Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Watanzania tubadilike,tuipende na kuilinda Lugha yetu! Utakuta mtu anaandika "ivi" badala ya hivi,"una ela" badala ya huna hela, "ujui" badala ya hujuwi, nk uharibifu huu (mwingine angeandika "u")wa maneno katika lugha ya kiswahili ("kiswaili") unachefua hasa unapofanywa na Watanzania tena mbaya zaidi wasomi na zaidi vijana!? Huko ("uko") tunapoipeleka lugha yetu Tukufu ni pabaya, tubadilike na tujivunie utamaduni wetu! Na humu humu ("umu umu") Jf watu hao ("ao")wamo halafu ("alafu")wanajiita Ma-great thinker! Aibu na upuuzi mtupu!