Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Habari wakuu
Ni zaid ya miaka mitatu imepita toka uchaguzi mkuu umalizike.Mimi kama mtanzania mkazi ya sinza jimbo la ubungo kata yangu ikiongozwa na diwani wa chadema,jimbo langu likiongozwa na mbunge wa chadema mh kubenea pamoja na manispaa yangu ikiongozwa na meya wa chadema.Lakini kinachoniumiza mimi kama mtanzania myonge Tangia uchaguzi umeisha sijawahi kumuona mbunge akifanya kikao chochote ndani ya kata yangu ili kujua kero zinazotukabili sisi wananchi,sijawahi kumuona diwani toka amechaguliwa sinza na ubungo zaidi ya kuwaona kwenye magazeti wakimdhihaki na kumtukana raisi wetu ambaye kazi zake kama Rais tunaziona kama ujenzi wa barabara kutoka kijiweni hadi magomeni.
Je lengo la kuchagua kiongozi wa upinzani kama mbunge au diwani sio kumchagua ili atuletee maendeleo bali tunamchagua ili akamtukane rais au akamkejeli rais.Sisi wana sinza tunataka maendeleo
Ni zaid ya miaka mitatu imepita toka uchaguzi mkuu umalizike.Mimi kama mtanzania mkazi ya sinza jimbo la ubungo kata yangu ikiongozwa na diwani wa chadema,jimbo langu likiongozwa na mbunge wa chadema mh kubenea pamoja na manispaa yangu ikiongozwa na meya wa chadema.Lakini kinachoniumiza mimi kama mtanzania myonge Tangia uchaguzi umeisha sijawahi kumuona mbunge akifanya kikao chochote ndani ya kata yangu ili kujua kero zinazotukabili sisi wananchi,sijawahi kumuona diwani toka amechaguliwa sinza na ubungo zaidi ya kuwaona kwenye magazeti wakimdhihaki na kumtukana raisi wetu ambaye kazi zake kama Rais tunaziona kama ujenzi wa barabara kutoka kijiweni hadi magomeni.
Je lengo la kuchagua kiongozi wa upinzani kama mbunge au diwani sio kumchagua ili atuletee maendeleo bali tunamchagua ili akamtukane rais au akamkejeli rais.Sisi wana sinza tunataka maendeleo