VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Wapendwa wangu wa JF nawasalimu nyote. Kuanzia makada wenzangu wa CCM na watadi wetu wa jadi CHADEMA na wapinzani wote kwa ujumla, nawapa taarifa.
Mimi Mzee Tupatupa wa Lumumba, kwa gharama zangu mwenyewe na safari zangu binafsi, leo nimeanza safari za mikoa mbalimbali hapa nchini kuangalia upepo na mtifuano wa vyama pamoja na wagombea majimboni na katani. Naahidi, kwa uazalendo na ukweli, nitawaletea hapa mrejesho.
Kwakuwa nyumbani ni muhimu, niko njiani kuelekea mkoa wa Ruvuma nikiianzia ziara yangu Wilayani Songea. Nitawaarifu kama yaliyomo na yanayosemwa yamo kweli au la. Kama kada mwandamizi wa CCM natamani kukuta CCM ikitamalaki kila mkoa na kujihakikishia ushindi wa kishindo bila nyundo wala nyendo hapo Oktoba mwaka huu. Kaeni mkao wa kujua ukweli.
Kuchukua wake za watu sasa ni kosa la kusababisha kutumbuliwa?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Songea, Ruvuma)
Mimi Mzee Tupatupa wa Lumumba, kwa gharama zangu mwenyewe na safari zangu binafsi, leo nimeanza safari za mikoa mbalimbali hapa nchini kuangalia upepo na mtifuano wa vyama pamoja na wagombea majimboni na katani. Naahidi, kwa uazalendo na ukweli, nitawaletea hapa mrejesho.
Kwakuwa nyumbani ni muhimu, niko njiani kuelekea mkoa wa Ruvuma nikiianzia ziara yangu Wilayani Songea. Nitawaarifu kama yaliyomo na yanayosemwa yamo kweli au la. Kama kada mwandamizi wa CCM natamani kukuta CCM ikitamalaki kila mkoa na kujihakikishia ushindi wa kishindo bila nyundo wala nyendo hapo Oktoba mwaka huu. Kaeni mkao wa kujua ukweli.
Kuchukua wake za watu sasa ni kosa la kusababisha kutumbuliwa?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Songea, Ruvuma)