BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Wanaoweza kufanya hivi wakati wa hedhi ni lazima wana utindio wa ubongo. Haingii akilini kabisa watu wenye akili timamu wavuane chupi kipindi hiki.
Duh unakulaje sasa? Yaani damu zinatoka halafu wewe unaendelea kula? Hata kusingekuwa na madhara bado haiingii akilini kwa hali ya kawaida kabisa kula mzigo kwa style hio.