Fasouls
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 939
- 316
habari zenu,
Ingawa kuna mdau alitoa tips za kutofautisha kati ya fake na orignal,ila kuna baadhi ya sifa zipo kotekote mfano orignal iphone huwezi kutouch kwa kutumia plastic materialls ila kwa fake ni hivyo hivyo
Tumia vigezo vifuatavyo kutambua fake iphone
1. fungua iTune ukikuta general, silent, outdoor jua ni fake
2. fungua safari browser ikifunguka common phone browser jua ni fake
3. setting usipoona connectivity setting jua ni fake
4.kama ina fm radio na ina function vema kwa kutumia wired antena or headphone jua ni fake
5. fake iphone imeundwa na kioo nyuma na sio kibati
Ingawa kuna mdau alitoa tips za kutofautisha kati ya fake na orignal,ila kuna baadhi ya sifa zipo kotekote mfano orignal iphone huwezi kutouch kwa kutumia plastic materialls ila kwa fake ni hivyo hivyo
Tumia vigezo vifuatavyo kutambua fake iphone
1. fungua iTune ukikuta general, silent, outdoor jua ni fake
2. fungua safari browser ikifunguka common phone browser jua ni fake
3. setting usipoona connectivity setting jua ni fake
4.kama ina fm radio na ina function vema kwa kutumia wired antena or headphone jua ni fake
5. fake iphone imeundwa na kioo nyuma na sio kibati