Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
Hedhi mbona ni siku chache ? Una ukame wa namna gani mpaka ufanye mapenzi siku hizo ??
KweliHata kende hupata madhara, huvimba na kuuma sana kiasi ya kushindwa kukaa ama kutembea. Hii utokea siku chache baada ya tendo.
Utafiti wa kisayansi umethibitisha kuwa wakati wa hedhi, mwanamke anakuwa ni kama mgonjwa na kumuingilia kunamuumiza na ni madhara kwa mume na mke mwenyewe, kwani vidudu huenda vikaingia na mwanamke akakosa kuzaa kabisa na pengine mume mwenyewe kupata ugonjwa kwani damu huwa imebeba vidudu vingi.
Kwa wale wenye kuamini dini ya Kiislam wao wanafata aya hii
Na wanakuuliza kuhusu hedhi. Waambie huo ni uchafu (ugonjwa). Basi jitengeni na mwanamke wakati wa hedhi. Wala msiwaingilie mpaka watwahirike. Wakisha twahirika basi waendeeni Alivyokuamrisheni Allah. hakika Allah Huwapenda wanaotubu na Huwapenda wanaojisafisha
(Qur'an 2: 222).
Aya hii ipo wazi kuwa mwanamke haifai kuingiliwa wakati huo na atakayefanya, amefanya jambo la dhambi na inabidi atubie kwa Allah kwa kutolirudia kosa hilo.
Kwa ufupi, Mtume (saw) amesema unaweza kufanya na mkeo kila kitu katika kuchezeana, Haifahi kumuingilia mpaka amalize ada yake ya hedhi.
Kwa wenye kuamini dini ya kikristo wao wanakatazwa kwa aya hii:
Leviticus 15:20-25
And if a woman have an issue, and her issue in her flesh be blood, she shall be put apart seven days: and whosoever toucheth her shall be unclean until the even.
And every thing that she lieth upon in her separation shall be unclean: every thing also that she sitteth upon shall be unclean.
And whosoever toucheth her bed shall wash his clothes, and bathe himself in water, and be unclean until the even.
And whosoever toucheth any thing that she sat upon shall wash his clothes, and bathe himself in water, and be unclean until the even.
And if it be on her bed, or on any thing whereon she sitteth, when he toucheth it, he shall be unclean until the even.
And if any man lie with her at all, and her flowers be upon him, he shall be unclean seven days; and all the bed whereon he lieth shall be unclean.
And if a woman have an issue of her blood many days out of the time of her separation, or if it run beyond the time of her separation; all the days of the issue of her uncleanness shall be as the days of her separation: she shall be unclean
Ezekiel 18:5-6
But if a man be just, and do that which is lawful and right, and hath not ... come near to a menstruous woman...
There are a few risks to sex during menstruation.
-Many STD organisms thrive in the rich menstrual flow, so any STD contracted is likely to be worse than if contracted while you were not menstruating.
-HIV is more easily passed from an infected woman during her menses.
-Herpes infections often flare up during menstruation, making transmission easier.
-Some scientists believe that sex during menstruation puts a woman at higher risk of pelvic inflammatory disease.
-It should also be noted that, even though this is the time when a woman is least likely to become pregnant, it is not impossible. Don't use menstruation as a contraceptive, because it doesn't work.
A newly published study by Dr. Winnifred Cutler of the Athena Institute for Women's Wellness, Inc. in Chester Springs, PA and her colleagues shows that engaging in coitus during menstruation is associated with heavier bleeding patterns in perimenopausal women
Coitus and Menstruation in Perimenopausal Women
Hapa ndio ninapopenda kuujua huu Uislam kwa ujumla una siri kubwa ndani yake, umewezaje kujua mambo ya kisayansi namna hii.
Thoughtfull....... I think so Poa kuspill. Mali on the surface kwan huinjoi event harufu tu ni kero. Kama una-enjoy basi we ni mjukuu wa mnyama.Ni madhara gani mtu anaweza kupata akifanya mapenzi au tendo la ndoa na mwanamke aliyeko kwenye siku zake?
what if it is between married couple?Pamoja na kansa ya shingo ya uzazi kwa wanawake( ca of the cervix). Increased risk ya HIV transmission for both males and females
Duuu!!! Umewahi kuiona nini??? Aisee ile hutakiwi kuionaKwsnza k sio tam, pili hedhi in harufu mbaya. Kwa tuliooa tunajua hili,