johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Wakati akichangia hotuba ya bajeti mbunge wa Sengerema mh Ngeleja ametumia muda mwingi kumsifia afisa habari wa Simba Haji Manara.
Ngeleja amedai kuwa Manara ni mtu makini ambaye uwepo wake klabuni umeifanya Club ya Simba ing'ae na siyo haki kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5 bila ya kumtaja Manara.
Chanzo: Channel Ten.
My take; Under the same sun pongezi kwenu pia.
Maendeleo hayana vyama!
Ngeleja amedai kuwa Manara ni mtu makini ambaye uwepo wake klabuni umeifanya Club ya Simba ing'ae na siyo haki kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5 bila ya kumtaja Manara.
Chanzo: Channel Ten.
My take; Under the same sun pongezi kwenu pia.
Maendeleo hayana vyama!