uduzungwa
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 552
- 541
Wakuu salama za sikukuu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Nimetoka zangu gereji naingia tu. Main road hapa maeneo ya mianzini. Nikasimamishwa na traffic. Kaanza na mambo yambo yake, naomba leseni yako, nikampatia. Akanibambikia makosa yake kaanza eti naongea na simu nikalichomoa,
kubwa kuliko akaniambia naendesha nikiwa nimevaa sandles (nimevaa viatu vyisivyo na kamba ya nyuma).
kanikomalia hapo, afu hapo faini ya 30 sina.
Nikabembeleza balaa.
Jamani naomba kuuliza eti ni kosa kuendesha gari ukiwa umevaa sandles.
Wenye ujuzi wa makosa ya barabarani. Hili nalo lipo kwenye list.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Nimetoka zangu gereji naingia tu. Main road hapa maeneo ya mianzini. Nikasimamishwa na traffic. Kaanza na mambo yambo yake, naomba leseni yako, nikampatia. Akanibambikia makosa yake kaanza eti naongea na simu nikalichomoa,
kubwa kuliko akaniambia naendesha nikiwa nimevaa sandles (nimevaa viatu vyisivyo na kamba ya nyuma).
kanikomalia hapo, afu hapo faini ya 30 sina.
Nikabembeleza balaa.
Jamani naomba kuuliza eti ni kosa kuendesha gari ukiwa umevaa sandles.
Wenye ujuzi wa makosa ya barabarani. Hili nalo lipo kwenye list.