Kuna uzi uliokuwa unasema sisi ndo wanaume bana! Mimi naomba niendeleze kwa kutoa yale nnayodhani hayafai kwa mwanaume kufanya. . .
1. Haipendezi kubana matumizi kwa familia lakini kutumia kwa issue nyingne kama kupiga maji, gari nk
2. Haipendezi mwanaume kutokuwa na utaratibu wa kuwa na refreshment na familia yako
3. Haipendezi mwanaume kuvaa vijinguo vya kubana kama 'skinitait' eti fashion
4. Haipendezi mwanaume kuwakusanya wenzio na kuwahadithia unavyo 'm-do' mkeo au mpenzi wako.
5. Na hii tabia ya wanaume kujipodoa kupitiliza, sijui kujichubua, lipshine, kuweka dawa nywele za kiafrika, kuvaa hereni pia naona haipendezi.
6. Wanaume mnatembea barabarani mnashikana shikana mikono, mara kukumbatiana (kumbuka hapa simaanishi kwa kusalimiana) haipendezi.
7. Mwanaume kuwa mmbea, haifai
8. Kupiga mkeo, aah mbaya sana
Waweza endeleza
umerudi huku?
Wakikushika wenyewe, utawatambua!
9. Haipendezi mwanaume kuwa na lugha chafu isiyokuwa na staa
10. Haipendezi mwanaume kurudi usiku wa manane kila siku kiasi kwamba watoto wanakusahau
11. Haipendezi mwanaume kukana mimba wakati umegonga kavu...
Kuna uzi uliokuwa unasema sisi ndo wanaume bana! Mimi naomba niendeleze kwa kutoa yale nnayodhani hayafai kwa mwanaume kufanya. . .
1. Haipendezi kubana matumizi kwa familia lakini kutumia kwa issue nyingne kama kupiga maji, gari nk
2. Haipendezi mwanaume kutokuwa na utaratibu wa kuwa na refreshment na familia yako
3. Haipendezi mwanaume kuvaa vijinguo vya kubana kama 'skinitait' eti fashion
4. Haipendezi mwanaume kuwakusanya wenzio na kuwahadithia unavyo 'm-do' mkeo au mpenzi wako.
5. Na hii tabia ya wanaume kujipodoa kupitiliza, sijui kujichubua, lipshine, kuweka dawa nywele za kiafrika, kuvaa hereni pia naona haipendezi.
6. Wanaume mnatembea barabarani mnashikana shikana mikono, mara kukumbatiana (kumbuka hapa simaanishi kwa kusalimiana) haipendezi.
7. Mwanaume kuwa mmbea, haifai
8. Kupiga mkeo, aah mbaya sana
Waweza endeleza
Naam. .pamoja sana9. Haipendezi mwanaume kutaka kulipiwa bill.
10. Haipendezi mwanaume kutaka kuendesha gari la mwanamke kwa nguvu bila hiari ya mwanamke, kuhamia kwa mwanamke.
11. Haipendezi mwanaume kumpenda mwanamke kwa ajili ya vitu vyake, magari, nyumba na vinginevyo vinavyoendana na hivi.
12. Haipendezi kabisa mwanaume kutoa ahadi za uongo, nitafanya iki, nitafanya kile wakati anajua kabisa hatafanya.
13. Haipendezi mwanaume kutokujua majukumu yake nyumbani kulipia watoto kalo, kugomba gomba kila mara nyumbani, ila nje anajifanya mwema kupita kiasi
Nikikumbuka nitaludi.
Haipendezi mwanaume kuomba lift kama huna panda daladala. Utaombwa niniliu!
haipendezi kabisa mwanaume kumuona demu anaandika NITALUDI9. Haipendezi mwanaume kutaka kulipiwa bill.
10. Haipendezi mwanaume kutaka kuendesha gari la mwanamke kwa nguvu bila hiari ya mwanamke, kuhamia kwa mwanamke.
11. Haipendezi mwanaume kumpenda mwanamke kwa ajili ya vitu vyake, magari, nyumba na vinginevyo vinavyoendana na hivi.
12. Haipendezi kabisa mwanaume kutoa ahadi za uongo, nitafanya iki, nitafanya kile wakati anajua kabisa hatafanya.
13. Haipendezi mwanaume kutokujua majukumu yake nyumbani kulipia watoto kalo, kugomba gomba kila mara nyumbani, ila nje anajifanya mwema kupita kiasi
Nikikumbuka nitaludi.
(pamoja saaana),source????Naam. .pamoja sana