Hivi ni lazima wanaume wafanye mapenzi kuanzia tarehe 1 January mpaka tarehe 31 Decemba bila kupitiliza siku hata moja?? Yani siku zote 3651/4 lazima mkutane na hiyo kitu??
kuna wengine ni ''ngonophilia'' yaani can not live without ngono!! two days on, one day off. hivyo ikitokea yuk hedhi haina jinsi, inabidi achoropoke kidogo kukamilisha schedule yake. am sorry to say this!!!
kuna wengine ni ''ngonophilia'' yaani can not live without ngono!! two days on, one day off. hivyo ikitokea yuk hedhi haina jinsi, inabidi achoropoke kidogo kukamilisha schedule yake. am sorry to say this!!!
Bado hamjajibu swali.
Je, kuna madhara yoyote mkikutana kimwili wakati wa hedhi ?
Tatizo lingine kipindi hiki hamu ndio huwa inazidi
Sometimes unakuta mwanaume ana ham mbaya na mkewe ndo ivo tena. sasa hapo ndo mwanamke anatakiwa ajue mdomo alopewa co wa kula na kuchonga tu.
Sometimes unakuta mwanaume ana ham mbaya na mkewe ndo ivo tena. sasa hapo ndo mwanamke anatakiwa ajue mdomo alopewa co wa kula na kuchonga tu.
Unajua hata gari likitumika kila siku linawahi kuchoka, na wengi wetu tunajua kuendesha tu magari hatujui kuyafanyia service.