Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,563
- 3,708
Namungo Fc ipo nafasi ya kumi katika msimamo wa ligi kuu Tanzania bara ikiwa imecheza michezo 18 pekee.
Huku wawakilishi wenzao Simba Sc imecheza michezo 20 ya ligi kuu ikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu Tanzania bara.
Namungo Fc ilikuwa na muendelezo mzuri wa kupata matokeo chanya katika ligi kuu na kombe la shirikisho Africa katika hatua za awali lakini baada kuingia kwenye makundi hali imekuwa tofauti kabisa.
Je tuseme ni kwa sababu timu inakosa morali ya kuichezaji na upambanaji kutokana na kukaa mda mrefu bila kucheza mechi kubwa?
Kabla ya mechi ya leo dhidi ya pyramids Fc ambapo namungo amepoteza goli 0-2 ni mechi ya pili mfululizo kwenye hatua ya makundi pia zinatimia siku 7 bila kucheza mechi ya ushindani wakati yupo hapahapa nyumbani.
Au wameridhika walipofika?
Huku wawakilishi wenzao Simba Sc imecheza michezo 20 ya ligi kuu ikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu Tanzania bara.
Namungo Fc ilikuwa na muendelezo mzuri wa kupata matokeo chanya katika ligi kuu na kombe la shirikisho Africa katika hatua za awali lakini baada kuingia kwenye makundi hali imekuwa tofauti kabisa.
Je tuseme ni kwa sababu timu inakosa morali ya kuichezaji na upambanaji kutokana na kukaa mda mrefu bila kucheza mechi kubwa?
Kabla ya mechi ya leo dhidi ya pyramids Fc ambapo namungo amepoteza goli 0-2 ni mechi ya pili mfululizo kwenye hatua ya makundi pia zinatimia siku 7 bila kucheza mechi ya ushindani wakati yupo hapahapa nyumbani.
Au wameridhika walipofika?