Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
- Thread starter
- #21
Dada anatakiwa kupata job description kabla ya ajira, tena wastaarabu wengine una deki nyumba mara moja kwa wiki. Anaishi yeye na mke wake tu watoto wako boarding sachool.Kuna hiyo nyumba house girl anapiga deki mara tatu kwa siku nyumba nzima (bonge la nyumba ) asubuhi baada ya chai, mchana baada ya lunch na usiku wenye nyumba na watoto wakiingia kulala.
Mshahara 40k kwa mwezi
Maza house wengi wa kibongo ni watesaji..