Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
Bora ya Tanzania unaweza ukabargain na police. Nenda nchi zenye camera. Ukizidisha dot tu tayari mwenye gari ndani ya masaa matatu atatumia notice ya kulipa faini inayojumuisha mpaka na gharama za kuletewa hiyo notice.
Ni kweli lakini pale huonewi na kila kitu kipo wazi , pamoja na warning za mfano kupunguza mwendo kwa zaidi ya kilimita moja kabla. Pia kuna warning kuwa sehemu hii ina kamera hivyo punguza mwendo. Hapa kwenyu vibao havipo na unakuta traific kajificha kichakani.
Wala wenzetu hakuna trafic kila kona wana simamisha magari hovyo asubuhi unawaji kazini na Unaanza kudaiwa licence, sijui first aid, sijui triangle, mara leta card ya gari ..nje huwezi kusimamishwa kupotezewa muda wako. Mtu unapanga appointment unafika njiani unasimamishwa uanze kupekuliwa kuonesha kama una jacky hio only in tanzania. Hawajali time zetu