Kufagia barabarani na kuzibua mitaro ni udhalilishaji kwa wanajeshi wetu

Son of Gamba

JF-Expert Member
Oct 26, 2012
4,358
6,077
Utaratibu huu ambao umeibuka wa kuwapeleka wanajeshi wetu kwenda kufanya usafi wa barabarani, kuzibua mitaro, kuzoa takataka na kufyeka majani ni kama kuwadhalilisha walinzi hawa wa mipaka ya nchi yetu.

Mimi binafsi nakerwa mno, sijui kwa Watanzania wenzangu, naona kama hii fani ya jeshi inadhalilishwa sana. Naamini tunapaswa kuwapa heshima wanajeshi wetu hasa kutokana na majukumu mazito waliyonayo ya kulinda mipaka ya nchi yetu. Jeshi ni lazima liheshimike na siyo kulipangia kufanya majukumu ambayo yalipaswa kufanywa na wafungwa!

Kazi za kufagia mabarabarani, kuzoa takataka, kufyeka majani mitaani, na kuzibua mitaro michafu ni kazi ambazo zilipaswa kufanywa na wafungwa waliojazana kwenye magereza zetu nchi nzima. Haiingii akili hata kidogo kuona wafungwa wanakaa tu bure magerezani, halafu wanajeshi wetu wanachukuliwa na kwenda kufanyakazi za usafi mitaani. Kwakweli haipendezi hata kidogo.

Mimi ningeshauri, wafungwa ndiyo wawe wanafagia barabarani, kuzoa takataka na kuzibua mitaro michafu, hata kama ni mara moja kwa wiki, na wanajeshi wetu wapewe jukumu la kuwasimamia tu hawa wafungwa ili kuongeza ulinzi wasije wakatoroka.

Hata kama jeshi linaadhimisha tukio fulani, lakini siyo sahihi hata kidogo kuwafanyisha walinzi wetu kazi zenye kudhalilisha na kufedhehesha mbele ya jamii. Tunalivunjia sana jeshi letu heshima mbele ya jamii na hata mbele ya mataifa mengine.

jb1.PNG
jb4.PNG
jb2.PNG

jb3.PNG
Mheshimiwa Rais Magufuli, ukiwa kama Amiri Jeshi Mkuu, tafadhali sana tafakari hili swala na ubadilishe utaratibu huu kwani haupendezi hata kidogo. Sidhani kama mawaziri wako na wabunge au makatibu wakuu wa wizara, watafurahia ukiwaambia wakafagie barabara na kuzibua mitaro michafu.
 
Ha ha ha watu wenyewe(nawazungumzia waingeleza) kazi kuota vitambi tu, wapunguze mafuta.
 
Utaratibu huu ambao umeibuka wa kuwapeleka wanajeshi wetu kwenda kufanya usafi wa barabarani, kuzibua mitaro, kuzoa takataka na kufyeka majani ni kama kuwadhalilisha walinzi hawa wa mipaka ya nchi yetu.

Mimi binafsi nakerwa mno, sijui kwa Watanzania wenzangu, naona kama hii fani ya jeshi inadhalilishwa sana. Naamini tunapaswa kuwapa heshima wanajeshi wetu hasa kutokana na majukumu mazito waliyonayo ya kulinda mipaka ya nchi yetu. Jeshi ni lazima liheshimike na siyo kulipangia kufanya majukumu ambayo yalipaswa kufanywa na wafungwa!

Kazi za kufagia mabarabarani, kuzoa takataka, kufyeka majani mitaani, na kuzibua mitaro michafu ni kazi ambazo zilipaswa kufanywa na wafungwa waliojazana kwenye magereza zetu nchi nzima. Haiingii akili hata kidogo kuona wafungwa wanakaa tu bure magerezani, halafu wanajeshi wetu wanachukuliwa na kwenda kufanyakazi za usafi mitaani. Kwakweli haipendezi hata kidogo.

Mimi ningeshauri, wafungwa ndiyo wawe wanafagia barabarani, kuzoa takataka na kuzibua mitaro michafu, hata kama ni mara moja kwa wiki, na wanajeshi wetu wapewe jukumu la kuwasimamia tu hawa wafungwa ili kuongeza ulinzi wasije wakatoroka.

Hata kama jeshi linaadhimisha tukio fulani, lakini siyo sahihi hata kidogo kuwafanyisha walinzi wetu kazi zenye kudhalilisha na kufedhehesha mbele ya jamii. Tunalivunjia sana jeshi letu heshima mbele ya jamii na hata mbele ya mataifa mengine.

Mheshimiwa Rais Magufuli, ukiwa kama Amiri Jeshi Mkuu, tafadhali sana tafakari hili swala na ubadilishe utaratibu huu kwani haupendezi hata kidogo. Sidhani kama mawaziri wako na wabunge au makatibu wakuu wa wizara, watafurahia ukiwaambia wakafagie barabara na kuzibua mitaro michafu.
Hizi kauli naona kama za bwana magubika..
 
Utaratibu huu ambao umeibuka wa kuwapeleka wanajeshi wetu kwenda kufanya usafi wa barabarani, kuzibua mitaro, kuzoa takataka na kufyeka majani ni kama kuwadhalilisha walinzi hawa wa mipaka ya nchi yetu.

Mimi binafsi nakerwa mno, sijui kwa Watanzania wenzangu, naona kama hii fani ya jeshi inadhalilishwa sana. Naamini tunapaswa kuwapa heshima wanajeshi wetu hasa kutokana na majukumu mazito waliyonayo ya kulinda mipaka ya nchi yetu. Jeshi ni lazima liheshimike na siyo kulipangia kufanya majukumu ambayo yalipaswa kufanywa na wafungwa!

Kazi za kufagia mabarabarani, kuzoa takataka, kufyeka majani mitaani, na kuzibua mitaro michafu ni kazi ambazo zilipaswa kufanywa na wafungwa waliojazana kwenye magereza zetu nchi nzima. Haiingii akili hata kidogo kuona wafungwa wanakaa tu bure magerezani, halafu wanajeshi wetu wanachukuliwa na kwenda kufanyakazi za usafi mitaani. Kwakweli haipendezi hata kidogo.

Mimi ningeshauri, wafungwa ndiyo wawe wanafagia barabarani, kuzoa takataka na kuzibua mitaro michafu, hata kama ni mara moja kwa wiki, na wanajeshi wetu wapewe jukumu la kuwasimamia tu hawa wafungwa ili kuongeza ulinzi wasije wakatoroka.

Hata kama jeshi linaadhimisha tukio fulani, lakini siyo sahihi hata kidogo kuwafanyisha walinzi wetu kazi zenye kudhalilisha na kufedhehesha mbele ya jamii. Tunalivunjia sana jeshi letu heshima mbele ya jamii na hata mbele ya mataifa mengine.

Mheshimiwa Rais Magufuli, ukiwa kama Amiri Jeshi Mkuu, tafadhali sana tafakari hili swala na ubadilishe utaratibu huu kwani haupendezi hata kidogo. Sidhani kama mawaziri wako na wabunge au makatibu wakuu wa wizara, watafurahia ukiwaambia wakafagie barabara na kuzibua mitaro michafu.
Mwenye hadhi ya kufagia barabara na kuzibua mitaro ni nani?
 
mimi nilitegemea uwaunge mkono kwa kusafisha mtaani kwako,badala yake umejigeuza mfalme umekaa unawashangaa.
 
Utaratibu huu ambao umeibuka wa kuwapeleka wanajeshi wetu kwenda kufanya usafi wa barabarani, kuzibua mitaro, kuzoa takataka na kufyeka majani ni kama kuwadhalilisha walinzi hawa wa mipaka ya nchi yetu.

Mimi binafsi nakerwa mno, sijui kwa Watanzania wenzangu, naona kama hii fani ya jeshi inadhalilishwa sana. Naamini tunapaswa kuwapa heshima wanajeshi wetu hasa kutokana na majukumu mazito waliyonayo ya kulinda mipaka ya nchi yetu. Jeshi ni lazima liheshimike na siyo kulipangia kufanya majukumu ambayo yalipaswa kufanywa na wafungwa!

Kazi za kufagia mabarabarani, kuzoa takataka, kufyeka majani mitaani, na kuzibua mitaro michafu ni kazi ambazo zilipaswa kufanywa na wafungwa waliojazana kwenye magereza zetu nchi nzima. Haiingii akili hata kidogo kuona wafungwa wanakaa tu bure magerezani, halafu wanajeshi wetu wanachukuliwa na kwenda kufanyakazi za usafi mitaani. Kwakweli haipendezi hata kidogo.

Mimi ningeshauri, wafungwa ndiyo wawe wanafagia barabarani, kuzoa takataka na kuzibua mitaro michafu, hata kama ni mara moja kwa wiki, na wanajeshi wetu wapewe jukumu la kuwasimamia tu hawa wafungwa ili kuongeza ulinzi wasije wakatoroka.

Hata kama jeshi linaadhimisha tukio fulani, lakini siyo sahihi hata kidogo kuwafanyisha walinzi wetu kazi zenye kudhalilisha na kufedhehesha mbele ya jamii. Tunalivunjia sana jeshi letu heshima mbele ya jamii na hata mbele ya mataifa mengine.

Mheshimiwa Rais Magufuli, ukiwa kama Amiri Jeshi Mkuu, tafadhali sana tafakari hili swala na ubadilishe utaratibu huu kwani haupendezi hata kidogo. Sidhani kama mawaziri wako na wabunge au makatibu wakuu wa wizara, watafurahia ukiwaambia wakafagie barabara na kuzibua mitaro michafu.
Huo ni utaratibu wa majeshi kote duniani jinsi ya kushiriki kazi na jamii wanayoizunguka ili kuimarisha mahusiano....udhalilishaji ni mtazamo wako wewe ambaye hujui chochote kuhusu mambo ya majeshi.

Na ndiyo maana majeshi kote duniani hufanya operation tofauti wakishirikisha jamii au raia wanawazunguka kuimarisha mahusiano.
 
Mwenye hadhi ya kufagia barabara na kuzibua mitaro ni nani?
Kwa swali uliloniuliza inaonekana wazi kabisa wewe hujasoma huu uzi bali umekurupuka tu na kuandika comment. Katika huu uzi nimetoa pendekezo nini kifanyike kwenye swala la usafi. Rudia tena kusoma mkuu, wewe ni member wa great thinkers forum, sasa hebu kuwa kama great thinkers wanavyotakiwa kuwa.
 
Kwa swali uliloniuliza inaonekana wazi kabisa wewe hujasoma huu uzi bali umekurupuka tu na kuandika comment. Katika huu uzi nimetoa pendekezo nini kifanyike kwenye swala la usafi. Rudia tena kusoma mkuu, wewe ni member wa great thinkers forum, sasa hebu kuwa kama great thinkers wanavyotakiwa kuwa.
Suala la usafi halina kudhalilishwa. Ni issue ya jamii nzima. Pia, inabidi uelewe kuwa, kufanya usafi sio adhabu. Nimesema hivyo, kwa pendekezo lako la kusema wafungwa ndo wakafagie barabara na kuzibua mitaro.

Ni bora hata ungependekeza kuwa, kila mtu ahakikishe kuwa anaweka uchafu sehemu yake. Ikiwa ni pamoja na kampeni ya kuhakikisha halmashauri zinaweka bin kila kituo cha basi ili kuondokana na uchafu ulio kila mahala ambao ndo chanzo cha mitaro kuziba
 
Huo ni utaratibu wa majeshi kote duniani jinsi ya kushiriki kazi na jamii wanayoizunguka ili kuimarisha mahusiano....udhalilishaji ni mtazamo wako wewe ambaye hujui chochote kuhusu mambo ya majeshi.

Na ndiyo maana majeshi kote duniani hufanya operation tofauti wakishirikisha jamii au raia wanawazunguka kuimarisha mahusiano.
Una uhakika gani kuwa sijui chochote kuhusu mambo ya majeshi? Unafikiri wewe kuweka avatar ya magwanda ya kijeshi ndiyo inakufanya kuwa mwanajeshi?

Sikatai kama jeshi linaweza kufanya operations mbali mbali, lakini kuna vingi sana muhimu vya kufanya na siyo kuzibua mitaro ya maji machafu. Hizo ni kazi ambazo zilipaswa kufanywa na Wafungwa.

Kuna nchi ambazo wanajeshi wanaheshimika sana na huwezi kukuta wanafanyishwa kazi kama za kuzoa takataka mitaani. c'mon guys let us be serious!
 
Back
Top Bottom