Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Tusiogope kufa kwa kifungo cha maisha,kupigwa risasi,kuteswa kwan kufa ni haki ya kila mtu,hakuna atakayeishi milele katika uso huu wa dunia.
Nitakosoa,nitapinga inapolazimu kufanya hivyo,nitatetea na kudai haki yangu bila kuogopa vitisho,kufa nk kwani KUFA NI HAKI YANGU.
Tena bora kufa ukidai haki ili fikra,maoni na jina lako liendelee kuishi kama Malcolm X,Martin Lutherking na wengine ambao majina,fikra na maoni yako yanaendelea kuishi katika jamii.
MAKAMANDA TUSIOGOPE KUFA TUNAPODAI HAKI ZETU,KWANI KUFA NI HAKI YA KILA MTU HAKUNA ATAKAYEISHI MILELE KATIKA USO HUU WA DUNIA.
Nitakosoa,nitapinga inapolazimu kufanya hivyo,nitatetea na kudai haki yangu bila kuogopa vitisho,kufa nk kwani KUFA NI HAKI YANGU.
Tena bora kufa ukidai haki ili fikra,maoni na jina lako liendelee kuishi kama Malcolm X,Martin Lutherking na wengine ambao majina,fikra na maoni yako yanaendelea kuishi katika jamii.
MAKAMANDA TUSIOGOPE KUFA TUNAPODAI HAKI ZETU,KWANI KUFA NI HAKI YA KILA MTU HAKUNA ATAKAYEISHI MILELE KATIKA USO HUU WA DUNIA.