Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,334
- 3,004
Hivi huyu Shitindi Advance alisoma shule gani mkuu?Venas shitindi ndoo Alikuwa kiongozi shujaa daruso
Hivi huyu Shitindi Advance alisoma shule gani mkuu?Venas shitindi ndoo Alikuwa kiongozi shujaa daruso
Sasa utasoma vipi jioniSipo dar es salaam Kaka
Mshukuru sn BASHITE ana sakata la vyeti. Hivyo huko hata sogeza mapua yake. Lasivyo angetia mguu na kufungwa bila kupitia mahakamani au kubambikiziwa Unga kwa mwenye kiherereJitahidini tu bavicha wasiingie ili utulivu uendelee kuwepo, Sina zaidi Mwenyekiti, migomo na maandamano imekuwa historia
Nikijua utaratibu itasaidia ndomana ni kaulizaSasa utasoma vipi jioni
Aya nmekuuluzia tayari fee ni 1.4M na application unafanya TCUNikijua utaratibu itasaidia ndomana ni kauliza
Asante mkuuAya nmekuuluzia tayari fee ni 1.4M na application unafanya TCU