Kuna tatizo lolote hutokeaHakuna tatizo lolote lile..
Umenenaaa vemaaUkifanya mapenzi wakati wa hedhi utapata tatizo la kujawa na gesi sana tumboni.
Mapumbu huninginia mno hali ambayo si nzuri. Mambo mengi sana yako kiimani lakn most hutokea.Hata biblia hukataza kumwingilia mke akiwa hedhi ni tamaa zetu wanaume.
lakini madaktari wanasema haina madhara kula tunda binti akiwa period!Papuchi inavouma ukiwa period jamani upigwe tena machine.labda kibamia cha dar
Quran 2:222
Na wanakuuliza juu ya hedhi. Waambie, huo ni uchafu. Basi jitengeni na wanawake wakati wa hedhi. Wala msiwaingilie mpaka wat'ahirike. Wakisha t'ahirika basi waendeeni alivyo kuamrisheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wanao tubu na huwapenda wanao jisafisha.
Inauma etilakini madaktari wanasema haina madhara kula tunda binti akiwa period!
kwani najua basi papuchi inavyouma, mi sina papuchi niko na mashineUongo Mkuu?
Taja madhara sasa acha kuweka hisiaHedhi ni uchafu hivyo msiwakaribie. Kwani unajua kilichopo kwenye ile dam? Nadhani madhara huwezi kuyaona kwa siku moja ILA badae sana. Hivi vitu vinavyokatazwa na Mwenyezi Mungu huwezi kuyaona madhara kwa siku moja au kwa kuyaona. Ni kama kula nguruwe kulivyokatazwa kwenye Qurani na Biblia.
Watu hawawezi kuona madhara papo hapo. Unajua kuitwa mwanaume ni kwamba unatakiwa uwe strong na kuweza kuhimili vitu vidogo kama hivi. Hedhi huchukua siku 3 mpaka 7. Sasa kwanini usimsubiri mkeo amalize? ILA kwa uzoefu wangu wanao Fanya hivi ni wale ambao hawajao ama kuolewa. Sasa ni hivi iwe INA madhara au haina madhara imekatazwa kumwingilia mwanamke akiwa kwenye hedhi full stop. Hope ujumbe umeupata. Sasa we endekeza tu kibri wakati haya maisha yana mwisho.
Aloo pot ushawah xkia kaswende au kisonono sasa ukizama tyuu mule huo uchafu bab lai hautakuacha salamaa, afu pot imekatazwa EttyTaja madhara sasa acha kuweka hisia