Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Jamani hivi mtu kufanikiwa kielimu na kufika mbali ni lazima usome udsm maana naona wanafunzi wengi wanafikilia kusoma chuo hiki na pia mtu ni lazima usome a-level ili ufaulu uende udsm ..........kwa maski za juu au basi tuuu