Njaa Mbaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 666
- 175
Watendaji wengi wa ngazi za juu hawataki kustaafu hata muda wao kisheria unapofika, wanafanya mazungumzo na washauri wa raisi ili kuhakikisha wanaendelea kuwepo kwenye nyadhifa hizo hata baada ya umri wa kustaafu kufika. Kwa sasa kuna makatibu wakuu wanahaha huku na kule kuhakikisha wanaendelea na nyazifa hizo watendaji kama wa TRA muda wake ulifika akalobu mpaka akaongezewa muda na wengine wengi. Nasikia hata mzee wa TRA muda wake aliohongezewa unaenda kuisha anafukuzia aongezewe tena sasa tunajiuliza ni lini watapumzika hata kizazi kipya kifanye kazi.
Soma gazeti la uhuru tarehe 10/10/2012 uone miujiza, mpaka gazeti la magamba limewachoka
Soma gazeti la uhuru tarehe 10/10/2012 uone miujiza, mpaka gazeti la magamba limewachoka