Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,458
- 29,151
- Thread starter
- #21
sasa naanza kukupata Mkuu Mzee wa Rula kwamba ndivyo yalivyo, na nikihusianisha na ukweli kwamba ni magari "ya aina flani" hivi basi nakubaliana na wewe kua kwa Taa tu unaweza kuhitajika kwenda NairobiShark kidogo nicheke kuhusu uzi wako lakini nikagundua una hoja. Ukweli kuhusu magari mengi yanayowasha taa mchana inaweza kuwa ni kwa sababu;
1.0 Magari hayo yapo hivyo, yaani mfumo wake ni kuwa ikiwasha na taa za parking zinawaka automatic, sasa magari mengi mfumo huo yakija Bongo hawautoi. Bado sijaelewa ni fashion au gharama kuutoa mfumo huo?????
2.0 Attention au alert kwa madereva kuwa makini na kuepuka ajali maana magari kama hayo ukigonga lazima Nairobi ikuhusu kabisa.
Mkuu Shark huo ndiyo mtazamo wangu kuhusu baadhi ya magari kuwasha taa mchana.