Kuendesha gari Tanzania ni kukaribisha umaskini wa kupindukia

Ni kweli lakini pale huonewi na kila kitu kipo wazi , pamoja na warning za mfano kupunguza mwendo kwa zaidi ya kilimita moja kabla. Pia kuna warning kuwa sehemu hii ina kamera hivyo punguza mwendo. Hapa kwenyu vibao havipo na unakuta traific kajificha kichakani.
Wala wenzetu hakuna trafic kila kona wana simamisha magari hovyo asubuhi unawaji kazini na Unaanza kudaiwa licence, sijui first aid, sijui triangle, mara leta card ya gari ..nje huwezi kusimamishwa kupotezewa muda wako. Mtu unapanga appointment unafika njiani unasimamishwa uanze kupekuliwa kuonesha kama una jacky hio only in tanzania. Hawajali time zetu
Kuna nchi wanaficha speed camera vile vile huko huko Ulaya. Nje wapi ambako hakuna routine check? Labda wewe hujawahi kusimamishwa ila watu wengi hasa weusi wanasimamishwa bila sababu ya msingi!

germany-speed-camera.jpg

images

aVPRnAO_700b.jpg
 
Tatizo jingine baada ya kulipa unakuja kuona notification waliyokupa ni ya mwaka 2011 sasa huwa najiukiza hvi raia wa kawaida anaweza fanya kwenye malipo halali kwa kutumia karatsñas zilizopitwa na muda?????wahusika hebu litoleen tamko mkishindwa bax huu ni wizi tunafanyiwa na vyombo vya serikali.Nazungumzia kwa arusha hakuna notification ya current year zotwme tunaumizwa na za 2011.
 
Siku izi tumewashtukia. Wachache sana tunasafiri usiku, ukitoka saa nne usiku Arusha-Dar, saa moja moja kasoro unakua unakatiza mlandizi kwa speed ya kistaarabu . Ila, safari za usiku ni hatari sana kama hauna uzoefu
 
Kwanza ume-overspeed no excuse lipa faini. Pili kama umelipa bila kufanya kosa wewe ni zoba! Tatu nani akupangie matumizi ya highway wakati una leseni? Kama uliipata kwa njia za mkato huu ndio muda wa kulipa gharama!

Kwa uhalisia highway haitakiwi kuwa na matuta, kusimamishwa kila mara na vizuizi vya speed 50km/h mara kwa mara.
Ni lazima tujenge barabara kwa weledi na pia matumizi na sheria ziwe zenye ufanisi.
Hata hivyo, hatutakiwi kuwa watumwa wa sheria, bali sheria zitusaidie kufikia maendeleo endelevu.
Hili jambo linahitaji mtazamo mpana zaidi.
 
Mnalalamika tu hamtaki kufata sheria ambazo mmezitunga nyie wenyewe ndani ya nchi yenu naomba hii faini ingekuwa hata laki moja....kila siku watu wanakufa kwa sababu ya kuendesha gar pasipo fata kufata taratibu..ungefata hizo taratibu za barabara ungelipa hiyo hela? achen kulalamika bila kuwa na sababu za msingi...
 
Duh pole sana aiseee, sijawahi kulipa faini, wakinikamata just by chance huwa nawapiga sound hadi wanachoka. Huwa siwi mbishi, huwa siwi mkali, sijifanyi mjuaji, nakua mpole saaana nakujifanya malaika. Waswahili walisema Mjinga Mpe cheo, basi ukishafanya hivyo kwisha habari yao. Tena nadhani ukilinganisha katika kutongoza kati ya askari na mademu wa siku hizi naamini Askari wetu wengi wanatongozeka kiurahisi sana (sina maana hiyo) yaani wanashawishika kiurahisi. Ukikamatwa fanya yafuatayo
  • Simama kwa nidhamu na wahi kufungua mlango au kioo cha gari
  • Achia bonge la tabasamu kabla hajafika
  • Atakuja akiwa amenuna, wahi kumsalimia kwa bashasha
  • Anaweza akirudishe tabasamu lako lakini endelea tu
  • Mpe pole ya kazi
  • akiomba leseni mpatie kama unayo au mueleze kwa upole kuwa huna
  • kisha atakueleza kosa, stuka kidogo kisha anza kumtaka radhi
  • Atakuambia shuka nenda kalipe fine "Paleee"
  • Ukifika hapo sasa ndio ongea nao kwa upole tu
Last time niliwaimbisha hadi wakanifukuza wenyewe, hawana shida kabisa
 
Watanzania wengi hatujitambui na bahati ni watanzania kidogo walio na uruma kwa wenzao.
Niendesha gari toka Arusha kwenda Ngara ,nilipofika Babati nikasimamishwa na polisi akasema umepita kibao cha 50 ukiwa na 54 faini 30,000 nikalipa.

Nikatembea taratibu sana kufika Dareda nikakutana na polisi akasema nina picha hapa umepita kibao kwa 50.5 faini. Nikasema we ni mwongo akajibu'tumeelekezwa fedha zote mlizo nazo lazima tuzichue"ni kweli kufika kahama nilikuwa nimeishalipa zaidi ya shill 180,000.

Wananchi nawaakikishia kama hatapatikana mtaalamu wa kutupangia matumizi bora ya hizi speed tena kwenye highway mtanyanyasika sana na tutaendelea kuwa watumwa ndani ya nchi yetu.Najua madereva wengi wanateseka sana.Tunanyaswa na kuonewa bila wenyewe kujua.
Siunaona umefika salama, hata yule dereva mlevi ambaye ange kusababishia ajali tukakusahau nae alikua anatembea speed 50, bado tunahitaji mchango wako jf fata sheria
 
Pole sana Mkuu,

Mkuu,jaribu kufuata sheria za barabarani na hasa overspeeding,ni kwa usalama wako na kwa usalama wa watumiaji wengine wa barabara,

Hapo kwenye heading yako hilo neno Kularibisha
Bila shaka ulitaka kuandika Kukaribisha
Mkuu tatizo hivo vibao vya 30 na 50 viliwekwa tangu enzi za Landrover 108 na 109.... kuna mahali havitakiwi kabisa... na magari ya siku hizi... 50 haiko mbali...
 
Kama ni kweli umelipa fine kwenye speed iliyo ndani ya 50 huo ni uzembe wako kwa sababu polisi wenyewe wanakiri kwamba 50-59 ni provisional speed ambayo dereva anakuwa hana kosa. Kwa uzoefu wangu wa kuendesha high way hakuna hata siku moja nilipigwa fine kwa kuendesha gari kwenye speed 50-59 na hata juzi pale bagamoyo nilipigwa fine kwa speed 61 yule traffic police akasema yaan umezidisha 2 tu. Sasa wewe ebu tueleze vuzuri speed zako zilikuwa ngapi
Tatizo unafananisha traffic wa bagamoyo na wa mikoani ukikutwa na wewe utakuja hapa
 
Watanzania wengi hatujitambui na bahati ni watanzania kidogo walio na uruma kwa wenzao.
Niendesha gari toka Arusha kwenda Ngara ,nilipofika Babati nikasimamishwa na polisi akasema umepita kibao cha 50 ukiwa na 54 faini 30,000 nikalipa.

Nikatembea taratibu sana kufika Dareda nikakutana na polisi akasema nina picha hapa umepita kibao kwa 50.5 faini. Nikasema we ni mwongo akajibu'tumeelekezwa fedha zote mlizo nazo lazima tuzichue"ni kweli kufika kahama nilikuwa nimeishalipa zaidi ya shill 180,000.

Wananchi nawaakikishia kama hatapatikana mtaalamu wa kutupangia matumizi bora ya hizi speed tena kwenye highway mtanyanyasika sana na tutaendelea kuwa watumwa ndani ya nchi yetu.Najua madereva wengi wanateseka sana.Tunanyaswa na kuonewa bila wenyewe kujua.
1) Angekuonyesha hiyo picha uione na wewe
2) Lazima hiyo picha ionyeshe pembeni hicho kibao cha 50 (hata kwa nyuma ya kibao), sio picha tu inayoonyesha uko over 50 bila kibao
3) Ukiwa below 55 Traffic anaruhusiwa au kushauriwa kukupa "verbal warning", hivyo nawe una haki ya kukataa fine hiyo
 
Tembea usiku mwendo unaotaka, ila tu UWE NA TAA NZURI na Uwe una uhakika hujachoka
 
Huko Ngara ni mbali. Nimetoka posta kwenda kibaha kupitia Mwenge nilikuwa na mishe za hapa na pale. Kufika Sarenda bridge naambiwa nimevuka taa nyekundu na nimemkimbia traffic makosa mawili kwa huruma nikaambiwa nilipie kosa moja. Kipande cha Mwenge-Ubungo kulikuwa na sijui msafara Sijui nini jamaa walikuja kwa speed sana pale maeneo ya kivulini kwamba nimesikia king'ora cha msafara sijachukua tahadhari nataka kufanya uhaini nikatishwa tishwa sana kwamba nitafungwa wakazuga wamenihurumia wakanipiga 30. Kufika baruti nikasimamishwa nikaoneshwa torch kwamba nimeoverspeed 53 nikawaambia sijaona kibao ndipo nikaambiwa TOKA POSTA HADI NJIA YOTE NI 50 NA HAKUNA KIBAO wakanichukuli 30. Pale mizani ya zamani maili moja tena nikaambiwa nine overtake sehemu isiyoruhusiwa kumbe nilifanya kwakuwa kuna roli lilipata na waliwasha hazard light na walikuwa wanajiandaa kuwaeka reflectors nikajaribu kujitetea haikusaidia. Yaani utetezi ulikuwa nikupoteza muda kumbe jamaa walishajipanga kuniandikia walikuwa wanasubiri license number tu. Ikawa hadi kufika maili moja nimelipa 120,000. Inaumiza sana sana sana.

Kuna haja na kila sababu ya wananchi kupaza sauti serikali kupitia jeshi la polisi wanatufilisi na kutuletea umasikini.
Yaani unaweza sema bora kutembea kwa miguu wamejua namna ya kutukamua hata bila kosa wakikusimamisha lazima uandikiwe hata kama huna kosa tz tz tz na kiongozi unaejifanyia utakavyo Mungu hajaenda likizo
 
Mwl Nyerere alituambia Serikali legelege huwa hazikusanyi Fedha sasa hii si legelege

Umesahau mkuu,

Inakimbizana na wafanyabiashara wadogo na makosa madogo madogo.
Hata hivyo, hii ya sasa tuendelee kuitathmini (hasa kwenye marekebisho ya mikataba mibovu kama IPTL) kwani kukusanya kodi ambayo italipa makampuni kama hayo bado hakuna hatua ya ufanisi.
 
Back
Top Bottom