MJADALA: Je, kuna madhara yoyote ya kufanya mapenzi wakati wa hedhi?

Safi sana
Utafiti wa kisayansi umethibitisha kuwa wakati wa hedhi, mwanamke anakuwa ni kama mgonjwa na kumuingilia kunamuumiza na ni madhara kwa mume na mke mwenyewe, kwani vidudu huenda vikaingia na mwanamke akakosa kuzaa kabisa na pengine mume mwenyewe kupata ugonjwa kwani damu huwa imebeba vidudu vingi.

Kwa wale wenye kuamini dini ya Kiislam wao wanafata aya hii

Na wanakuuliza kuhusu hedhi. Waambie huo ni uchafu (ugonjwa). Basi jitengeni na mwanamke wakati wa hedhi. Wala msiwaingilie mpaka watwahirike. Wakisha twahirika basi waendeeni Alivyokuamrisheni Allah. hakika Allah Huwapenda wanaotubu na Huwapenda wanaojisafisha
(Qur'an 2: 222).

Aya hii ipo wazi kuwa mwanamke haifai kuingiliwa wakati huo na atakayefanya, amefanya jambo la dhambi na inabidi atubie kwa Allah kwa kutolirudia kosa hilo.

Kwa ufupi, Mtume (saw) amesema unaweza kufanya na mkeo kila kitu katika kuchezeana, Haifahi kumuingilia mpaka amalize ada yake ya hedhi.

Kwa wenye kuamini dini ya kikristo wao wanakatazwa kwa aya hii:

Leviticus 15:20-25
And if a woman have an issue, and her issue in her flesh be blood, she shall be put apart seven days: and whosoever toucheth her shall be unclean until the even.

And every thing that she lieth upon in her separation shall be unclean: every thing also that she sitteth upon shall be unclean.

And whosoever toucheth her bed shall wash his clothes, and bathe himself in water, and be unclean until the even.

And whosoever toucheth any thing that she sat upon shall wash his clothes, and bathe himself in water, and be unclean until the even.

And if it be on her bed, or on any thing whereon she sitteth, when he toucheth it, he shall be unclean until the even.

And if any man lie with her at all, and her flowers be upon him, he shall be unclean seven days; and all the bed whereon he lieth shall be unclean.

And if a woman have an issue of her blood many days out of the time of her separation, or if it run beyond the time of her separation; all the days of the issue of her uncleanness shall be as the days of her separation: she shall be unclean

Ezekiel 18:5-6
But if a man be just, and do that which is lawful and right, and hath not ... come near to a menstruous woman...

There are a few risks to sex during menstruation.

-Many STD organisms thrive in the rich menstrual flow, so any STD contracted is likely to be worse than if contracted while you were not menstruating.

-HIV is more easily passed from an infected woman during her menses.

-Herpes infections often flare up during menstruation, making transmission easier.

-Some scientists believe that sex during menstruation puts a woman at higher risk of pelvic inflammatory disease.

-It should also be noted that, even though this is the time when a woman is least likely to become pregnant, it is not impossible. Don't use menstruation as a contraceptive, because it doesn't work.

A newly published study by Dr. Winnifred Cutler of the Athena Institute for Women's Wellness, Inc. in Chester Springs, PA and her colleagues shows that engaging in coitus during menstruation is associated with heavier bleeding patterns in perimenopausal women

Coitus and Menstruation in Perimenopausal Women

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale walio amini kama mimi haijuzu kufanya tendo la ndoa wakati ahaly yako akiwa katika siku zake.

Kisheria inakupasa mwanaume umlipe mwanamke kiasi kadhaa cha fedha.

Fatwa zaidi inahitajika katika hili.
 
Najua hii ni post ya zamani ila; kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni UCHAFU MKUBWA
Kimsingi kushindwa kukaa bila ya kufanya mapenzi kwa siku tano au wiki kwa kusubiria mwenza amelize hicho kipindi ni hatari kwani inaonesha mwanamme wa nana hiyo hawezi kukaa bila kufanya mapenzi (anafanya mapenzi year round!!!!)

Je: mwanamke akiugua huyo mwanamme hufanyaje? Kwa lugha nyingine huyo mwanamme ni Waasharati !!!

Naamini kabisa kwa wanawake wanaojitambua na wanaume wanaojitambua pia hawawezi kukubali hicho kitendo; NI UCHAFU!!!
 
Ni madhara gani mtu anaweza kupata akifanya mapenzi au tendo la ndoa na mwanamke aliyeko kwenye siku zake?
Thoughtfull....... I think so Poa kuspill. Mali on the surface kwan huinjoi event harufu tu ni kero. Kama una-enjoy basi we ni mjukuu wa mnyama.
 
habari wana bodi ya jF.

naomba msaada wenu wataalamu wa afya au we uzoefu na swala la kufanya mapenzi wakati mwanamke akiwa kwenye hedhi.

ni madhara gani mwanamume anayapata kwakushiriki tendo hilo bila kinga mwanamke akiwa hedhini??

muhimu: (sio kama unadhamiria kufanya mapenzi wakati wa hedhi)
imekua ikitokea wakati mtu unafanya mapenzi na mkeo ghafla wakati shughuli inaendelea inapelekea mwanamke kubleed na hedhi kuanzia siku hiyo hiyo au wakati ambapo zile siku zake za hedhi kuisha pengine siku moja baada au mbili mkikutana hujikuta ile damu ya hedhi ikitoka tena kana kwamba ilisahau kutoka na baada ya hapo haiendelei tena.

wataalam na wenye hekima hebu mnijuze tafadhali!!
nawasilisha.
 
Baba jay'rose,
Hiyo yaweza kuwa Ni dalili kuwa huyo mkeo ana tatizo amamuone daktari was wa magonjwa ya wanawake.

Lakini huwenda Wewe humuumiza au kumchubua kuta za uke na kupelekea kuiona hiyo damu!
MADHARA.

Huweza kupata maambukizo ya maradhi. Inasadikika huweza kupata tatizo za kuziba mkojo endapo pipe ikafyonza danu kidogo na kuganda ndani ya pipe hiyo.
 
Mkuu umenikumbusha kitu, niliwahi kuwa na dem alichoma sindano (family planning), nimetoka kambini full ugumu nimekula mzgo katikati akaanza kubleed nkasema haiwezekani nkapiga mzgo fresh, nikavumilia kama siku tano hv (huwa anableed siku tatu tu) damu haikati, nikakabidhi kila kitu kwa shetani nikawa nakula hvo hvo licha ya kulikuwa na kaharufu flani hv kibaya ila skujali,

ila baada ya muda nikapata miwasho ndani ya pipe ila nashukuru nilimsimulia babu tatizo hilo akanipa unga flani mchanyanyiko wa miziz na majani nikawa natia kwenye chai au uji, baada ya siku mbili ile hali ikaisha kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawe usimkaribie mwanamke kufunua utupu wake wakati wa kutengwa kwa ajili ya unajisi wake.

Mambo ya Walawi 18 :19
 
Back
Top Bottom