Kitarisi
Member
- Sep 6, 2017
- 19
- 20
Wakubwa naomba kujua kuwa mtu kama akisoma yale masomo ya secondary ya miaka 2 ali maarufu kama QT vipi akifaulu anaweza apply chuo coz yoyote ile ama kuna baadhi ya coz ndo itatakiwa asome!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app