stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,816
- 22,917
Wana JF wenzangu, kuna kipindi nilipokuwa likizo nilitembelea mikoa ya Dodoma,Singida,Manyara na Arusha,nilichokigundua ni kuwa wafugaji karibu wote wa Ng'ombe wanakuwa na kundi la Kondoo, nilipouliza niliambiwa kuwa Kondoo wanasaidia kuzuia Radi,mwenye ufahamu wa kina naomba anifafanulie utaalamu uliopo nyuma ya hii kitu.