Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
Ni kweli 100%. Na nilijua ndivyo tungefanya awamu zote!Usichokumbuka ni kuwa katika ule ujenzi kulikuwepo NGUVU ZA WANANCHI KWANZA halafu SERIKALI inaweka mchango wake. Wewe hukuchangia? Sehemu nyingine nguvu kazi ilitumika kujenga wakati serikali ikitowa vifaa