Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,697
- 9,775
- Thread starter
- #41
Umesha ghairi kufuga kuku
Au shemeji kakufukuza hapo hom
Tutafika uchumi wa kati tukiwa tumechoka sana!
Umesha ghairi kufuga kuku
Au shemeji kakufukuza hapo hom
Mi nlisoma kitabu cha Kiyosaki almanusura niache kazii...
Nahisi kwa life la sasa ningeshafirka...
Umeshashiba ugali wa shemeji unaanza fujo
Utauza sana kuku....yaani wanaume watakuwa anakuja nunua kuku kwako kisa waone huo mguu wa biaYa kwamba ukiwa mwanaume inakuaje?
Mzeya huko upsala hamna fursa?Kipindi nipo chuo nilikuwa na mawazo kama yako na nilivyokuwa nasoma vitabu vya akina kiyosaki na chase nikimuona mtu hana ajira au hana pesa nilikuwa namchukulia negative sana...
Baada ya kumaliza chuo nakuanza rasmi mishe za mtaani mmh....mamaeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kwan aliekuloga wew ndugu yangu ni nan jaman😆😆😆😆Utauza sana kuku....yaani wanaume watakuwa anakuja nunua kuku kwako kisa waone huo mguu wa bia
Itakuwa wee ndio umeniloga yaani nikiona hiyo miguu yako de libolo linarindima tuuKwan aliekuloga wew ndugu yangu ni nan jaman😆😆😆😆
Shindwa pepoooo yan unaanza mada za kizinifu asubuhi yote hii jaman😒😒😒Itakuwa wee ndio umeniloga yaani nikiona hiyo miguu yako de libolo linarindima tuu
Bora ya mimi.... umeona alicho andika to yeye usubuhi hii?Shindwa pepoooo yan unaanza mada za kizinifu asubuhi yote hii jaman😒😒😒
Ni kweli mkuu nadhani unahitaji definition ya utajiri na maana ya maisha...Huwa sielewi utofauti wa masikini na tajiri huko
tunaweza kudhani kulalia godoro ndio ujanja ila mlalia ngozi mgongo wake ukamshukuru, na muendesha baiskeli kwa hayo mazoezi akaishi maisha marefu zaidi ingawa anachofanya sio effective, ila hao ng'ombe wake 500 ndio wanampa furaha na usingizi wa pono kuliko ungempa makaratasi kadhaa ndani ya lijumba linaloitwa benki (in short to each his/her own na kazi ya pesa ni moja tu nayo ni kumpa needs and wants mwenye pesa as well as peace of mind)Yaani kweli mtu ana Ng’ombe 500 analalia ngozi huku asubuhi analeta maziwa kwa Baiskeli tena Anita
Sisemi ni busara anachofanya na knowledge is power ila kama mwisho wa siku maisha ni kukamua huoni hicho wanachofanya hao watoto ni shule ?Watoto hawaendi shule wanakula ugali asubuhi na kuanza kukamua
Kwani utajiri ni kuvaa mocassine ?Halafu unajiuliza huyo ni anaevaa yebo yebo anamiliki mifugo zaidi ya 500? Ni mwehu, masikini, tahira, au tajiri?
Narudia tena nadhani tufungue uzi na kujiuliza what is life..., hapo ndio utagundua kwamba watu wengi wapo katika rat race chasing an illusion na huenda huyo mwenye mifugo yake ndio anayeishi sababu he/she is living the dream wakati wengine wanachase such dream..., kutamalaki they are dead without achieving their dream hence we can argue they have never lived at all....Kwa Kweli mswahili mpaka sasa wengi hawajui maisha ni nini
Wengine ni kuamka na kulala tu
Nimekuelewa kwa kila point uliyojibuNi kweli mkuu nadhani unahitaji definition ya utajiri na maana ya maisha...
tunaweza kudhani kulalia godoro ndio ujanja ila mlalia ngozi mgongo wake ukamshukuru, na muendesha baiskeli kwa hayo mazoezi akaishi maisha marefu zaidi ingawa anachofanya sio effective, ila hao ng'ombe wake 500 ndio wanampa furaha na usingizi wa pono kuliko ungempa makaratasi kadhaa ndani ya lijumba linaloitwa benki (in short to each his/her own na kazi ya pesa ni moja tu nayo ni kumpa needs and wants mwenye pesa as well as peace of mind)
Sisemi ni busara anachofanya na knowledge is power ila kama mwisho wa siku maisha ni kukamua huoni hicho wanachofanya hao watoto ni shule ?
Kwani unajiri ni kuvaa mocassine ?
Narudia tena nadhani tufungue uzi na kujiuliza what is life..., hapo ndio utagundua kwamba watu wengi wapo katika rat race chassing an illusion na huenda huyo mwenye mifugo yake ndio anayeishi sababu he/she is living the dream wakati wengine wanachase such dream..., kutamalaki they are dead without achieving their dream hence we can argue they have never lived at all....
Ukiangalia life at a different perspective au kwenye macho ya mtu mwingine utagundua a different side of the story hence understand the motive....
Mi nlisoma kitabu cha Kiyosaki almanusura niache kazii...
Nahisi kwa life la sasa ningeshafirka...