Skillionare
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 1,190
- 523
Wanajamii huku makete thamani ya kura imekuwa pombe za kienyeji baada ccm kununua pombe zote za kienyeji kwenye vilabu ,wanavijiji huku wametoka majumbani kunywa pombe za kienyeji kwenye vilabu na baadhi ya vijiwe watu wa ccm wanatoa ndoo za ulanzi kama rushwa kuwashawishi kesho waipigie kura ccm! takukuru njombe/iringa msiseme hamna taarifa