HaweziJamani mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28,nmekutana na mama mmoja nikaanza kumchimba nipate elimu ,yy kasema mzunguko wake ni 28 na akiwa anaingia period siku ya kwanza akikutana me,anaweza daka mimba,na siku ya tatu ambayo ni yameisho ,je ni ya kweli hayo wajuuzi na wabobezi?
Tupeane uzoefuHawezi
Hawezi nn mkuu
Hamna madhara yoyote.Kuna madhara gani yanayotokea pale mwanaume anaposex na mwanamke wakati yupo period?
Kumbuka muandika thread ni tyina (wa kike) kwa mujibu wa ID.PUNGUZA TAMAA MKUU MWENZIO YUKO KWENYE SIKU ZAKE HUWEZI JAPO KUSUBIRI KWA SIKU KADHAA?
KWA HILI NAWEZA SEMA UNAWEZA HATA KUBAKA
Mwanamke anapata tezi dume? Maana muuliza swali ni mwanamkeTezi dume linakunyemelea