Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

Tutaelewana tu ngoja kwanza tuonyeshane makali, CCM watachia tu watu washachoka kama mbwae mbwae tu mwaka huu
 
Mkuu elekezeni wadau hatua kwa hatua jinsi zinavyofanya kazi..
Nenda playstore pakua proton VPN, kisha fanya registration kwa kujaza emails na password, kumbuka kubonyeza kitufe cha free,ili utumie bure kwa muda fulani. Kisha utatumiwa ujumbe kupitia email yako utaverify, ndio utaanza kutumia

Utaletewa unataka uaccess internet kutoka nchi gani ziko nyingi mm natumia ya Netherland, ukitaka ata USA ni wewe

Hapo utaweza ku bypass huu utopolo wa internet ya kupangiwa na vodacom. Sio tu Twitter, kesho internet inazimwa nchi nzima. Maana hata sasa haifanyi kazi vizuri
 
Mtandao wa twitter..kwa hapa Nchini umekuwa upo slow na asubuhi hii umegoma kabisa kufanya kazi.. what's happening!
 
Back
Top Bottom