Kufanya haya mwanaume haipendezi. . . (Mwendelezo wa sisi ni wanaume bwana!)

Haipendezi mwanamme kubeba laptop bag uonekane proffesional kumbe hata pesa ya laptop huna.
 
Haipendezi mwanaume umeoa bado unakaa kwa baba na mama

Hii haifai kabisa, ndo mana biblia inasema mwanaume ataachana na baba na mama yake, wataambatana na mumewe! We unaendelea kuwakumbatia wa nini?
 
Kuna uzi uliokuwa unasema sisi ndo wanaume bana! Mimi naomba niendeleze kwa kutoa yale nnayodhani hayafai kwa mwanaume kufanya. . .
1. Haipendezi kubana matumizi kwa familia lakini kutumia kwa issue nyingne kama kupiga maji, gari nk

2. Haipendezi mwanaume kutokuwa na utaratibu wa kuwa na refreshment na familia yako

3. Haipendezi mwanaume kuvaa vijinguo vya kubana kama 'skinitait' eti fashion

4. Haipendezi mwanaume kuwakusanya wenzio na kuwahadithia unavyo 'm-do' mkeo au mpenzi wako.

5. Na hii tabia ya wanaume kujipodoa kupitiliza, sijui kujichubua, lipshine, kuweka dawa nywele za kiafrika, kuvaa hereni pia naona haipendezi.

6. Wanaume mnatembea barabarani mnashikana shikana mikono, mara kukumbatiana (kumbuka hapa simaanishi kwa kusalimiana) haipendezi.

7. Mwanaume kuwa mmbea, haifai

8. Kupiga mkeo, aah mbaya sana

Waweza endeleza

Wanawake wanaruhusiwa haya?
 
Haipendezi mwanaume kila ukiongea sentensi mbili unaweka neno 'you know', 'its like' unajifanya Will Smith! Kwenda!
 
9. Haipendezi mwanaume kuwa na lugha chafu isiyokuwa na staa

10. Haipendezi mwanaume kurudi usiku wa manane kila siku kiasi kwamba watoto wanakusahau

11. Haipendezi mwanaume kukana mimba wakati umegonga kavu...

Yaani hapo tunawakosea huruma watoto. Kweli tubadilike
 
Kuna uzi uliokuwa unasema sisi ndo wanaume bana! Mimi naomba niendeleze kwa kutoa yale nnayodhani hayafai kwa mwanaume kufanya. . .
1. Haipendezi kubana matumizi kwa familia lakini kutumia kwa issue nyingne kama kupiga maji, gari nk

2. Haipendezi mwanaume kutokuwa na utaratibu wa kuwa na refreshment na familia yako

3. Haipendezi mwanaume kuvaa vijinguo vya kubana kama 'skinitait' eti fashion

4. Haipendezi mwanaume kuwakusanya wenzio na kuwahadithia unavyo 'm-do' mkeo au mpenzi wako.

5. Na hii tabia ya wanaume kujipodoa kupitiliza, sijui kujichubua, lipshine, kuweka dawa nywele za kiafrika, kuvaa hereni pia naona haipendezi.

6. Wanaume mnatembea barabarani mnashikana shikana mikono, mara kukumbatiana (kumbuka hapa simaanishi kwa kusalimiana) haipendezi.

7. Mwanaume kuwa mmbea, haifai

8. Kupiga mkeo, aah mbaya sana

Waweza endeleza

9. Haipendezi mwanaume kutaka kulipiwa bill.

10. Haipendezi mwanaume kutaka kuendesha gari la mwanamke kwa nguvu bila hiari ya mwanamke, kuhamia kwa mwanamke.

11. Haipendezi mwanaume kumpenda mwanamke kwa ajili ya vitu vyake, magari, nyumba na vinginevyo vinavyoendana na hivi.

12. Haipendezi kabisa mwanaume kutoa ahadi za uongo, nitafanya iki, nitafanya kile wakati anajua kabisa hatafanya.

13. Haipendezi mwanaume kutokujua majukumu yake nyumbani kulipia watoto kalo, kugomba gomba kila mara nyumbani, ila nje anajifanya mwema kupita kiasi

Nikikumbuka nitaludi.
 
9. Haipendezi mwanaume kutaka kulipiwa bill.

10. Haipendezi mwanaume kutaka kuendesha gari la mwanamke kwa nguvu bila hiari ya mwanamke, kuhamia kwa mwanamke.

11. Haipendezi mwanaume kumpenda mwanamke kwa ajili ya vitu vyake, magari, nyumba na vinginevyo vinavyoendana na hivi.

12. Haipendezi kabisa mwanaume kutoa ahadi za uongo, nitafanya iki, nitafanya kile wakati anajua kabisa hatafanya.

13. Haipendezi mwanaume kutokujua majukumu yake nyumbani kulipia watoto kalo, kugomba gomba kila mara nyumbani, ila nje anajifanya mwema kupita kiasi

Nikikumbuka nitaludi.
Naam. .pamoja sana
 
9. Haipendezi mwanaume kutaka kulipiwa bill.

10. Haipendezi mwanaume kutaka kuendesha gari la mwanamke kwa nguvu bila hiari ya mwanamke, kuhamia kwa mwanamke.

11. Haipendezi mwanaume kumpenda mwanamke kwa ajili ya vitu vyake, magari, nyumba na vinginevyo vinavyoendana na hivi.

12. Haipendezi kabisa mwanaume kutoa ahadi za uongo, nitafanya iki, nitafanya kile wakati anajua kabisa hatafanya.

13. Haipendezi mwanaume kutokujua majukumu yake nyumbani kulipia watoto kalo, kugomba gomba kila mara nyumbani, ila nje anajifanya mwema kupita kiasi

Nikikumbuka nitaludi.
haipendezi kabisa mwanaume kumuona demu anaandika NITALUDI
 
yani haipendezi kabisa mwanaume kutongozwa na shemeji halafu ukakaa kimya bila kumwambia mkeo
 
Haipendezi mwanaume kusahau shughuli zote unazofanya kisa dem kakwambia mambo yote mkienda lunch.
 
Back
Top Bottom