BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,040
- 10,460
Yaaani ni raha sana hakuna anayeleta fujo unakuwa muamuzi mkuu. Mke na watoto wana obey rules ukiwa nyumbani kila kitu kinakuwa under control. Nyie mnaotaka haki sawa endeleeni kupika na kuosha vyombo.