๐๐Dogo ameiva
Tz ya wanyonge hajui kama ipo dunia hii ๐๐
Boss utatuua na vicheko jamani.Dogo ameiva
Tz ya wanyonge hajui kama ipo dunia hii ๐๐
Yah manBoss utatuua na vicheko jamani.
Yah man
Huyo dogo akiambiwa kuna mtu amekufa kwa njaa atabaki anashangaa kwann hakula ๐๐๐๐
HahahahYah man
Huyo dogo akiambiwa kuna mtu amekufa kwa njaa atabaki anashangaa kwann hakula ๐๐๐๐
Hata hapa TZ kuna mtu ukimwambia kuwa jana umelala na njaa anakushangaa sana! Wapo sana hapa Duniani watu wenye maisha kama ya huyo Dogo!