Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA 2008: Nani ni nani!

Asha Abdala

JF-Expert Member
Mar 21, 2007
1,130
44
Najua kama mwanachama wa CHADEMA sikitendei haki chama changu kuanzisha hii thread ya kujadili kuhusu nafasi za uongozi za kitaifa katika uchaguzi mkuu ujao wa CHADEMA. Hii ni kwa sababu kwa mujibu wa taratibu za chama changu sasa ni wakati wa chaguzi za ngazi ya chini za msingi na matawi. Hatujafika hata ngazi ya kata, jimbo, wilaya nk. Kwa mujibu wa taratibu za chama chetu kampeni za uchaguzi wagombea huzifanya katika kikao husika ili kuepusha utamaduni wa ufisadi ambao CCM imeulea wa wagombea kuchafuana kabla, wagombea kupitia mikoani kuhonga kwa wajumbe na pia kufanya kampeni kutokuwa na uwanja sawa kati ya wenye nacho na wasio nacho, wenye cheo na wasio na cheo. Ndio maana ukiondoa Chacha Wangwe ambaye ametangaza kugombea uenyekiti hakuna kiongozi mwingine wa CHADEMA ambaye ametangaza kugombea nafasi katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika katika mkutano mkuu wa Disemba 12 mwaka 2008. Akitangaza ratiba ya uchaguzi iliyopitishwa na baraza kuu mwishoni mwa mwaka jana, waandishi wa habari walimbana Mwenyekiti Mbowe atangaze kama atagombea au la lakini mwenyekiti alisema kabisa kwa mujibu wa taratibu za chama hayo si masuala ya kuzungumziwa kwa sasa bali kila mwanaCHADEMA ajadili jinsi ya kujenga oganizesheni ya chama mbadala CHADEMA katika ngazi ya mitaa na vijiji kupitia misingi na matawi. Hata hivyo, nimeshawishika kuibua huu mjadala kupata maoni ya umma baada ya kujitokeza kwa hoja kwamba kuna ombwe la uongozi katika chama chetu. Hivyo naombeni maoni yenu kuhusu nani ni nani katika CHADEMA kwenye kikosi kitachokiongoza chama kuelekea uchaguzi wa mitaa na vijiji 2009 na uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 katika nafasi zifuatazo:

Nafasi za kugombewa na Mkutano Mkuu Taifa:

1. Mwenyekiti
2. Makamu Mwenyekiti(Bara)
3. Makamu Mwenyekiti(Znz)


Nafasi za Kugombewa kwenye baraza kuu(kwa mapendekezo ya majina mawili mawili kwa kila nafasi):

1. Katibu Mkuu
2. Naibu Katibu Mkuu(Bara)
3. Naibu Katibu Mkuu(Znz)


Nafasi za kugombewa katika Mkutano Mkuu wa Wazee:
1. Mwenyekiti wa Wazee(Nafasi hii haipo kwa sasa, itagombewa kwa mara ya kwanza 2008)

Nafasi ya kugombewa katika Mkutano Mkuu wa Vijana:
1. Mwenyekiti wa Vijana(kama hapo juu)

Nafasi ya Kugombewa katika mkutano Mkuu wa Wanawake
1. Mwenyekiti wa Wanawake(Kama hapo Juu).

Nafasi za kuteuliwa na Kamati Kuu:
1. Wakurugenzi( Fedha na Utawala, Oganizesheni na Mafunzo, Rasilimali, Mahusiano ya Kimataifa, Habari na uenezi, Kampeni na Uchaguzi, Ulinzi na Usalama, Sheria na Haki za Binadamu).
2. Makatibu wa Mabaraza( Wazee, Vijana, Wanawake).

Chini ya Katiba Mpya ya CHADEMA toleo la 2006 ambayo ita-replace Katiba ya Mwaka 2004 hapatakuwa na nafasi zifuatazo:

1. Mkurugenzi wa Wazee( Kwa hiyo Kimesera hatakuwepo tena katika nafasi hiyo)
2. Mkurugenzi wa Vijana(Kwa hiyo Mnyika hatakuwepo tena kwenye nafasi hiyo)
3. Mkurugenzi wa Wanawake(Kwa hiyo Mama Kaihula hatakuwepo tena kwenye nafasi hiyo).

Tujadili, NANI NI NANI? KWA NINI?

Asanteni kwa ushirikiano wenu

Asha
 
Najua kama mwanachama wa CHADEMA sikitendei haki chama changu kuanzisha hii thread ya kujadili kuhusu nafasi za uongozi za kitaifa katika uchaguzi mkuu ujao wa CHADEMA. Hii ni kwa sababu kwa mujibu wa taratibu za chama changu sasa ni wakati wa chaguzi za ngazi ya chini za msingi na matawi. Hatujafika hata ngazi ya kata, jimbo, wilaya nk. Kwa mujibu wa taratibu za chama chetu kampeni za uchaguzi wagombea huzifanya katika kikao husika ili kuepusha utamaduni wa ufisadi ambao CCM imeulea wa wagombea kuchafuana kabla, wagombea kupitia mikoani kuhonga kwa wajumbe na pia kufanya kampeni kutokuwa na uwanja sawa kati ya wenye nacho na wasio nacho, wenye cheo na wasio na cheo. Ndio maana ukiondoa Chacha Wangwe ambaye ametangaza kugombea uenyekiti hakuna kiongozi mwingine wa CHADEMA ambaye ametangaza kugombea nafasi katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika katika mkutano mkuu wa Disemba 12 mwaka 2008. Akitangaza ratiba ya uchaguzi iliyopitishwa na baraza kuu mwishoni mwa mwaka jana, waandishi wa habari walimbana Mwenyekiti Mbowe atangaze kama atagombea au la lakini mwenyekiti alisema kabisa kwa mujibu wa taratibu za chama hayo si masuala ya kuzungumziwa kwa sasa bali kila mwanaCHADEMA ajadili jinsi ya kujenga oganizesheni ya chama mbadala CHADEMA katika ngazi ya mitaa na vijiji kupitia misingi na matawi. Hata hivyo, nimeshawishika kuibua huu mjadala kupata maoni ya umma baada ya kujitokeza kwa hoja kwamba kuna ombwe la uongozi katika chama chetu. Hivyo naombeni maoni yenu kuhusu nani ni nani katika CHADEMA kwenye kikosi kitachokiongoza chama kuelekea uchaguzi wa mitaa na vijiji 2009 na uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 katika nafasi zifuatazo:

Nafasi za kugombewa na Mkutano Mkuu Taifa:

1. Mwenyekiti
2. Makamu Mwenyekiti(Bara)
3. Makamu Mwenyekiti(Znz)


Nafasi za Kugombewa kwenye baraza kuu(kwa mapendekezo ya majina mawili mawili kwa kila nafasi):

1. Katibu Mkuu
2. Naibu Katibu Mkuu(Bara)
3. Naibu Katibu Mkuu(Znz)


Nafasi za kugombewa katika Mkutano Mkuu wa Wazee:
1. Mwenyekiti wa Wazee(Nafasi hii haipo kwa sasa, itagombewa kwa mara ya kwanza 2008)

Nafasi ya kugombewa katika Mkutano Mkuu wa Vijana:
1. Mwenyekiti wa Vijana(kama hapo juu)

Nafasi ya Kugombewa katika mkutano Mkuu wa Wanawake
1. Mwenyekiti wa Wanawake(Kama hapo Juu).

Nafasi za kuteuliwa na Kamati Kuu:
1. Wakurugenzi( Fedha na Utawala, Oganizesheni na Mafunzo, Rasilimali, Mahusiano ya Kimataifa, Habari na uenezi, Kampeni na Uchaguzi, Ulinzi na Usalama, Sheria na Haki za Binadamu).
2. Makatibu wa Mabaraza( Wazee, Vijana, Wanawake).

Chini ya Katiba Mpya ya CHADEMA toleo la 2006 ambayo ita-replace Katiba ya Mwaka 2004 hapatakuwa na nafasi zifuatazo:

1. Mkurugenzi wa Wazee( Kwa hiyo Kimesera hatakuwepo tena katika nafasi hiyo)
2. Mkurugenzi wa Vijana(Kwa hiyo Mnyika hatakuwepo tena kwenye nafasi hiyo)
3. Mkurugenzi wa Wanawake(Kwa hiyo Mama Kaihula hatakuwepo tena kwenye nafasi hiyo).

Tujadili, NANI NI NANI? KWA NINI?

Asanteni kwa ushirikiano wenu

Asha

Nimesahau kurugenzi moja ya Bunge na Halmashauri!

Asha
 
Najua kama mwanachama wa CHADEMA sikitendei haki chama changu kuanzisha hii thread ya kujadili kuhusu nafasi za uongozi za kitaifa katika uchaguzi mkuu ujao wa CHADEMA. Hii ni kwa sababu kwa mujibu wa taratibu za chama changu sasa ni wakati wa chaguzi za ngazi ya chini za msingi na matawi. Hatujafika hata ngazi ya kata, jimbo, wilaya nk. Kwa mujibu wa taratibu za chama chetu kampeni za uchaguzi wagombea huzifanya katika kikao husika ili kuepusha utamaduni wa ufisadi ambao CCM imeulea wa wagombea kuchafuana kabla, wagombea kupitia mikoani kuhonga kwa wajumbe na pia kufanya kampeni kutokuwa na uwanja sawa kati ya wenye nacho na wasio nacho, wenye cheo na wasio na cheo. Ndio maana ukiondoa Chacha Wangwe ambaye ametangaza kugombea uenyekiti hakuna kiongozi mwingine wa CHADEMA ambaye ametangaza kugombea nafasi katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika katika mkutano mkuu wa Disemba 12 mwaka 2008. Akitangaza ratiba ya uchaguzi iliyopitishwa na baraza kuu mwishoni mwa mwaka jana, waandishi wa habari walimbana Mwenyekiti Mbowe atangaze kama atagombea au la lakini mwenyekiti alisema kabisa kwa mujibu wa taratibu za chama hayo si masuala ya kuzungumziwa kwa sasa bali kila mwanaCHADEMA ajadili jinsi ya kujenga oganizesheni ya chama mbadala CHADEMA katika ngazi ya mitaa na vijiji kupitia misingi na matawi. Hata hivyo, nimeshawishika kuibua huu mjadala kupata maoni ya umma baada ya kujitokeza kwa hoja kwamba kuna ombwe la uongozi katika chama chetu. Hivyo naombeni maoni yenu kuhusu nani ni nani katika CHADEMA kwenye kikosi kitachokiongoza chama kuelekea uchaguzi wa mitaa na vijiji 2009 na uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 katika nafasi zifuatazo:

Nafasi za kugombewa na Mkutano Mkuu Taifa:

1. Mwenyekiti
2. Makamu Mwenyekiti(Bara)
3. Makamu Mwenyekiti(Znz)


Nafasi za Kugombewa kwenye baraza kuu(kwa mapendekezo ya majina mawili mawili kwa kila nafasi):

1. Katibu Mkuu
2. Naibu Katibu Mkuu(Bara)
3. Naibu Katibu Mkuu(Znz)


Nafasi za kugombewa katika Mkutano Mkuu wa Wazee:
1. Mwenyekiti wa Wazee(Nafasi hii haipo kwa sasa, itagombewa kwa mara ya kwanza 2008)

Nafasi ya kugombewa katika Mkutano Mkuu wa Vijana:
1. Mwenyekiti wa Vijana(kama hapo juu)

Nafasi ya Kugombewa katika mkutano Mkuu wa Wanawake
1. Mwenyekiti wa Wanawake(Kama hapo Juu).

Nafasi za kuteuliwa na Kamati Kuu:
1. Wakurugenzi( Fedha na Utawala, Oganizesheni na Mafunzo, Rasilimali, Mahusiano ya Kimataifa, Habari na uenezi, Kampeni na Uchaguzi, Ulinzi na Usalama, Sheria na Haki za Binadamu).
2. Makatibu wa Mabaraza( Wazee, Vijana, Wanawake).

Chini ya Katiba Mpya ya CHADEMA toleo la 2006 ambayo ita-replace Katiba ya Mwaka 2004 hapatakuwa na nafasi zifuatazo:

1. Mkurugenzi wa Wazee( Kwa hiyo Kimesera hatakuwepo tena katika nafasi hiyo)
2. Mkurugenzi wa Vijana(Kwa hiyo Mnyika hatakuwepo tena kwenye nafasi hiyo)
3. Mkurugenzi wa Wanawake(Kwa hiyo Mama Kaihula hatakuwepo tena kwenye nafasi hiyo).

Tujadili, NANI NI NANI? KWA NINI?

Asanteni kwa ushirikiano wenu

Asha


Unataka tutaje watu halafu wafukuzwe uanachama kabla ya hiyo December?

Kama kuna mtu anafaa na anataka kugombea ni bora kukaa kimya mpaka siku zikikaribia.

Mimi nataka kugombea Uenyekiti na kadi nimekata, kwahiyo weka jina la Mtanzania kwenye uenyekiti.
 
Unataka tutaje watu halafu wafukuzwe uanachama kabla ya hiyo December?

Kama kuna mtu anafaa na anataka kugombea ni bora kukaa kimya mpaka siku zikikaribia.

Mimi nataka kugombea Uenyekiti na kadi nimekata, kwahiyo weka jina la Mtanzania kwenye uenyekiti.

Watanzania Bwana

Mkishirikishwa, mnalalamika. Vyama vikijifungia na kufanya mambo yao ndani kwa ndani, napo mnalalamika. Kuna kitu kinaitwa public opinion. Toa tu maoni yako hapa, najua viongozi wakuu wa CHADEMA na wajumbe wa vikao vya maamuzi wanapita hapa na kusoma, unaweza kuwashawishi kufanya maamuzi kwa kuzingatia matakwa ya umma si tu wa wanachama bali pia wa watanzania kwa ujumla. Kumbuka upinzani ni serikali inayosubiri, unaweza kuwa ndio unaandaa chama kiongozi kitakachoongoza nchi yetu mwaka 2010 na kuendelea. Unajuaje Bwana! Ama sivyo utakuwa na chama chenye katibu mkuu kama Makamba

Asha
 
Nafasi za kugombewa na Mkutano Mkuu Taifa:

1. Mwenyekiti
2. Makamu Mwenyekiti(Bara)
3. Makamu Mwenyekiti(Znz)


Nafasi za Kugombewa kwenye baraza kuu(kwa mapendekezo ya majina mawili mawili kwa kila nafasi):

1. Katibu Mkuu
2. Naibu Katibu Mkuu(Bara)
3. Naibu Katibu Mkuu(Znz)


Nafasi za kugombewa katika Mkutano Mkuu wa Wazee:
1. Mwenyekiti wa Wazee(Nafasi hii haipo kwa sasa, itagombewa kwa mara ya kwanza 2008)

Nafasi ya kugombewa katika Mkutano Mkuu wa Vijana:
1. Mwenyekiti wa Vijana(kama hapo juu)

Nafasi ya Kugombewa katika mkutano Mkuu wa Wanawake
1. Mwenyekiti wa Wanawake(Kama hapo Juu).

Nafasi za kuteuliwa na Kamati Kuu:
1. Wakurugenzi( Fedha na Utawala, Oganizesheni na Mafunzo, Rasilimali, Mahusiano ya Kimataifa, Habari na uenezi, Kampeni na Uchaguzi, Ulinzi na Usalama, Sheria na Haki za Binadamu).
2. Makatibu wa Mabaraza( Wazee, Vijana, Wanawake).
Asha,

Muundo huo ni Mzuri na umekaa kiCCM zaidi na nafikiri ni mbinu Nzuri ya kukabiliana kiushindani na CCM ,baada ya kuona hoja hazitoshi kuwakabili makada wa CCM.Ila kwa kuanzia nadhani sasa kuna haja ya CHADEMA kuwapa Vijana na wasomi baadhi ya Nafsai Muhimu za chama,Watu kama Kitila wanahitajika sana ili kuweka Mchango wao katika Chama na kukiendeleza hapa kilipo na kukipeleka sehemu iliyo bora.

Ningependekeza Majina yafuatayo kwa nafasi za Vijana
1.Mhe. Zitto Zuberi Kabwe

Mnyika anaweza kupewa nafasi ya kuteuliwa kuwa Katibu mkuu wa vijana ila baada ya yeye kumaliza Shule.Ila kuna watu kama kijana mmoja nilimuona Dodoma kipindi cha bunge ambaye aliwahi kuwa waziri Mkuu wa DARUSO naye anafaa nafasi ya ukatibu ,sababu nimemsikia yuko CHADEMA kwa muda sasa ila sijui nafasi yake ni ipi.

Pia CHADEMA limaze suala ambalo Wangwe anazingumzia ambalo ni la Msingi Pia kwa kipindi hiki kuelekea 2010,Kupunguza Viongozi kutoka sehemu moja tu ya Nchi,Naamaanisha Kaskazini.hiii italeta Suala ya Kitaifa.KWa kuwa Wangwe ameonekana anatetea Maslahi apewe ukurugenzi wa FEDHA ili adhibiti Ruzuku..

Mhe. Mbowe apewe nafasi ya Ukatibu Mkuu ndiyo inayomfaa kwa sasa ili afahamu shughuli za Utendaji wa chama na siasa kwa ujumla..DR. W. Slaa awe Mwenyekiti wa CHADEMA ila nachokiona hapa kuwekwa vyeo vya wenyetivi wa wazee ni kama kuwapa watu kama kina Slaa nafasi hizo na kumpunguzia Mbowe upinzani katika nafasi hizo.Kwa kuliona hili Prof Baregu apewe nafasi hii
 
Last edited:
Check Signature yangu

"As long as I am leader, Our position is not going to change from that of our forefathers. I do not want the responsibility for selling the rights of our children yet unborn"
 
Najua kama mwanachama wa CHADEMA sikitendei haki chama changu kuanzisha hii thread ya kujadili kuhusu nafasi za uongozi za kitaifa katika uchaguzi mkuu ujao wa CHADEMA.

Asha

Sasa nimeelewa kwa nini unashindwa kuwatendea haki watu wa vyama vingine.Kama chama chako mwenyewe hukitendei haki,je vyama vingine?

Nafasi za uongozi CHADEMA haina manufaa yoyote kuzijadili.Kama una namba ya simu ya Mtei mpigie atakupa majibu ya nani ni nani.
 
Pia kwa kuongezea kwa ktk hoja ya Gembe, Asha Abdala apewe Mkurugenzi wa Habari na uenezi.

Tutapata waziri wa habari kama yule wa Iraq.

Nakubaliana na Gembe, Dr. Slaa mwenyekiti. Watu kama Zitto, Kitila, Lissu wapewe nafasi kubwa kwenye chama.

Bwana mdogo Mnyika mpatieni nafasi ya kusoma kwanza.

Ondoeni kabisa hao wazee wa CHADEMA kwenye kamati kuu, mnaweza kuwapa heshima zingine kwenye chama lakini msiige mambo yote ya CCM. Walikuwa na nafasi zao za kuleta mabadiliko, kama walishindwa, huu ni muda wa wengine nao kuchapa kazi bila kuingiliwa na wazee.

Mbowe, Mmmmhhh!!! angefaa kuwa makamu mwenyekiti, kama hataki basi akagombee ubunge ingawaje hata huko nina wasiwasi na utendaji wake wakati alipokuwa mbunge.

Anajua ku kampeni lakini naamini si mtendaji kabisa.

Wangwe anafaa kule Mara, watu kule wamezoea manguvu kwahiyo na yeye na nguvu na hasira zake, atawafaa sana, ila acheni kumpaka matope kwasababu tu amewapingeni.

Shughulikieni madai ya Wangwe.

Mwanakijiji? Bado tunamtaka KLHNEWS, lakini pia sio mwanasiasa na akienda TZ kwenye siasa atachemsha baada ya muda mfupi, hivyo ni bora abaki huku ambako uwezo wake hauna mfano.

Mtanzania, mimi hata ukatibu kijiji utanifaa, grassroot politics!
 
Mwanakijiji? Bado tunamtaka KLHNEWS, lakini pia sio mwanasiasa na akienda TZ kwenye siasa atachemsha baada ya muda mfupi, hivyo ni bora abaki huku ambako uwezo wake hauna mfano.

Mtanzania, mimi hata ukatibu kijiji utanifaa, grassroot politics!
Mwanakiji aliniambia yey siyo Mwanasiasa,labda kama CCM?? wakiruhusu Mgombea Binafsi anaweza kugombea
 
Kuna watu wengi tu CHADEMA wakuwafikiria kwenye hizo nafasi, wakina Profesa Baregu, Balozi Ngaiza, Wakili Mbogoro, Msafiri Mtemelwa, Suzan Kiwanga, Halima Mdee, Benson Kigaila, Erasto Tumbo, Antoni Komu, John Mrema, Dr Ben Kapwani. Na kwa upande wa wenye ulemavu kuna binti mmoja alikuja kwetu Zanzibar kukutana na vijana, ana ulemavu Bi Regia Mtema. Huyu inaelekea ndio anaandaliwa kuchukua nafasi ya Mnyika. Kuna Hamad Rashid, Maabad na Dadi Kombo Maalim hule kwetu. Halafu kuna hilo kundi la wabunge 11 wa CHADEMA kuna haja ya kuangalia kila mmoja na anafaa wapi. Halafu kuna wajumbe wa kamati kuu na madiwani
 
Kuna watu wengi tu CHADEMA wakuwafikiria kwenye hizo nafasi, wakina Profesa Baregu, Balozi Ngaiza, Wakili Mbogoro, Msafiri Mtemelwa, Suzan Kiwanga, Halima Mdee, Benson Kigaila, Erasto Tumbo, Antoni Komu, John Mrema, Dr Ben Kapwani. Na kwa upande wa wenye ulemavu kuna binti mmoja alikuja kwetu Zanzibar kukutana na vijana, ana ulemavu Bi Regia Mtema. Huyu inaelekea ndio anaandaliwa kuchukua nafasi ya Mnyika. Kuna Hamad Rashid, Maabad na Dadi Kombo Maalim hule kwetu. Halafu kuna hilo kundi la wabunge 11 wa CHADEMA kuna haja ya kuangalia kila mmoja na anafaa wapi. Halafu kuna wajumbe wa kamati kuu na madiwani

Ndio maana nimesema hakuna manufaa yoyote kujadili.Si uwapigie simu hao waandaaji wakwambie nani ni nani badala ya kuanzisha thread?.
 
Tutapata waziri wa habari kama yule wa Iraq.

!

Mkuu

mmmm!, Huwa nafuatilia nondo zake kweli anafaa kuwa katika chama cha upinzani kama CHADEMA. Siasa za Tanzania ambazo waliowengi ama hawajali au wamelala zinahitaji mtu ambaye hatetereki ambaye pia si mwoga. Katika kipindi nimefuatilia hapa, hilo nimeliona.

Tutapata waziri wa habari kama yule wa Iraq.

Nakubaliana na Gembe, Dr. Slaa mwenyekiti. Watu kama Zitto, Kitila, Lissu wapewe nafasi kubwa kwenye chama.

!

Hapa sina kipingamizi wote hawa uwezo wao ni mkubwa sana.

Mkuu Dr. Slaa ameisha onyesha makali yake vya kutosha hivyo ni jukumu la chama kuhakikisha wanamtumia kwa masirahi si tu ya CHADEMA hila taifa kwa ujumla. Nafikiri hata wananzania wa rika, hata baadhi ya wana- CCM na vyama vingine vya upinzania wanamkubali.

Watanzania sasa wanahitaji sana watu makini baada ya kuwa na watu wababaishaji wanotoka chama tawala kwa muda mrefu.

Bwana mdogo Mnyika mpatieni nafasi ya kusoma kwanza.

!

Huyu bwana tayari ana first degree ya UDSM sasa elimu gani nyingine inayotakiwa hapa? Tuangalie watawala wetu, hivi wana hata elimu hizi?

Labda tunapoongelea suala la elimu tuwe specific katika elimu inayotakiwa. Kuna vitu viwili hapa elimu na uzoefu nafikiri Mnyika anahitaji uzoefu zaidi ambapo pia naona pale ubungo amekaa vizuri.

Walikuwa na nafasi zao za kuleta mabadiliko, kama walishindwa, huu ni muda wa wengine nao kuchapa kazi bila kuingiliwa na wazee.

!

Hii muhimu sana kama vijana wapo tayari kushiriki katika kuleta mageuzi, wazee inatakiwa kutoa ushauri tu pale unapotakiwa. Tatizo lililopo Tanzania vijana wengi sana wenye uwezo wamejikuta njia panda na kushindwa kushiriki katika siasa za Tanzania kutokana na hali harisi ya maisha. Siasa kwa sasa watashiriki vijana wanaotokea katika familia ambazo ziko kwenye siasa.

Chadema kuna haja ya kuandaa vijana wapya kutoka katika vyanzo vya elimu ktk Tanzania na watanzania wengine waliopo katika vyuo mbali mbali duniani kwa ajiri ya kukiendeleza chama siku za usoni.

Mbowe, Mmmmhhh!!! angefaa kuwa makamu mwenyekiti, kama hataki basi akagombee ubunge ingawaje hata huko nina wasiwasi na utendaji wake wakati alipokuwa mbunge.

Utendaji wake mimi sina wasi wasi naye, maana ameweza kusimamisha CHADEMA na kuwa chama kimojawapo kinacho heshimika Tanzania. Hila kwa sasa naona kumejitokeza watu wanaoweza kukitoa alipokifikisha na kukiweka mahala pengine hivyo Dr. Slaaa(Mkata mbuga/championi wa kupambana ma mafisadi) anaweza kufikisha chama kunakotakiwa.

Mbowe anaweza kugombea ubunge hili aweze kuendeleza mapambano yake huko huko maana tunakumbuka katika uchaguzi challenge zake kama siyo mchezo uliochezwa na chama cha M..... zilikuwa si za kawaida.

Mbowe nilimkubali kwa kujenga hoja na nafikiri hata CHAMA tawala wanamuogopa kwa hilo. Nafikiri inatakiwa aendelee kuwa chachu kuhakikisha hoja zake zinaleta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania.

Wangwe anafaa kule Mara, watu kule wamezoea manguvu kwahiyo na yeye na nguvu na hasira zake, atawafaa sana, ila acheni kumpaka matope kwasababu tu amewapingeni.

Hapa nafikiri nakupa asilimia 1000% pamoja na kwamba kukaa kwenye chama ni pamoja na kufuata maadili ya chama. Hivyo wanachadema bado wanakazi ya kuhakikisha wanamfunda kuhakikisha anakuwa mwanachama mzuri. halafu pia inatakiwa wampe muda akajiendeleze kidogo kwa manufaa na maendeleo ya chama hapo baadaye.

Shughulikieni madai ya Wangwe.

Nafikiri hapa watu walioko Chadema ni watu wazima na wana upeo wa kutosha yale yaliyo ya muhimu inatakiwa yajadiliwe kwa kina na kupatiwa ufumbuzi na yale yaliyoongezwa chumvi yanatakiwa yajadiliwe pia.

Ikiwezekana wapate pia majibu ya kulikoni yakafikia hapa? na pamoja kuwaeleza wanachama wao yale yaliyotokea na kutoa hukumu kama kutakuwa na aliyeenda kinyume na chama(ikigundulika madai yalikuwa ya uongo).


Mwanakijiji? Bado tunamtaka KLHNEWS, lakini pia sio mwanasiasa na akienda TZ kwenye siasa atachemsha baada ya muda mfupi, hivyo ni bora abaki huku ambako uwezo wake hauna mfano.

Huyu ni muhimili mkubwa sana katika kujenga hoja. Sina uhakika maana mimi si mwanasiasa na sina uelewa na vyama vya siasa.

Katika mpira kuna namba tano "dala" huyu anaweza kufaa katika kuwa kiunganishi kati ya watu wa chini kabisa na watu wa juu kabisa sasa sina uhakika katika chama huyu huwa anawekwa wapi?

Mtanzania, mimi hata ukatibu kijiji utanifaa, grassroot politics!


Mkuu anzia hata ubunge utuonyeshe makeke yako, maana michango yako inakubalika.

Unaweza kutusaidia kuongeza nguvu za kuhakikisha mafisadi wanahama Tanzania kabla ya wakati wao.
 
Ndio maana nimesema hakuna manufaa yoyote kujadili.Si uwapigie simu hao waandaaji wakwambie nani ni nani badala ya kuanzisha thread?.

Hayo ni maoni yangu binafsi, maana Regia Mtema alikuja kama Afisa Mwandamizi wa Vijana. Na ndiye aliyesimamia majukumu yote ya vijana pale Zanzibar hivyo inavyoelekea kama ameaminiwa kiasi hicho lazima itakuwa ameonekana anafaa kuziba hiyo nafasi maana Mnyika si alishasema humu kwamba ataacha uongozi kwenda kumalizia masomo yake.

Naona jina la Mwl Kitila limetwajwa na Mtanzania, FMES nk kwamba anafaa kuwa mgombea urais 2010 na pia Mwenyekiti wa CHADEMA 2008. Safi sana. Je, yeye mwenyewe yuko tayari?

Asha
 
Najua kama mwanachama wa CHADEMA sikitendei haki chama changu kuanzisha hii thread ya kujadili kuhusu nafasi za uongozi za kitaifa katika uchaguzi mkuu ujao wa CHADEMA. Hii ni kwa sababu kwa mujibu wa taratibu za chama changu sasa ni wakati wa chaguzi za ngazi ya chini za msingi na matawi. Hatujafika hata ngazi ya kata, jimbo, wilaya nk. Kwa mujibu wa taratibu za chama chetu kampeni za uchaguzi wagombea huzifanya katika kikao husika ili kuepusha utamaduni wa ufisadi ambao CCM imeulea wa wagombea kuchafuana kabla, wagombea kupitia mikoani kuhonga kwa wajumbe na pia kufanya kampeni kutokuwa na uwanja sawa kati ya wenye nacho na wasio nacho, wenye cheo na wasio na cheo. Ndio maana ukiondoa Chacha Wangwe ambaye ametangaza kugombea uenyekiti hakuna kiongozi mwingine wa CHADEMA ambaye ametangaza kugombea nafasi katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika katika mkutano mkuu wa Disemba 12 mwaka 2008. Akitangaza ratiba ya uchaguzi iliyopitishwa na baraza kuu mwishoni mwa mwaka jana, waandishi wa habari walimbana Mwenyekiti Mbowe atangaze kama atagombea au la lakini mwenyekiti alisema kabisa kwa mujibu wa taratibu za chama hayo si masuala ya kuzungumziwa kwa sasa bali kila mwanaCHADEMA ajadili jinsi ya kujenga oganizesheni ya chama mbadala CHADEMA katika ngazi ya mitaa na vijiji kupitia misingi na matawi. Hata hivyo, nimeshawishika kuibua huu mjadala kupata maoni ya umma baada ya kujitokeza kwa hoja kwamba kuna ombwe la uongozi katika chama chetu. Hivyo naombeni maoni yenu kuhusu nani ni nani katika CHADEMA kwenye kikosi kitachokiongoza chama kuelekea uchaguzi wa mitaa na vijiji 2009 na uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 katika nafasi zifuatazo:

Nafasi za kugombewa na Mkutano Mkuu Taifa:

1. Mwenyekiti
2. Makamu Mwenyekiti(Bara)
3. Makamu Mwenyekiti(Znz)


Nafasi za Kugombewa kwenye baraza kuu(kwa mapendekezo ya majina mawili mawili kwa kila nafasi):

1. Katibu Mkuu
2. Naibu Katibu Mkuu(Bara)
3. Naibu Katibu Mkuu(Znz)


Nafasi za kugombewa katika Mkutano Mkuu wa Wazee:
1. Mwenyekiti wa Wazee(Nafasi hii haipo kwa sasa, itagombewa kwa mara ya kwanza 2008)

Nafasi ya kugombewa katika Mkutano Mkuu wa Vijana:
1. Mwenyekiti wa Vijana(kama hapo juu)

Nafasi ya Kugombewa katika mkutano Mkuu wa Wanawake
1. Mwenyekiti wa Wanawake(Kama hapo Juu).

Nafasi za kuteuliwa na Kamati Kuu:
1. Wakurugenzi( Fedha na Utawala, Oganizesheni na Mafunzo, Rasilimali, Mahusiano ya Kimataifa, Habari na uenezi, Kampeni na Uchaguzi, Ulinzi na Usalama, Sheria na Haki za Binadamu).
2. Makatibu wa Mabaraza( Wazee, Vijana, Wanawake).

Chini ya Katiba Mpya ya CHADEMA toleo la 2006 ambayo ita-replace Katiba ya Mwaka 2004 hapatakuwa na nafasi zifuatazo:

1. Mkurugenzi wa Wazee( Kwa hiyo Kimesera hatakuwepo tena katika nafasi hiyo)
2. Mkurugenzi wa Vijana(Kwa hiyo Mnyika hatakuwepo tena kwenye nafasi hiyo)
3. Mkurugenzi wa Wanawake(Kwa hiyo Mama Kaihula hatakuwepo tena kwenye nafasi hiyo).

Tujadili, NANI NI NANI? KWA NINI?

Asanteni kwa ushirikiano wenu

Asha

Nafasi ni nyingi kwa kweli, mbona tunajadili ya Mwenyekiti na Katibu Mkuu tu? halafu wanawake ni vyema wakapewa mstari wa mbele zaidi katika hizi nafasi mbalimbali, itakuwa nzuri zaidi

Asha
 
Zitto na Mnyika msiwahesabu kabisa kama mnakumbuka ile thread yangu ya "Zitto, Mnyika kumsusia Mbowe CHADEMA" ambayo ilipelekwa kwenye udaku haraka haraka wakati fulani. Katika kupanga kikao cha nani ashughulikiwe namna gani kati ya Rostam, Balille na Chacha Wangwe mtakumbuka niliwaeleza mambo yaliyoamuliwa kuhusu Zitto. Kwa upande mwingine Mnyika hakupewa uzito mkubwa kabisa kwa Chacha Wangwe aliwasilisha waraka wa Mnyika kwenda kwa viongozi wenzake wakuu ukieleza wazi kuwa anakusudia kujiuzulu uongozi hivi karibuni kwenda kumalizia masomo yake. Waraka huo umetaja mpaka tarehe ya kujiuzulu kwake. Ndio maana hata katika mashambulizi ya Rai na Mtanzania yaliyoanza jina lake limeshambuliwa kidogo tu. Ameshaonekana sio factor. Tatizo liko bado kwa Zitto ambaye inavyoelekea atabadili uamuzi wake wa kuacha kugombea ubunge 2010 na hivyo pana uwezekano kuwa atabaki katika chama.

PM
 
Tutapata waziri wa habari kama yule wa Iraq.

Nakubaliana na Gembe, Dr. Slaa mwenyekiti. Watu kama Zitto, Kitila, Lissu wapewe nafasi kubwa kwenye chama.

Bwana mdogo Mnyika mpatieni nafasi ya kusoma kwanza.

Ondoeni kabisa hao wazee wa CHADEMA kwenye kamati kuu, mnaweza kuwapa heshima zingine kwenye chama lakini msiige mambo yote ya CCM. Walikuwa na nafasi zao za kuleta mabadiliko, kama walishindwa, huu ni muda wa wengine nao kuchapa kazi bila kuingiliwa na wazee.

Mbowe, Mmmmhhh!!! angefaa kuwa makamu mwenyekiti, kama hataki basi akagombee ubunge ingawaje hata huko nina wasiwasi na utendaji wake wakati alipokuwa mbunge.
Anajua ku kampeni lakini naamini si mtendaji kabisa.

Wangwe anafaa kule Mara, watu kule wamezoea manguvu kwahiyo na yeye na nguvu na hasira zake, atawafaa sana, ila acheni kumpaka matope kwasababu tu amewapingeni.

Shughulikieni madai ya Wangwe.

Mwanakijiji? Bado tunamtaka KLHNEWS, lakini pia sio mwanasiasa na akienda TZ kwenye siasa atachemsha baada ya muda mfupi, hivyo ni bora abaki huku ambako uwezo wake hauna mfano.

Mtanzania, mimi hata ukatibu kijiji utanifaa, grassroot politics!

mshkaji rudisha kumbukumbu nyuma then kumbuka mpaka muheshimiwa mbowe anaacha ubunge hai ilikuwa ni ya ngapi kimaendeleo?...

isimfananishe kabisa aikaeli na mtu kama kingunge ambaye yuko bungeni karibu mwaka wa 30 lakini jimboni mwake hakuna umeme.
 
Bi. Asha Abdala,

Bibie unajua kuna watu kama sisi ambao kila kinachoandikwa hapa hukigeuza na kukitazama upande wa pili kabla hatujachagia kitu...

Sasa tuseme mimi binafsi sikubaliani na baadhi ya nafasi zilizotolewa hapo juu itakuwaje?..mathlan binafsi sioni kabisa sababu ya kuwa na Kambi ya Wazee ama Wanawake kisiasa, unless hilo la viti vya Wazee utaratibu wake umetokana na mila zetu za kiasili ambayo yanawapa wazee nguvu kubwa kuliko mwenyekiti wa chama (mfano ni maamuzi kuhusiana na Mh. Wangwe).

WHY nasema hivi:-
Kujenga tabaka za Wanawake na Wazee ndani ya chama ni moja ya kuongeza kongamano za kisiasa ndani ya chama ambazo zinatazama na kujenga kundi moja la maumbile ama umri ktk siasa ambazo hazina mtazamo wa makundi au mgawanyiko..
Unapoweka tabaka la Wanawake ni sawa na Muungano wa Tanzania ambapo Zanzibar (Wanawake) iinajulikana kama nchi lakini sii Bara (Wanaume)...na matokeo ya kuwepo mgao kama huu huleta matatizo makubwa kikatiba..Kwa nini wanawake kisiwe chama huru kama vile NGO inayojiendesha yenyewe in support of Chadema!.

Kipengele cha Vijana naweza kukubaliana nacho kwa sababu kinawaunganisha wanawake na wanaume kuwa kitu kimoja na madhumuni ya kuwepo kwake ni dhahiri, lakini hili la Wazee na Wanawake kuwa ndani ya katiba ya chama linanipa shida hasa kutokana na tamaduni zetu!
 
mshkaji rudisha kumbukumbu nyuma then kumbuka mpaka muheshimiwa mbowe anaacha ubunge hai ilikuwa ni ya ngapi kimaendeleo?...

isimfananishe kabisa aikaeli na mtu kama kingunge ambaye yuko bungeni karibu mwaka wa 30 lakini jimboni mwake hakuna umeme.

Naomba unayejua tuambie Hai ilikuwa ya ngapi kwa maendeleo?

Pia pitia na kule bungeni na angalia michango yake alipokuwa bungeni.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom