Pole mayu!umenikosea sana kunifananisha na mlula!
Pole mayu!umenikosea sana kunifananisha na mlula!
Kumbe atagombea urais?Unashangaza kidogo! Umeuliza swali na umelijibu mwenyewe! Sasa yeye atatoa majibu yapi tena. Umesema yuko kijijini na anafanya kazi sana. Hilo ungelifurahia maana yuko karibu na wananchi na anawaonyesha mfano wa "hapa kazi tu" mbali ya kuwa ni mbunge. Pia umesema muda wa kujinadi bado yaani umemtetea mwenyewe! Kwamba kuna wapinzani hilo ni jambo zuri kwa maana inaonesha kuwa kuna demokrasia. Jambo moja umesahau. Mwigulu viwango vyake ni vya urais wa nchi na alionesha kwa vitendo. Unadhani mtu wa jinsi hiyo ataogopa upinzani wa ubunge? Kazi kwako.
Namshauri Esther Matiko atafute kazi nyingine ya kufanya maana pale Bunda Mjini hatakiwi wapiga kura wake wanasema huwa wanamsikia tu kila kukicha yuko Mahakamani tena Dar hata kama kesi si ya kwake lakini yupo MahakamaniAmani iwe kwenu!!
Tutumie thread hii kupendekeza wale wanaofaa kugombea 2020, Tetesi za watu watakaogombea
Mimi naanza na Dr. Tulia, Huyu dada amekuwa msaada kwetu na jamii ya Wana Mbeya kwa ujumla kwani kawasaidia wakina Mama wengi kupata mikopo yenye riba nafuu na vijana wengi kwenda Shule Mimi na awa wenzangu tumeapa kumpigia kampeni bure kabisa Dr Tulia Ackson Mwansansu kuwa Mbunge wa Mbeya 2020.
hivi bado yuko kwenye makampuni ya simu..? kama huko si habaAlly kazi yake kwa sasa ni NONO sana hawezi wania Ubunge ambao sasa hauna deal kwa sababu Rais wa TZ ndiye pia muamuzi wa mwisho kuhusu posho za wabunge na akaamua kakata posho kibao za kusafiri.za wabunge.
Wabunge wana tengeneza pesa kwa safari lkn sasa hazipo!!