Taarifa za jikoni zilizonifikia Masha akabidhi mizigo ya ukurugenzi wa Emma Advocates kwa binti Karume!! Ajiandaa kutimkia USA alikokulia!!! Hahaa aibu yake hiiiiii!
Hivi nilivyo mwona JK na masha kwenye kampeni na nyomi ya watu kumbe walikua wameenda kushaanga tu mkwere na wanamziki wake ila moyoni wana hasira kali!kweli watu wameamua!kabaaaaaaaaaaag
Kila la heri brooooooda!!! Siku ukiachana na uchekibobu na ukaheshimu watu basi utarudi kwenye siasa. Fahamu watz sasa wanaendelea kufunguka macho kidemokrasia na walishajua kuwa hata kama utapokea rushwa yoyote hakuna anayekuona kwenye chumba cha kupigia kura "KULA CCM KURA CHADEMA". Not always, money is powerful!!! much more attributes are needed!!
JAmani acheni masihala ebu sikilizeni vizuri,kwa nini amesema hakuna tena uchaguzi wa mbunge nyamagana? Mnauhakika na hiyo ahbari kwamba ni ya zamani? au ndo mambo ya uchakachuaji yamefanyika?
mimi aliniudhi sana huyu waziri masha alivyotaka kutumia cheo chake kummaliza mtz mwenzake eti sio mtz... nawapa heko wazt wa jimbo hilo kwa kuukataa udhalimu huu...:doh::doh::doh:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.