Nondoh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 298
- 478
In short CCM na viongozi wake wanawachanganya wananchi kuhusu uchumi wa viwanda. Inafika hatua unashindwa kujua kama ni makusudi au nao hawajui kiwanda ni nini.
Tangu tuaminishwe tanzania ya viwanda inakuja watu mbalimbali watu mbalimbali wamejitokeza na kuelezea viwanda. Imefika hatua kiongozi mkubwa aliyekabidhiwa dhamana ya uongozi katika nchi anavyotoa maelezo kuhusu viwanda ukimsikiliza unapata shaka kama huyu mtu anacho kiongelea anakijua au la? Unashindwa kumtofautisha kati yake na kibajaj
Viongozi wengine wanapost maandazi kwenye mitandao wanaita viwanda.. Tafsiri au maana ya viwanda imekuwa ni vituko haijalishi anayezungumza ni mtu mwenye upeo au mwenye upeo wenye mashaka, wote hawana tofauti.
Kama haita tolewa tafsiri au maana halisi ya uchumi wa viwanda ipo siku mtu au kiongozi atampost mke wake anasonga ugali ataita ni kiwanda na watanzania walio na upeo wenye mashaka wataamini.
Ni vizuri tujue maana na tafsiri ya viwanda ni nini. Je mataifa yaliyoendelea yanatafsiri vipi maana ya kiwanda, je mataifa yanayoendelea na yenye uchumi wa kati wao wanatafsiri vipi maana ya kiwanda.
Tangu tuaminishwe tanzania ya viwanda inakuja watu mbalimbali watu mbalimbali wamejitokeza na kuelezea viwanda. Imefika hatua kiongozi mkubwa aliyekabidhiwa dhamana ya uongozi katika nchi anavyotoa maelezo kuhusu viwanda ukimsikiliza unapata shaka kama huyu mtu anacho kiongelea anakijua au la? Unashindwa kumtofautisha kati yake na kibajaj
Viongozi wengine wanapost maandazi kwenye mitandao wanaita viwanda.. Tafsiri au maana ya viwanda imekuwa ni vituko haijalishi anayezungumza ni mtu mwenye upeo au mwenye upeo wenye mashaka, wote hawana tofauti.
Kama haita tolewa tafsiri au maana halisi ya uchumi wa viwanda ipo siku mtu au kiongozi atampost mke wake anasonga ugali ataita ni kiwanda na watanzania walio na upeo wenye mashaka wataamini.
Ni vizuri tujue maana na tafsiri ya viwanda ni nini. Je mataifa yaliyoendelea yanatafsiri vipi maana ya kiwanda, je mataifa yanayoendelea na yenye uchumi wa kati wao wanatafsiri vipi maana ya kiwanda.