nipeukweli
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 656
- 348
Yeah, na mimi najua ni kwa wenye mp zisizoeleweka na wenye cycle fupi, kuanzia 21days kushuka chini. Lakini wenye mzumguko wa 26-32days constant ni aghalabu kutokea.Hiyo niliiona kule jukwaa la utabibu, nafikiri ni ksa wale wenye mzunguko mfupi zaidi wa siku15.
Hata hivyo hadi mp msuguane... disgusting!!
mmoja alivimba bolo na mwingine aliumwa sana,hospitali wakapima wee..hawaoni kitu,kula sana dozi..hola,mwishoni akapgwa sindano tano ndo akaponaNa kwa nini ufanye mapenzi siku ukiwa period jamaan Mungu ana maksudi yake jamaan katika siku 30 kupumzika siku 3 au 5
unaongelea scientifically au based on story za vijiweni??Mwanamke ana mayai mangapi?
Nenda kasome kuhusu wanawake wanaovunja yai moja kila ikifika period na nenda kawasome wanawake wanaokuwa na mzunguko zaidi ya mmoja ndani ya mwezi mmoja, simple like that:-#
we acha tu mkuu mikasa ya dunia hiiUna roho ngumu kias cha kulala kitanda kimoja na nyoka ck za hedhi unatafuta papuchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwa nini ufanye mapenzi siku ukiwa period jamaan Mungu ana maksudi yake jamaan katika siku 30 kupumzika siku 3 au 5
Wengine wakiwa safe days wanasumbuaga Sana kubanjuka Sasa ikianza breed aishi Kuja geto nakuturusha roho namitego ya ajabu akijua anakinga ya kigezo cha breed!! Kinachofata apo amna namna dam tu akati watu wanatifua chooni!Na kwa nini ufanye mapenzi siku ukiwa period jamaan Mungu ana maksudi yake jamaan katika siku 30 kupumzika siku 3 au 5
Ni wao mkuu na ujinga waoUsije Kudhani wanawake wenzako wanaokubali kufanya siku ya hedhi ni WAJINGA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh AntonioKwenye maziwa ndo wanafanyaje?
Kuuliza si ujinga
Masikini shunie. Kumbe Haujadili hoja katika mapana yake, Bali katika mtazamo wa msimamo wako.Ni wao mkuu na ujinga wao
Asante chifu acha nipambane nayo tuMasikini shunie. Kumbe Haujadili hoja katika mapana yake, Bali katika mtazamo wa msimamo wako.
Endelea kupambana na Hali yako
Sent using Jamii Forums mobile app