Kuepuka Radi kwa kufuga Kondoo

Status
Not open for further replies.

stephot

JF-Expert Member
Mar 1, 2012
15,816
22,917
Wana JF wenzangu, kuna kipindi nilipokuwa likizo nilitembelea mikoa ya Dodoma,Singida,Manyara na Arusha,nilichokigundua ni kuwa wafugaji karibu wote wa Ng'ombe wanakuwa na kundi la Kondoo, nilipouliza niliambiwa kuwa Kondoo wanasaidia kuzuia Radi,mwenye ufahamu wa kina naomba anifafanulie utaalamu uliopo nyuma ya hii kitu.
 
Wana JF wenzangu, kuna kipindi nilipokuwa likizo nilitembelea mikoa ya Dodoma,Singida,Manyara na Arusha,nilichokigundua ni kuwa wafugaji karibu wote wa Ng'ombe wanakuwa na kundi la Kondoo, nilipouliza niliambiwa kuwa Kondoo wanasaidia kuzuia Radi,mwenye ufahamu wa kina naomba anifafanulie utaalamu uliopo nyuma ya hii kitu.

Naam niliiona hiyo kitu Shinyanga vijijini. Kwamba radi huja kama jogoo, na inapokutana na kondoo hupigana sana na mara nyingi radi hushindwa.
 
Naam niliiona hiyo kitu Shinyanga vijijini. Kwamba radi huja kama jogoo, na inapokutana na kondoo hupigana sana na mara nyingi radi hushindwa.

Halafu mtu kama wewe unajisifu umeenda shule!?
Teh teh teh teh!

Afadhali nimedaka hapa unaandika utumbo! Ntauhifadhi huu utumbo siku nyingine ukileta yale majigambo yako ya kusema wewe msomi!

Radi ya jogoo my foot!
 
Halafu mtu kama wewe unajisifu umeenda shule!?
Teh teh teh teh!

Afadhali nimedaka hapa unaandika utumbo! Ntauhifadhi huu utumbo siku nyingine ukileta yale majigambo yako ya kusema wewe msomi!

Radi ya jogoo my foot!

Hapana, usimkatalie. Vitu spiritual mara nyingi nimekuja kugundua kuwa havikubaliani na sayansi ya kawaida na mara nyingi vinakuwa havina logic!
 
Hapana, usimkatalie. Vitu spiritual mara nyingi nimekuja kugundua kuwa havikubaliani na sayansi ya kawaida na mara nyingi vinakuwa havina logic!
Makanyaga huyo Nyenyere anaonekana anatumia yale majani yalioharamishwa.
Sasa akishakula ile maneno anaona vitu vya ajabu ajabu. Juzi hapa alisema kaenda kumpoke yesu! Nikamuuliza je kaja kwa basi au treni. Akaanza matusi!
Huyu jamaa wazee wake wameshapata hasara kubwa sana!.
Faida hakuna kazi kujaza choo tu.
 
Last edited by a moderator:
Honestly,hata mm nmewah kuckia hlo inaweza ikawa kweli ni kweli radi inavyokuwa inapiga wale kondoo wanarudi kinyumenyume
inaweza ikawa
 
Makanyaga huyo Nyenyere anaonekana anatumia yale majani yalioharamishwa.
Sasa akishakula ile maneno anaona vitu vya ajabu ajabu. Juzi hapa alisema kaenda kumpoke yesu! Nikamuuliza je kaja kwa basi au treni. Akaanza matusi!
Huyu jamaa wazee wake wameshapata hasara kubwa sana!.
Faida hakuna kazi kujaza choo tu.



Mkuu umenikumbusha dada yangu mmoja
yupo Dar basi alikuwa kipindi cha 2001
atuambia wadogo zangu kuzaa sio kupata

Ni kutoa Mchango mchafu tumboni yaani
unakuta mtoto akiwa mimba wanasema
huyu mtoto asingezaliwa basi angemuuwa

Mama yake akiwa tumboni.
Teh teh ha ha kwi kwi


Kondoo ni Ant- thunderstorm Tz ina rasimali
nyingi sana mpaka nakuwa km JK sijui kwanini
ni masikini .
 
Last edited by a moderator:
Ni imani tu ya wafugaji kwa sababu ni mara chache sana kondoo kuuwawa kwa radi!

"A horse can get zapped by less than 2,000 volts and will almost never try the fence again, whether it's turned on or not. 2,500 volts will easily turn a cow but you better have a good 4,500 volts to even get a sheep's attention"
 
Wana JF wenzangu, kuna kipindi nilipokuwa likizo nilitembelea mikoa ya Dodoma,Singida,Manyara na Arusha,nilichokigundua ni kuwa wafugaji karibu wote wa Ng'ombe wanakuwa na kundi la Kondoo, nilipouliza niliambiwa kuwa Kondoo wanasaidia kuzuia Radi,mwenye ufahamu wa kina naomba anifafanulie utaalamu uliopo nyuma ya hii kitu.

Wanyama wana uwezo mkubwa wa ku-sense natural disasters.Kukiwa na radi inataka kupiga eneo kondoo huanza kubadilika tabia akienda huko na huko kwa hasira ya mapigano mara ingine kugonga miti.ukiona yuko hivyo radi inataka kupiga eneo hilo usikae chini ya mti wowote kukokoa maisha yako na kama uko karibu na daraja kaa mbali nalo. Wachungaji wa mifugo kondoo kawasaidia mara nyingi kujua ujio wa radi na namna ya kujiokoa.

Wakati wa Elnino kabla haijatua kule Asia wanyama kama nyoka,mbwa na paka na wanyama wa mwituni walianza safari ya kutoroka kutoka maeneo tambarare na na kuanza kuhamia milimani ilikuwa ni mass exodus ya wanyama ambayo watu waliona tu kama kituko cha wanyama wakieelekea kwenye miinuko lakini watu hawakujali kuwa ni kwa nini wamekuwa hivyo.Elnino iliposhuka watu wengi walikufa .Watu wangewahi kufuatana na wanyama pengine vifo vingepungua.

Kukiwa na nyoka mfano hatari mahali mbwa ana uwezo wa ku-sense na kubadilisha tabia na mlio na wanyama kama ng`ombe kukiwa na kitu fulani hatari jirani kikubwa hunyanyua mikia juu na kuruka kwa nguvu kwa hasira.Ukiona hivyo mwenye mifugo unatoka na silaha tayari kwa mapambano.

Kondoo ni mnyama atumikaye kwa matambiko na makafara kwa dini zote na washirikina pia.Kwa sababu za miiko kuna mambo siwezi kueleza uwezo mwingine kondoo alionao na anavyotumika ila ninachoweza kusema ni kuwa radi haiwezi piga kondoo milele.Kondoo hapigwi na radi hata siku moja.Radi ni mtoto mdogo kwenye kichwa cha kondoo.
 
hakuna ukweli wowote hapo ,nimeona watu waliofuga kondoo na kushuhudia banda walilolala kondoo limepigwa na radi nyang'anyang'a.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom