda nani kawaloga nyie...
Jamani na Mungu atupe uzima hakuna atakaye pona kwenye hili watu wamefilisi taifa wamefanya mambo ya hovyo kabisa na Magu hatowaacha walale kwwnye magorofa waliochuma kwa wizi...
Picha imeanza hakuna kulala alie sema anangatuka uwenda asifike maana next pics wote mtalala chini nakusema Mungu tusamehe.

 
Mnajuwa ndugu watanzania hizi siasa maji taka tusipokuwa makini kila mtu atakuwa Lisu kulaumu watu wasiojulikana while wewe mwenyewe hujulikani..
Hii hali yakuzorota mabank walahi nawaambia kuna ma coo na wakurugenz wanaenda kunyea jela wakwanza kwenye ile bank kubwa ambayo ipo mpaka nje ya nchi..
Watu wamefanya mambo mabaya sana jamani nawaambia mchukieni huyu rais ila kunasiku mtamuomboleza kama amekufa baba yenu kwakweli inatisha sana.
Hivi kuna mtanzania anajuwakile kilikuwa kinaendelea kwenye huh utitiri wa mabank ya biashara? Eti kukuwa kwa uchumi hivi tumelogwa na nani?
Magufuli ndio alietoa kibali mfungue mabank nakuyapa hadhi yakomesho bank while dp zao zipo chini? Ama mashetani gani yanawatesa wa Tz...
Magufuli ndie alikuwa amesema coo na Md wahizi bank wapike mahesabu na mwisho wa mwaka walipane mabonas na mishahara kupanda while wanakusanya hewa jamani nani katuloga?
Magufuli ndie aliwaambia mkopeshe chini yakiwango mtumke hati zisizo kuwa kamili mwisho mikopo imekuwa chechefu NPl zimepanda nani kawaloga nyie...
Jamani na Mungu atupe uzima hakuna atakaye pona kwenye hili watu wamefilisi taifa wamefanya mambo ya hovyo kabisa na Magu hatowaacha walale kwwnye magorofa waliochuma kwa wizi...
Picha imeanza hakuna kulala alie sema anangatuka uwenda asifike maana next pics wote mtalala chini nakusema Mungu tusamehe.
Mkuu mimi sijatumia muda mrefu kukuelewa. Nimekuelewa sawia. Watu walikuwa wanagawana deposits za wenzao. NPL hizo zikaguliwe vizuri mtakutana na maajabu; mikopo isiyolipika ni ya ndugu, jamaa, marafiki na wa kwetu. Collateral hewa, mikopo hewa, wakopeshwaji hewa, nk. Bank Supervision ya BOT ina la kutuambia kwenye hii shughuli.
 
Kufilisika na kufungwa maisha... kama alivyofungwa nani? Mbona cjasikia hiyo bank yenye matawi hadi nje na yenyewe inaelekea kufilisika?!

Tunaleta siasa kwenye serious issues. Ukweli ni kwamba private sector imeyumba sana! Private sector ikiyumba lazima commercial banks zitayumba tu!

Mwaka 2016 CRDB mikopo isiyolipika ilifika 2 Billion! Ni vile tu CRDB ni giant lakini ingekuwa ni bank ndogo; 2 billion ni pesa nyingi sana!

Inawezekana kabisa pale TWB kuna mikopo ya ujanja ujanja ya wakubwa kama ilivyokuwa Twiga Bancorp!

Hata hivyo, TWB imekopesha sana akina Mama Wajasiliamali na wengi wameyumba baada ya sekta binafsi kwa ujumla kuyumba!

Sifahamu Efatha wanafanya fanya vipi lakini na hawa nao ikiwa walikuwa wanakopeshana sana kwa "Kwa Jina la Yesu" basi na wenyewe wasingeweza kuwa salama!

Wakati tunasema you can't abuse the private sector ukaendelea kubaki salama mlikuwa mnakimbilia kusema tulizoea kupiga madili!
 
Mkuu mimi sijatumia muda mrefu kukuelewa. Nimekuelewa sawia. Watu walikuwa wanagawana deposits za wenzao. NPL hizo zikaguliwe vizuri mtakutana na maajabu; mikopo isiyolipika ni ya ndugu, jamaa, marafiki na wa kwetu. Collateral hewa, mikopo hewa, wakopeshwaji hewa, nk. Bank Supervision ya BOT ina la kutuambia kwenye hii shughuli.
Hivi ukiambiwa over the past 2 years kuna biashara nyingi zimefungwa utakataa?! Btw; hao ndugu, marafiki na majamaa kwanini washindwe kulipa sasa and not before? Hivi unaamini kabisa benki kama Ecobank inaweza kurundika mikopo kwa ndugu, marafiki na jamaa?

Anyway, ckatai kwamba hakuna mikopo kama hiyo... ipo sana for years now lakini haiwezi kuwa sababu!

Inafahamika benki iliyoathirika kwa mikopo ya aina hiyo ni Twiga Bancorp ambayo vigogo wa kisiasa wamechangia sana! Na hii bank ilikuwa taabani tangu zama za JK.

Kinyume chake; kuyumba kwa hizi zingine kumechangiwa sana na kuzorota kwa sekta binafsi! Ukweli ni kwamba biashara nyingi zimekufa! Na nyingi ya hizi biashara wanakuwa wamechukua mikopo!

Bank kama CRDB & NMB ndo vile tu wana assets na deposits za kutosha lakini na zenyewe ukiangalia balance sheets zao unaona ongezeko la bad debts na Portfolio At Risk!
 
Kufilisika na kufungwa maisha... kama alivyofungwa nani? Mbona cjasikia hiyo bank yenye matawi hadi nje na yenyewe inaelekea kufilisika?!

Tunaleta siasa kwenye serious issues. Ukweli ni kwamba private sector imeyumba sana! Private sector ikiyumba lazima commercial banks zitayumba tu!

Mwaka 2016 CRDB mikopo isiyolipika ilifika 2 Billion! Ni vile tu CRDB ni giant lakini ingekuwa ni bank ndogo; 2 billion ni pesa nyingi sana!

Inawezekana kabisa pale TWB kuna mikopo ya ujanja ujanja ya wakubwa kama ilivyokuwa Twiga Bancorp!

Hata hivyo, TWB imekopesha sana akina Mama Wajasiliamali na wengi wameyumba baada ya sekta binafsi kwa ujumla kuyumba!

Sifahamu Efatha wanafanya fanya vipi lakini na hawa nao ikiwa walikuwa wanakopeshana sana kwa "Kwa Jina la Yesu" basi na wenyewe wasingeweza kuwa salama!

Wakati tunasema you can't abuse the private sector ukaendelea kubaki salama mlikuwa mnakimbilia kusema tulizoea kupiga madili!
Hizo bank zilizofungwa si kwa sababu hali ya uchumi kwa sasa ni mbaya. Zilikosa sifa ya kuwa bank kwa miaka zaidi ya 5 nyuma sababu hazikuwa na mtaji unaohitajika kisheria.

Kilichopo sasa ni Rais asiyetaka danganya danganya na bembeleza bembeleza. Kila mtu alimsikia alichowaambia magavana walipotembelea ikulu. Alichofanya yeye ni Kuhimiza sheria ifuatwe.

Na baadhi ya watu hawaelewi kwamba uamuzi huo ni wa kishujaa na unalenga kuokoa kupotea kwa pesa nyingi zaidi za watu na taasisi!
 
Mnajua ndugu watanzania hizi siasa majitaka tusipokuwa makini kila mtu atakuwa Lisu kulaumu watu wasiojulikana while wewe mwenyewe hujulikani.

Hii hali yakuzorota mabenki walahi nawaambia kuna CO na wakurugenzi wanaenda kunyea jela wa kwanza kwenye ile benki kubwa ambayo ipo mpaka nje ya nchi.

Watu wamefanya mambo mabaya sana jamani nawaambia mchukieni huyu rais ila kunasiku mtamuomboleza kama amekufa baba yenu kwakweli inatisha sana.

Hivi kuna mtanzania anajuwakile kilikuwa kinaendelea kwenye huh utitiri wa mabank ya biashara? Eti kukuwa kwa uchumi hivi tumelogwa na nani?

Magufuli ndio alietoa kibali mfungue mabank nakuyapa hadhi yakomesho bank while dp zao zipo chini? Ama mashetani gani yanawatesa wa Tanzania.

Magufuli ndie alikuwa amesema CO na MD wa hizi banks wapike mahesabu na mwisho wa mwaka walipane mabonas na mishahara kupanda while wanakusanya hewa jamani nani katuloga?

Magufuli ndie aliwaambia mkopeshe chini yakiwango mtumke hati zisizo kuwa kamili mwisho mikopo imekuwa chechefu NPl zimepanda nani kawaloga nyie.

Jamani na Mungu atupe uzima hakuna atakaye pona kwenye hili watu wamefilisi taifa wamefanya mambo ya hovyo kabisa na Magu hatowaacha walale kwwnye magorofa waliochuma kwa wizi.

Picha imeanza hakuna kulala alie sema anangatuka uwenda asifike maana next pics wote mtalala chini nakusema Mungu tusamehe.
Huna Idea yeyote ya Banking system wala huelewi nini maana ya lenders na Borrowers

Bank ni intermediary tu au kiunganishi kati ya walio na pesa nyingi yaani hawana pa kuzipeleka na maskini au kapuku kama wewe TumainEli hivyo ina kuconnect upate walau mikopo

Uwepo wa Bank nyingi sio sababu hii ni Capitalist economy, Serikali haifanyi kila kitu hapa Tanzania, Introduction ya private Sector kipindi cha Mkapa ndio umeona nchi hii imebadilika

Mkapa alijenga Institution na ndio tatizo kubwa sasa, Taasisi zilizojengwa wengine wanazirudisha nyuma

Kwa ufupi wewe elimu ya Fedha hauna, acha kuropoka
 
Mnajua ndugu watanzania hizi siasa majitaka tusipokuwa makini kila mtu atakuwa Lisu kulaumu watu wasiojulikana while wewe mwenyewe hujulikani.

Hii hali yakuzorota mabenki walahi nawaambia kuna CO na wakurugenzi wanaenda kunyea jela wa kwanza kwenye ile benki kubwa ambayo ipo mpaka nje ya nchi.

Watu wamefanya mambo mabaya sana jamani nawaambia mchukieni huyu rais ila kunasiku mtamuomboleza kama amekufa baba yenu kwakweli inatisha sana.

Hivi kuna mtanzania anajuwakile kilikuwa kinaendelea kwenye huh utitiri wa mabank ya biashara? Eti kukuwa kwa uchumi hivi tumelogwa na nani?

Magufuli ndio alietoa kibali mfungue mabank nakuyapa hadhi yakomesho bank while dp zao zipo chini? Ama mashetani gani yanawatesa wa Tanzania.

Magufuli ndie alikuwa amesema CO na MD wa hizi banks wapike mahesabu na mwisho wa mwaka walipane mabonas na mishahara kupanda while wanakusanya hewa jamani nani katuloga?

Magufuli ndie aliwaambia mkopeshe chini yakiwango mtumke hati zisizo kuwa kamili mwisho mikopo imekuwa chechefu NPl zimepanda nani kawaloga nyie.

Jamani na Mungu atupe uzima hakuna atakaye pona kwenye hili watu wamefilisi taifa wamefanya mambo ya hovyo kabisa na Magu hatowaacha walale kwwnye magorofa waliochuma kwa wizi.

Picha imeanza hakuna kulala alie sema anangatuka uwenda asifike maana next pics wote mtalala chini nakusema Mungu tusamehe.
Amin nakwambia hakuna mtu yeyote wala watoyo wako watakayemkumbuka huyu jamaa kwa sasa tunamkumbuka jk na utashuhudia mdororo mkubwa wa uchumi, urais ni taasisi sio MTU mmoja kukurupuka na chuki zake kwa kada fulani
 
Back
Top Bottom