Tumia proton VPN
Tumia proton VPN
Hili li hutu Magufuli ndilo limetufikisha hapa.Tumieni VPN nilikua nahangaika hapa, nikaja kukumbuka ni uchaguzi time lazima figisu zitawale.
Kwenye verification inagoma,tatizo nini?Tumia proton VPN
Nipe elimuuTumia ProtonVPN wewe,the worst is yet to come!
Aisee ngoja nichaji 😁😁😁😁😁Kinachofuata ni kuzima gridi ya taifa maana jiwe "rimepaniki kweri kweri"
Nitag jibuAtapata faida zipi ikiwa na tiki mkuu?
Nimesikitika kweli natumia airtel NO TWITTER SO WHWAT TO DO AS HUMAN BEING?Watumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
Unalipia kuanzia shingap mkuu?Ipo vema kabisaa ✌✌
Tengeneza account mpya weka jina + email then nenda weka password then itakuletea box la password uweke mara ya pili then chagua free plan kama hutaki kulipia account itakua tayari nenda kwenye kile kipembe tatu connect server ya nchi yoyote basi utakua umemalizaKwenye verification inagoma,tatizo nini?
Watumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
asante mkuuPachika app ifuatayo ktk simu yako. Ifungue na ubonyeze palipo andikwa connect. Baada ya hapo rudi twitter ukale kuku kwa mrija
View attachment 1613177
Nimesikitika kweli natumia airtel NO TWITTER SO WHWAT TO DO AS HUMAN BEING?
Sure kabisa Twitter siipati aisee
Kote huko tayari nimefika verification method,kuna SMS then chini yake kuna bendera unaweza kupata option hapo sasa hapo ndo nipe way forward mkuuTengeneza account mpya weka jina + email then nenda weka password then itakuletea box la password uweke mara ya pili then chagua free plan kama hutaki kulipia account itakua tayari nenda kwenye kile kipembe tatu connect server ya nchi yoyote basi utakua umemaliza
Pamoj mkuu VPN ndio suluhisho