Tena kwa jiji kubwa kama Dar kuendelea kutumia vivuko inadhihirisha tuwavivu wa kutumia akili zetu ipasavyoUkiachilia mbali malipo yanayolipwa kama tozo ya kuvuka; Kama ilivyokuwa zamani GARI MOSHI lilivyotumia kuni na mkaa Tukaachana nalo;
Inashindikanaje Pia kuachana na hivi vivuko vya kizamani Mijini pakajengwa madaraja ya kama Haya?
View attachment 1074995View attachment 1074996
akili ni nyweleTena kwa jiji kubwa kama Dar kuendelea kutumia vivuko inadhihirisha tuwavivu wa kutumia akili zetu ipasavyo
Ukishaanza kushiba ndio hugundua kuwa chumvi ilikuwa haitoshi
Jema kama lipi, madaraja yenyewe yakulipiaYale maflaiova ujenzi wake ulipingwa balaaa. Waafrika hatuna jema
Jema kama lipi, madaraja yenyewe yakulipia
hatuendi na kasMbona hamueleweki munaitaji nini, akijenga miundombinu munasema sio tija tija maisha ya mtu na mtu hapa tena munakuja kulilia miundombinu akijenga mutalia tena pesa tabu | kweli kuongoza watu shida.
sawaHakunaga cha bure duniani. Na hayo madaraja yakianza dondoshwa kodi zitaongezeka za kila aina