AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,536
- 4,513
Kama haya ndio yanayosomwa...kwa sababu hayaakisi maisha halisi wala hayagusi changamoto zake na kuzitatua...
Sasa nimsome Panzi na kuweka kichwani parts zake zote ili iweje...
Hebu tuambieni mliomeza haya mavitu...yamewasaidia nini kujikwamua na hali mbaya ya Jiwe...
Hili lielimu letu liangalie mambo ya msingi ya kusoma...kuanzia ya msingi...mtu atoke na fani yake kabisa itakayomsaidia na kupambana na changamoto za kimazingira...
Wizara ya elimu...sijui hayo maprofesa ugali tu...vitambi vimewajaa tu bila kuwa na mawazo mbadala...
Lets change our mindset...
Leo mtoto aliyemaliza form four akafeli akarudi mtaani...hajui what to do kabisa...kwa ajili ya kuwamezesha utumbo utumbo kama huu...
UKIONA MWANAO AU NDUGU YAKO KAFELI FORM FOUR...BASI USIHUZUNIKE...NI KWA SABABU WANAMEZESHWA UTUMBO KAMA HUU...NA UUMPE PONGEZI KUWA AKILI YAKE IMEJUA KUNG'AMUA IKAONA SIO MUHIMU KUHIFADHI UTUMBO KAMA HUO...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nimsome Panzi na kuweka kichwani parts zake zote ili iweje...
Hebu tuambieni mliomeza haya mavitu...yamewasaidia nini kujikwamua na hali mbaya ya Jiwe...
Hili lielimu letu liangalie mambo ya msingi ya kusoma...kuanzia ya msingi...mtu atoke na fani yake kabisa itakayomsaidia na kupambana na changamoto za kimazingira...
Wizara ya elimu...sijui hayo maprofesa ugali tu...vitambi vimewajaa tu bila kuwa na mawazo mbadala...
Lets change our mindset...
Leo mtoto aliyemaliza form four akafeli akarudi mtaani...hajui what to do kabisa...kwa ajili ya kuwamezesha utumbo utumbo kama huu...
UKIONA MWANAO AU NDUGU YAKO KAFELI FORM FOUR...BASI USIHUZUNIKE...NI KWA SABABU WANAMEZESHWA UTUMBO KAMA HUU...NA UUMPE PONGEZI KUWA AKILI YAKE IMEJUA KUNG'AMUA IKAONA SIO MUHIMU KUHIFADHI UTUMBO KAMA HUO...
Sent using Jamii Forums mobile app