Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 424
- 1,044
Awamu ya kuchoma masoko Kama njia ya kuwaondoa Wafanyabiashara wadogowadogo kwa nguvu ili kukwepa gharama ya kuwalipa fidia kwa mujibu wa sheria kwa mgongo wa kuleta maendeleo na kuboresha miundombinu ya masoko hayo. Tunaharibu maisha ya watu wetu...so bad