msipende kuwapaka watu matope! nao walisema watatokea watu watakao sema hivyo! walieleza wazi kuwa hawaombi mchango wa mtu ila watu wamekuwa wakipiga simu wanataka kutoa rambirambi,ndio maana wakahamua kutoa utaratibu kwa anayehitaji kuchangia! walitoa angalizo kuwa watu wasichukulie tofauti lakn inaonekana bado mmekuwa wagumu! mbona mnapenda maneno?
msipende kuwapaka watu matope! nao walisema watatokea watu watakao sema hivyo! walieleza wazi kuwa hawaombi mchango wa mtu ila watu wamekuwa wakipiga simu wanataka kutoa rambirambi,ndio maana wakahamua kutoa utaratibu kwa anayehitaji kuchangia! walitoa angalizo kuwa watu wasichukulie tofauti lakn inaonekana bado mmekuwa wagumu! mbona mnapenda maneno?
Baada ya kifo cha Kanumba..wasanii wa bongo movies wakiongozwa na Ray,cloud na steve nyerere,wameanza kupita kwenye vyombo vya habari kuchangisha fedha bila kusema zitatumikaje izo fedha..
Namba ya kuchangia fedha izo ni nitawawekea,sijazipata vizuri.
Baada ya kifo cha Kanumba..wasanii wa bongo movies wakiongozwa na Ray,cloud na steve nyerere,wameanza kupita kwenye vyombo vya habari kuchangisha fedha bila kusema zitatumikaje izo fedha..
Namba ya kuchangia fedha izo ni nitawawekea,sijazipata vizuri.
waambie hawa muheshimiwa adv.wanataka tu kupaka watu matope,kama hutaki usichangie,acha walioomba utaratibu wa wao kutoa rambirambi wautumie.
uyu Ruge aseme pesa za Kilosa mafuriko,na mabomu walizochangisha redioni kwao kama misaada zilikwenda wapi..
wabongo jamani tuna matatizo sana,kama unaona hela yako italiwa na wajanja acha kwani wamelazimisha? Mbongo hata umfanyie nin hawezi kuridhika.
msipende kuwapaka watu matope! nao walisema watatokea watu watakao sema hivyo! walieleza wazi kuwa hawaombi mchango wa mtu ila watu wamekuwa wakipiga simu wanataka kutoa rambirambi,ndio maana wakahamua kutoa utaratibu kwa anayehitaji kuchangia! walitoa angalizo kuwa watu wasichukulie tofauti lakn inaonekana bado mmekuwa wagumu! mbona mnapenda maneno?