Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: CUF yasema haitashirikiana na CHADEMA, ACT. Yasema kilichotokea Uchaguzi Mkuu 2015 kiliwafunza

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,325
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema kuwa hakitashirikiana na vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akizungumza na Nipashe jana, Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi wa CUF Taifa, Juma Kilaghai, alisema chama hicho hakiwezi kushirikiana na vyama hivyo kwa sababu wamejifunza kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Mwaka 2015 vyama vya upinzani viliungana na kuunda umoja wa Katiba ya Wamanchi (Ukawa), ulianza wakati wa mchakato wa katiba mpya mwaka 2014, na kwenda hadi wakati wa mchakato wa uchaguzi mkuu ambao waliingia makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja kwenye nafasi mbalimbali.

“Kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015 kilitufundisha, hatuwezi kurudia kosa, sisi tuko tayari kushirikiana na vyama vyenye nia ya dhati na kile wanachokizungumza,” alisema Kilaghai na kuongeza:

“Tulishirikiana na Chadema kwa sababu walisema kwamba wanapambana na rushwa, lakini cha kushangaza walitoka nje ya kile wanachokizungumza na kukaribisha wala rushwa kugombea nafasi za juu ndani ya chama chao, na sababu hiyo ndiyo ilichangia CUF kuvurugana na kina Maalim Seif ambao sasa hivi wako ACT-Wazalendo na wanashirikiana tena.”

Alisema ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa watia nia kwa nafasi ya urais mwisho ni leo na kwamba mpaka juzi walikuwa na mtia nia mmoja tu kwa nafasi hiyo, Mutayesa Yemba.

Kwa watia nia kwa nafasi ya udiwani, uwakilishi na ubunge alisema wanatarajia kufunga ratiba hiyo Julai 27 na 28 kuanza vikao kwa ajili ya uteuzi wa wagombea.

Alisema mpaka sasa idadi ya watia nia kwa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ni kubwa

Chanzo: IPP MEDIA
 
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema kuwa hakitashirikiana na vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akizungumza na Nipashe jana, Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi wa CUF Taifa, Juma Kilaghai, alisema chama hicho hakiwezi kushirikiana na vyama hivyo kwa sababu wamejifunza kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Mwaka 2015 vyama vya upinzani viliungana na kuunda umoja wa Katiba ya Wamanchi (Ukawa), ulianza wakati wa mchakato wa katiba mpya mwaka 2014, na kwenda hadi wakati wa mchakato wa uchaguzi mkuu ambao waliingia makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja kwenye nafasi mbalimbali.

“Kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015 kilitufundisha, hatuwezi kurudia kosa, sisi tuko tayari kushirikiana na vyama vyenye nia ya dhati na kile wanachokizungumza,” alisema Kilaghai na kuongeza:

“Tulishirikiana na Chadema kwa sababu walisema kwamba wanapambana na rushwa, lakini cha kushangaza walitoka nje ya kile wanachokizungumza na kukaribisha wala rushwa kugombea nafasi za juu ndani ya chama chao, na sababu hiyo ndiyo ilichangia CUF kuvurugana na kina Maalim Seif ambao sasa hivi wako ACT-Wazalendo na wanashirikiana tena.”

Alisema ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa watia nia kwa nafasi ya urais mwisho ni leo na kwamba mpaka juzi walikuwa na mtia nia mmoja tu kwa nafasi hiyo, Mutayesa Yemba.

Kwa watia nia kwa nafasi ya udiwani, uwakilishi na ubunge alisema wanatarajia kufunga ratiba hiyo Julai 27 na 28 kuanza vikao kwa ajili ya uteuzi wa wagombea.

Alisema mpaka sasa idadi ya watia nia kwa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ni kubwa

Chanzo: IPP MEDIA
Huwezi kwenda nyuma kinyume Cha maagizo,Sharrif Kama dawa haijamkolea, anaonyeaha ukongwe wake katika siasa
 
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema kuwa hakitashirikiana na vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akizungumza na Nipashe jana, Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi wa CUF Taifa, Juma Kilaghai, alisema chama hicho hakiwezi kushirikiana na vyama hivyo kwa sababu wamejifunza kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Mwaka 2015 vyama vya upinzani viliungana na kuunda umoja wa Katiba ya Wamanchi (Ukawa), ulianza wakati wa mchakato wa katiba mpya mwaka 2014, na kwenda hadi wakati wa mchakato wa uchaguzi mkuu ambao waliingia makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja kwenye nafasi mbalimbali.

“Kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015 kilitufundisha, hatuwezi kurudia kosa, sisi tuko tayari kushirikiana na vyama vyenye nia ya dhati na kile wanachokizungumza,” alisema Kilaghai na kuongeza:

“Tulishirikiana na Chadema kwa sababu walisema kwamba wanapambana na rushwa, lakini cha kushangaza walitoka nje ya kile wanachokizungumza na kukaribisha wala rushwa kugombea nafasi za juu ndani ya chama chao, na sababu hiyo ndiyo ilichangia CUF kuvurugana na kina Maalim Seif ambao sasa hivi wako ACT-Wazalendo na wanashirikiana tena.”

Alisema ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa watia nia kwa nafasi ya urais mwisho ni leo na kwamba mpaka juzi walikuwa na mtia nia mmoja tu kwa nafasi hiyo, Mutayesa Yemba.

Kwa watia nia kwa nafasi ya udiwani, uwakilishi na ubunge alisema wanatarajia kufunga ratiba hiyo Julai 27 na 28 kuanza vikao kwa ajili ya uteuzi wa wagombea.

Alisema mpaka sasa idadi ya watia nia kwa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ni kubwa

Chanzo: IPP MEDIA
Hiyo kafu ina ushirikiano tayari na CCM, nccr mageuzi na vyama vingine vya mifukoni
 
Kwa hakika CUF wanapiga kelele bure tu. Hakuna chama kinachotaka ushirika na CUF isipokuwa CCM. wasijizuzue bure hamna mwenye haja ya kushirikiana na wanafiki walio weza kushiriki kukiuwa chama cha wananchi CUF. Matokeo yake tutayaona katika kura zinazo kuja.
 
Huyo mgombea wao wa urais wamemwokota wapi?... Vp khs Zanzibar wataweka mgombea au ndio Hadi pesa ya kampeni wasaidiwe na CCM.....

Naona Cuf ikijifia taratibu Kwa kifo Cha mfamaji...
 
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema kuwa hakitashirikiana na vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akizungumza na Nipashe jana, Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi wa CUF Taifa, Juma Kilaghai, alisema chama hicho hakiwezi kushirikiana na vyama hivyo kwa sababu wamejifunza kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Mwaka 2015 vyama vya upinzani viliungana na kuunda umoja wa Katiba ya Wamanchi (Ukawa), ulianza wakati wa mchakato wa katiba mpya mwaka 2014, na kwenda hadi wakati wa mchakato wa uchaguzi mkuu ambao waliingia makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja kwenye nafasi mbalimbali.

“Kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015 kilitufundisha, hatuwezi kurudia kosa, sisi tuko tayari kushirikiana na vyama vyenye nia ya dhati na kile wanachokizungumza,” alisema Kilaghai na kuongeza:

“Tulishirikiana na Chadema kwa sababu walisema kwamba wanapambana na rushwa, lakini cha kushangaza walitoka nje ya kile wanachokizungumza na kukaribisha wala rushwa kugombea nafasi za juu ndani ya chama chao, na sababu hiyo ndiyo ilichangia CUF kuvurugana na kina Maalim Seif ambao sasa hivi wako ACT-Wazalendo na wanashirikiana tena.”

Alisema ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa watia nia kwa nafasi ya urais mwisho ni leo na kwamba mpaka juzi walikuwa na mtia nia mmoja tu kwa nafasi hiyo, Mutayesa Yemba.

Kwa watia nia kwa nafasi ya udiwani, uwakilishi na ubunge alisema wanatarajia kufunga ratiba hiyo Julai 27 na 28 kuanza vikao kwa ajili ya uteuzi wa wagombea.

Alisema mpaka sasa idadi ya watia nia kwa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ni kubwa

Chanzo: IPP MEDIA
Hivi CUF ipo bado??
 
Cuf bhana, mgombea mwaka huu ni Nani huku bara ?? Sakaya au...yaani mwaka huu hata jimbo moja hawawezi pata iwe zenj wala bara...inajifia taratiiibu kama Nccr ya mbatia
 
Ndio maana mtoa taarifa anaitwa "Kilaghai"

Waambie hakuna anaewahitaji, wanategemea kubebwa halafu inaonekana anaewabeba anampenda zaidi Mbatia.
 
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema kuwa hakitashirikiana na vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akizungumza na Nipashe jana, Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi wa CUF Taifa, Juma Kilaghai, alisema chama hicho hakiwezi kushirikiana na vyama hivyo kwa sababu wamejifunza kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Mwaka 2015 vyama vya upinzani viliungana na kuunda umoja wa Katiba ya Wamanchi (Ukawa), ulianza wakati wa mchakato wa katiba mpya mwaka 2014, na kwenda hadi wakati wa mchakato wa uchaguzi mkuu ambao waliingia makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja kwenye nafasi mbalimbali.

“Kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015 kilitufundisha, hatuwezi kurudia kosa, sisi tuko tayari kushirikiana na vyama vyenye nia ya dhati na kile wanachokizungumza,” alisema Kilaghai na kuongeza:

“Tulishirikiana na Chadema kwa sababu walisema kwamba wanapambana na rushwa, lakini cha kushangaza walitoka nje ya kile wanachokizungumza na kukaribisha wala rushwa kugombea nafasi za juu ndani ya chama chao, na sababu hiyo ndiyo ilichangia CUF kuvurugana na kina Maalim Seif ambao sasa hivi wako ACT-Wazalendo na wanashirikiana tena.”

Alisema ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa watia nia kwa nafasi ya urais mwisho ni leo na kwamba mpaka juzi walikuwa na mtia nia mmoja tu kwa nafasi hiyo, Mutayesa Yemba.

Kwa watia nia kwa nafasi ya udiwani, uwakilishi na ubunge alisema wanatarajia kufunga ratiba hiyo Julai 27 na 28 kuanza vikao kwa ajili ya uteuzi wa wagombea.

Alisema mpaka sasa idadi ya watia nia kwa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ni kubwa

Chanzo: IPP MEDIA
CUF NI KITENGO NDANI YA CCM
 
Kwa hakika CUF wanapiga kelele bure tu. Hakuna chama kinachotaka ushirika na CUF isipokuwa CCM. wasijizuzue bure hamna mwenye haja ya kushirikiana na wanafiki walio weza kushiriki kukiuwa chama cha wananchi CUF. Matokeo yake tutayaona katika kura zinazo kuja.
Uchaguzi ujao kura ni CCM vyama vingine mnashambuliana bure nyote hamna chenu. Ni sawa na andazi linamcheka kitumbua.
 
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema kuwa hakitashirikiana na vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akizungumza na Nipashe jana, Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi wa CUF Taifa, Juma Kilaghai, alisema chama hicho hakiwezi kushirikiana na vyama hivyo kwa sababu wamejifunza kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Mwaka 2015 vyama vya upinzani viliungana na kuunda umoja wa Katiba ya Wamanchi (Ukawa), ulianza wakati wa mchakato wa katiba mpya mwaka 2014, na kwenda hadi wakati wa mchakato wa uchaguzi mkuu ambao waliingia makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja kwenye nafasi mbalimbali.

“Kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015 kilitufundisha, hatuwezi kurudia kosa, sisi tuko tayari kushirikiana na vyama vyenye nia ya dhati na kile wanachokizungumza,” alisema Kilaghai na kuongeza:

“Tulishirikiana na Chadema kwa sababu walisema kwamba wanapambana na rushwa, lakini cha kushangaza walitoka nje ya kile wanachokizungumza na kukaribisha wala rushwa kugombea nafasi za juu ndani ya chama chao, na sababu hiyo ndiyo ilichangia CUF kuvurugana na kina Maalim Seif ambao sasa hivi wako ACT-Wazalendo na wanashirikiana tena.”

Alisema ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa watia nia kwa nafasi ya urais mwisho ni leo na kwamba mpaka juzi walikuwa na mtia nia mmoja tu kwa nafasi hiyo, Mutayesa Yemba.

Kwa watia nia kwa nafasi ya udiwani, uwakilishi na ubunge alisema wanatarajia kufunga ratiba hiyo Julai 27 na 28 kuanza vikao kwa ajili ya uteuzi wa wagombea.

Alisema mpaka sasa idadi ya watia nia kwa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ni kubwa

Chanzo: IPP MEDIA
ahahaah wanachekesha washirikiane na ccm
 
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema kuwa hakitashirikiana na vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akizungumza na Nipashe jana, Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi wa CUF Taifa, Juma Kilaghai, alisema chama hicho hakiwezi kushirikiana na vyama hivyo kwa sababu wamejifunza kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Mwaka 2015 vyama vya upinzani viliungana na kuunda umoja wa Katiba ya Wamanchi (Ukawa), ulianza wakati wa mchakato wa katiba mpya mwaka 2014, na kwenda hadi wakati wa mchakato wa uchaguzi mkuu ambao waliingia makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja kwenye nafasi mbalimbali.

“Kwa kilichotokea katika uchaguzi wa mwaka 2015 kilitufundisha, hatuwezi kurudia kosa, sisi tuko tayari kushirikiana na vyama vyenye nia ya dhati na kile wanachokizungumza,” alisema Kilaghai na kuongeza:

“Tulishirikiana na Chadema kwa sababu walisema kwamba wanapambana na rushwa, lakini cha kushangaza walitoka nje ya kile wanachokizungumza na kukaribisha wala rushwa kugombea nafasi za juu ndani ya chama chao, na sababu hiyo ndiyo ilichangia CUF kuvurugana na kina Maalim Seif ambao sasa hivi wako ACT-Wazalendo na wanashirikiana tena.”

Alisema ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa watia nia kwa nafasi ya urais mwisho ni leo na kwamba mpaka juzi walikuwa na mtia nia mmoja tu kwa nafasi hiyo, Mutayesa Yemba.

Kwa watia nia kwa nafasi ya udiwani, uwakilishi na ubunge alisema wanatarajia kufunga ratiba hiyo Julai 27 na 28 kuanza vikao kwa ajili ya uteuzi wa wagombea.

Alisema mpaka sasa idadi ya watia nia kwa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ni kubwa

Chanzo: IPP MEDIA
hakuna jipya hapa.....so far hata mtoto wa kindergarten anajua wazi kuwa CUF washirika wake ni CCM & NCCR.

IMG_20200606_075616.jpg
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom