Kufa kufaana CHADEMA kuwa chama Rasmi cha Upinzani Bara Na Visiwani

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,372
6,078
Kutokana na mgogoro unaoendelea kwenye chama cha CUF kunauwezekano mkubwa wa viongozi wa CUF Visiwani chini ya Maalin Sef kufanya mazungumzo na viongozi waandamizi wa Chadema ili wafuasi wa CUF visiwani wakajiunga rasmi na chama cha Chadema ni hii itakuwa mtihani mkubwa kwa CCM.

Huu ndio utakuwa mwisho wa Proff. Lipumba kisiasa kwani kwa mjibu wa sheria ya vyama vya siasa kama hutakuwa na wanachama pande moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania usajili wako unafutwa. Proff Lipumba ametumiwa kukiua chama cha CUF lakini hapohapo ameleta neema kubwa sana kwa Watanzania haswa wapinzani kwa kuwa na Chama kimoja chenye nguvu bara na visiwani ambacho sio Ukawa tena bali ni Chadema.

Watanzania tunataka katika uchaguzi wa mwaka 2020 tuwe na chama kimoja cha upinzani chenye nguvu ili CCM ikakae benchi baada ya kutawala nchi hii kwa miaka 50.
Kulikuwa na kila aina kashfa kuwa Chadema ni chama cha watu wa kaskazini na chama cha CUF ni chama cha kiislam lakini Muungano huu na kuwa chama kimoja kikubwa cha upinzani utaondoa dhana mbaya dhidi ya vyama hivyo. Bila kuwa na chama umoja chenye nguvu itakuwa vigumu kuiondoa CCM

Proff. Lipumba itabidi urudi darasani ukafundishe kwa mission aliyetumwa kuna uwezekano ukawaletea Watanzania neema.
 
CUF ni vigumu sana kuungana na CHADEMA.Lipumba hana athari zozote kwani hata udiwani hana uwezo wa kugombea na kupata ushindi.Kwa sasa anatambia nguvu ya chama fulani nyuma yake lakini wakimtosa nae ndio mwisho wake.CUF ni brand name ambayo inajiuza yenyewe haiwezi kusambaratika kirahisi.Imeshawahi kupitia migogoro mikubwa na ikatoka salama sio huu wa kupikwa.
 
Hili wazo ingawapo linaonekana kuwa wazo mfu-choko choko zikiendelea linaweza likaota mizizi. Na hapo kuna atakaelia tu-subiri. Professor naona pumzi itakata-na zanzibar sijui kama anawafuasi wakutosha labda aazime kutoka lichama letu.
 
Angalia sehemu kubwa wanapotoka wabunge wa CUF ni maeneo gani?
kwa mantiki hiyo chadema ni chama cha kikristo!
mentality mbovu kabisa!
hizi ndizo fikra zinazoipaisha ccm kuliko hata huo unaoita usaliti wa lipumba!
 
Kutokana na mgogoro unaoendelea kwenye chama cha CUF kunauwezekano mkubwa wa viongozi wa CUF Visiwani chini ya Maalin Sef kufanya mazungumzo na viongozi waandamizi wa Chadema ili wafuasi wa CUF visiwani wakajiunga rasmi na chama cha Chadema ni hii itakuwa mtihani mkubwa kwa CCM.

Huu ndio utakuwa mwisho wa Proff. Lipumba kisiasa kwani kwa mjibu wa sheria ya vyama vya siasa kama hutakuwa na wanachama pande moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania usajili wako unafutwa. Proff Lipumba ametumiwa kukiua chama cha CUF lakini hapohapo ameleta neema kubwa sana kwa Watanzania haswa wapinzani kwa kuwa na Chama kimoja chenye nguvu bara na visiwani ambacho sio Ukawa tena bali ni Chadema.

Watanzania tunataka katika uchaguzi wa mwaka 2020 tuwe na chama kimoja cha upinzani chenye nguvu ili CCM ikakae benchi baada ya kutawala nchi hii kwa miaka 50.
Kulikuwa na kila aina kashfa kuwa Chadema ni chama cha watu wa kaskazini na chama cha CUF ni chama cha kiislam lakini Muungano huu na kuwa chama kimoja kikubwa cha upinzani utaondoa dhana mbaya dhidi ya vyama hivyo. Bila kuwa na chama umoja chenye nguvu itakuwa vigumu kuiondoa CCM

Proff. Lipumba itabidi urudi darasani ukafundishe kwa mission aliyetumwa kuna uwezekano ukawaletea Watanzania neema.
Propesa itabidi akafundishe huko Lumumba not watz kwa sababu huyu ni garasa la maprof waliowahi kutokea Tz.
Hata Prof. Maji mMafupi ana nafuu kwa kutoa huduma tiba mbadala kwa watz
 
Kutokana na mgogoro unaoendelea kwenye chama cha CUF kunauwezekano mkubwa wa viongozi wa CUF Visiwani chini ya Maalin Sef kufanya mazungumzo na viongozi waandamizi wa Chadema ili wafuasi wa CUF visiwani wakajiunga rasmi na chama cha Chadema ni hii itakuwa mtihani mkubwa kwa CCM.

Huu ndio utakuwa mwisho wa Proff. Lipumba kisiasa kwani kwa mjibu wa sheria ya vyama vya siasa kama hutakuwa na wanachama pande moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania usajili wako unafutwa. Proff Lipumba ametumiwa kukiua chama cha CUF lakini hapohapo ameleta neema kubwa sana kwa Watanzania haswa wapinzani kwa kuwa na Chama kimoja chenye nguvu bara na visiwani ambacho sio Ukawa tena bali ni Chadema.

Watanzania tunataka katika uchaguzi wa mwaka 2020 tuwe na chama kimoja cha upinzani chenye nguvu ili CCM ikakae benchi baada ya kutawala nchi hii kwa miaka 50.
Kulikuwa na kila aina kashfa kuwa Chadema ni chama cha watu wa kaskazini na chama cha CUF ni chama cha kiislam lakini Muungano huu na kuwa chama kimoja kikubwa cha upinzani utaondoa dhana mbaya dhidi ya vyama hivyo. Bila kuwa na chama umoja chenye nguvu itakuwa vigumu kuiondoa CCM

Proff. Lipumba itabidi urudi darasani ukafundishe kwa mission aliyetumwa kuna uwezekano ukawaletea Watanzania neema.
Naunga mkono hoja
Kifo cha CUF hichoo... chaja! Upinzani kubaki CHADEMA pekee ...
Paskali
 
kwa mantiki hiyo chadema ni chama cha kikristo!
mentality mbovu kabisa!
hizi ndizo fikra zinazoipaisha ccm kuliko hata huo unaoita usaliti wa lipumba!
Lazima usome na kuelewa hoja sio kutoa nonsense comments nani amekwambia Chadema ni chama cha kikristo
 
•MAALIM SEIF TUNAKUOMBA FANYIA KAZI SUALA HILI,ILI TUMVUE NGUO HUYU MSALITI AU JINI FULANI,BINAFSI NAAMINI CUF=SEIF.
KIMOJA HAPA KIKITENGANISHWA MAANA YAKE HAKUNA ""CUF""
WATU WOTE TUTAKUWA NYUMA YAKO MAALIM SEIF..../
 
Wakati wa uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka 2002 vyama vyote vya kisiasa viliungana bila kujali itikadi na ndipo chama cha Kanu kiliondolewa madarakani.
Vyama vya upinzani hapa Tanzania Lazima wapange mikakati ya muda mrefu kama wanataka ushindi mwaka 2020, hamna haja ya kuweka nguvu Kwasasa. Matayarisho yaanzie ngazi ya kata.
Kuna wanachama na viongozi wengi kutoka CCM ambao wanapendelea kujiunga na upinzani lakini wanataka upinzani ulio ungana na makini
 
Back
Top Bottom